Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


5 arrested over ‘togwa’ calamity

Police are questioning five suspects in connection with the contaminated homemade beverage which landed over 300 people in hospital on Sunday.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Mirror Online

Calamity Liverpool keeper Loris Karius 'lined up for Premier League return' after Besiktas spell

Calamity Liverpool keeper Loris Karius 'lined up for Premier League return' after Besiktas spell  Mirror OnlineLoris Karius could be offered realistic route back to the Bundesliga  This Is AnfieldLiverpool receive Loris Karius transfer offer and make decision on flop amid Adrian doubts  ExpressReport: Liverpool flop Loris Karius wanted by Bundesliga outfit  TBR - The Boot Room - Football NewsThree motivators to sway exiled Liverpool flop into Bundesliga move  Teamtalk.comView Full coverage...

 

11 years ago

IPPmedia

Kikono: Veteran arrested, freed, arrested again poacher


Kikono: Veteran arrested, freed, arrested again poacher
IPPmedia
As the war against poaching continues around the world, a well known poacher at Kisaki village in Morogoro region has been arrested… with a weapon which believed to be government property. Reliable sources among the villagers said the hardcore ...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Ripoti ya sampuli ya togwa yenye sumu bado’

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Mihayo Mskhiela amesema polisi mkoani humo haijapokea ripoti ya sampuli ya togwa na mabaki ya chakula iliyopelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kwa ajili kupimwa baada ya kuleta madhara kwa watu zaidi ya 300.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 270 walazwa kwa kunywa togwa

Watu zaidi ya 270 wa Kijiji cha Litapwasi, Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma wamelazwa wengi wao wakiwa na hali mbaya katika Zahanati ya Lyangweni na Hospitali ya Misheni ya St Joseph, Peramiho baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.

 

10 years ago

StarTV

Watu wawili wauawa Mwembe Togwa Mtwara Vijijini.

Na Joseph Mpangala,

Mtwara.

 

Vijana wawili wameuawa kwa kupigwa na wananchi kwa tuhuma za ujambazi katika shule ya Msingi Mwembe Togwa wilayani Mtwara Vijijini.

 

Vijana hao wanaosadikika kuwa walitaka kuiba vifaa vya shule hiyo vinavyotumia mtandao kwa ajili ya kujifunzia na kutoa taarifa kutoka ngazi ya chini kupeleka wilayani wameuawa baada ya mlinzi wa Shule kutoa taarifa katika nyumba za jirani na shule hiyo ndipo wakazi wa eneo hilo walikusanyika na kuwaua.

 

Ilikuwa majira ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Waliodhurika kwa togwa Songea sasa wafikia watu 340

>Idadi ya watu waliolazwa hospitalini kwa kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu katika Kijiji cha Litapwasi, Kata ya Mpitimbi mkoani Ruvuma imeongezeka kutoka 270 hadi 340.

 

10 years ago

CloudsFM

WATU 270 WALAZWA KWA KUNYWA TOGWA ILIYOSADIKIWA KUWA NA SUMU

Watu zaidi ya 270 wa Kijiji cha Litapwasi, Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma wamelazwa wengi wao wakiwa na hali mbaya katika Zahanati ya Lyangweni na Hospitali ya Misheni ya St Joseph, Peramiho baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.
Tukio hilo lilitokea juzi mchana kwenye sherehe ya Kipaimara kwa mtoto Dickson Nungu (14) na kuzua hofu kubwa kwa wakazi wa kijiji hicho ambao wanaonekana kutoamini kilichotokea.

Wingi wa wagonjwa hao umesababisha zahanati hiyo kuelemewa na kiasi cha...

 

9 years ago

StarTV

Watu watano walazwa hospitali ya Mbuyula Mbinga kwa Unywaji wa Togwa Yenye Sumu

Watu watano wamelazwa katika hospitali ya Mbuyula wilayani Mbinga mkoani Ruvuma baada ya kunywa togwa inayodhaniwa kuwa na sumu.

Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Mbuyula Elisha Robert amesema wagonjwa hao ambao waliletwa hospitalini hapo wakidhaniwa kuwa wameambukizwa ugonjwa wa kipindupindu walibainika kuwa wamekunywa kinywaji aina ya Togwa ambacho kimesababisha waharishe.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mbuyula wilaya ya Mbinga  Elisha Robati amesma aliweza kugundua kuwa homa hiyo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani