Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bonanza la Bandari kufanyika TCC Juni 22

BONANZA lililopewa jina la ‘Bandari Bonanza’, linatarajiwa kufanyika, Juni 22, katika ukumbi wa Harbors Club, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Mratibu wa Bonanza hilo, Rajab Mteta ‘KP’, Bonanza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bonanza la Jogging Bandari Juni 22

BONANZA la Jogging linatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa Bandari jijini Dar es Salaam, Juni 22. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa tamasha hilo, Rajabu Mteta,...

 

10 years ago

Michuzi

KANDANDA DAY 2015 KUFANYIKA OKTOBA 17, 2015 TCC CLUB CHANG'OMBE, DAR ES SALAAM

Kamati ya maandalizi ya tamasha la ‘Kandanda Day 2015’, inatarajia kufanya tamasha lake la kila mwaka,litakalofanyika katika Viwanja vya TCC Oktoba 17
mwaka huu,Chang’ombe, Dar es Salaam.


Katika tamasha la mwaka huu,mbali na kuwepo kwa mechi kati ya Timu DizoMoja na Timu Ismail, lakini pia kutakuwa na matukio mbalimbali ya kimichezo na kijamii
yatakayoendelea. Mratibu wa tamasha hilo Patrick Dumulinyi,alitanabaisha kuwa siku hiyo, kutakuwepo na mchezo wa utangulizi ambao utahusisha kituo cha...

 

11 years ago

Michuzi

MISS IRINGA KUFANYIKA JUNI 20

Baadhi ya washiriki wa redds miss iringa wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mazoezi katika ukumbi wanakofanyia mazoezi hotel ya Gentle Hill iliyoko mkoani Iringa. 
Na Denis Mlowe,Iringa   HATIMAYE kinyang’anyiro cha kumsaka Redds Miss Iringa kinatarajia kufanyika Juni 20 mwaka huu baada ya aliyekuwa mratibu wa kwanza Mohamed Mcholeka kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kushindwa kufanyika Juni 6 kama lilivyopangwa mwanzoni na Tanzania Daima kuwa la kwanza kuripoti kuhusiana...

 

11 years ago

Michuzi

Miss Tabata kufanyika Juni 6

Washiriki wa Miss Tabata 2014 wakiwa kwenye pozi.
Shindano la kumtafuta Redds Miss Tanzania Tabata 2014 limepangwa kufanyika Juni 6 katika ukumbi wa Da’ West Park.
Mratibu wa Miss Tabata Joseph Kapinga alisema kuwa warembo 24 watachuana vikali kutaka kumrithi Dorice Mollel ambaye anashikilia taji hilo.
Dorice pia ndiye anayeshikilia taji la Redds Miss Ilala.
Kapinga alisema kuwa warembo hao wanaendelea kujifua katika ukumbi wa Da’ West kila siku kuanzia saa nane mchana chini ya...

 

11 years ago

GPL

BONANZA LA JOGGING & BREAKING NEWS… MBIO ZA HISTORIA KUFANYIKA DAR!

MBIO za historia! Jiji la Dar es Salaam linatarajia kuiandika historia ya aina yake kwa kuzikutanisha timu zaidi ya 200 za mbio za taratibu (jogging) katika Bonanza la Jogging na Breaking News 15778, Februari 9, mwaka huu kuanzia Uwanja wa Taifa hadi Mbagala-Zakhem jijini Dar. Kwa mujibu wa Rajabu Mteta (KP) ambaye ni mratibu wa bonanza hilo, timu hizo zitachuana vilivyo katika bonanza hilo ambalo litasheheni michezo mingi...

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA HISTORICAL MARATHONI KUFANYIKA JUNI 14 MWAKA HUU.

Na Avila Kakingo,Globu ya Jamii.

WANANCHI jitokezeni katika kushiriki  tamasha la Bagamoyo historical Marathoni linatarajia kufanyika Juni 14 mwaka huu tamasha litakalo fanyika Wilaya Bagamoyo.


 Hayo yamesemwa na  Msemaji wa kampuni ya Vision Investiment Dominic Mosha wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Iadara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.


Mosha alisema kuwa Tamasha la mwaka huu  litakuwa na kauli mbiu ya  “ANZA KUKIMBIA, UJIKINGE NA MAGONJWA...

 

10 years ago

Michuzi

UCHAGUZI MKUU WA TBA KUFANYIKA JUNI 10 MWAKA HUU.

Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limesogeza mbele siku ya kufanya uchaguzi  wa Chama cha Mchezo wa Vinyoya Tanzania (TBA) ambapo unatarajiwa kufanyika Juni 10
mwaka huu katika ukumbi wa Baraza hilo.
Hayo yamesemwa na  Afisa habari Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari wakati akizungumza na Mwandishi wetu kwa Njia ya simu.
 Pia Najaha amesema kuwa Baraza hilo linaongeza muda wa kuchukua na kurudisha fomu za Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Mchezo wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kumekucha ‘Chicken Wings Bonanza & Family Day Out’ Kufanyika Feb 28

 

whatsapp and facebook post

Na Andrew Chale wa modewji blog

Bonanza kubwa la Nyama ya kuku ‘’Chicken Wings’ litakalokutanisha watu mbalimbali wakiwemo marafiki na familia mbalimbali linatarajia kufanyika  Februari 28, ndani ya Azura Beach Club, Kawe, Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na mtandao huu, Mkurugenzi Mtendaji  wa kampuni ya Jaunt Africa Ltd, Acquiline  Mlulla waandaji wa Bonanza hilo la ‘Chicken Wings Bonanza & Family Out’ linalotarajiwa kufanyika kwa mara ya kwanza, Alisema  tayari maandalizi yamekamilika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani