Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


2 years anniversary Joseph Burengelo 1/25/2015


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Michuzi

St. Joseph & Forodhani ALUMNI kufanyika Jumamosi hii Septemba 26, 2015 viwanja vya St Joseph Cathedral High School jijini Dar es salaam

Umoja wa wanafunzi waliosoma shule ya St Joseph convent school  ya jijini Dar es salaam iliyodumu kuanzia mwaka 1932 hadi 1969 . Na Forodhani Sekondari  ilyokuwapo kati ya 1970 hadi 2008 ( ilipotaifishwa na serikali) na baada ya hapo St Joseph Cathedral High school 2009 (baada ya kurudishwa kwa kanisa Katoliki)  hadi leo, tumeungana  na kuitwa  St. Joseph & Forodhani  ALUMNI .

St Joseph &Forodhani ALUMNI imeandaa “reunion” mkutano wa pamoja siku ya Jumamosi tarehe 26 September kwa wanafunzi...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPY 10TH YEARS WEDDING ANNIVERSARY

Mr and Mrs Arthur Mukami

 

5 years ago

Aljazeera.Com

Apollo 13 anniversary: 50 years since the dramatic space mission

Apollo 13 anniversary: 50 years since the dramatic space mission  Aljazeera.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Michuzi

2 Years Death Anniversary of Mr. Moses Tito Kachima

The Late Mr. Moses Tito Kachima
Born: 27th January 1945 - Died: 29th January 2013. 
 You have gone too soon but we believe you are in a better place. We loved you but God loved you more. You've left us but your memory and spirit lives on. We will always remember and cherish the times spent with you. You have been a blessing in our lives. 
 Eternal rest grant to him, O Lord and let perpetual light shine upon him. May he rest in peace. Amen

 

9 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA NDUGU JOSEPH MUNGAI KUHUSU UJENZI WA SHULE ZA KATA NA CHUO KIKUU CHA UDOM. 5/3/2015:

Sijawahi kuona tangu nizaliwe kuona baadhi ya watu wana mawazo ya mgando na akili ya kusahau lini Lowassa alijenga shule za kata? Mimi ndiye nilikuwa waziri wa elimu na utamaduni kwa miaka miaka minane.

Shule za sekondari za kata zilijengwa na nguvu za wananchi wenyewe serikali ya awamu ya Tatu chini ya Rais Benjamin W. Mkapa ndio ilihamazisha kila kata nchini nzima kuwe na sekondari waziri wa elimu nikiwa mimi Joseph Mungai.

Nikiwa waziri wa elimu na utamaduni wakati huo niliteua kikosi kazi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani