Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge la Katiba moto

KUTANGAZWA kwa orodha ya majina ya wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, kunakotoa fursa ya kuitishwa kwa Bunge hilo wiki ijayo, sasa ni dhahiri kumeibua joto lingine jipya.

Tayari yapo mambo kadhaa yaliyobainika ambayo baadhi ya watu wanasema kuwa ama yanaweza kupandisha joto, au kuvuruga kabisa Bunge hilo la Katiba, lililopangwa kuanza kuketi Februari 18, mwaka huu.

MTANZANIA

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BUNGE MAALUM LA KATIBA MOTO...


Stori: Haruni Sanchawa
BUNGE la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatarajiwa kuanza leo na tayari wajumbe wa bunge hilo wamewasha moto wa mjadala hata kabla ya vikao rasmi kuanza. Baadhi ya wajumbe waliozungumza na gazeti hili juzi walisema mijadala inayotarajiwa kuzusha malumbano makubwa ni suala la muundo wa muungano ambapo kuna baadhi yao wanaungana na Tume ya Jaji Joseph Warioba ambayo imependekeza kuwepo na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kampeni Bunge la Katiba zapamba moto

>Wakati ratiba ya shughuli za Bunge Maalumu la Katiba, ikitarajiwa kutangazwa rasmi siku ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa bunge hilo, jana baadhi ya wajumbe walikuwa wakifanya kampeni za wazi ndani ya Ukumbi wa Bunge.

 

11 years ago

Mwananchi

Taarifa za kamati zawasha moto Bunge la Katiba

Bunge la Katiba leo linatarajiwa kuwaka moto upya wakati taarifa za Kamati zitakapoanza kuwasilishwa, huku mvutano mkubwa ukitarajiwa kuwa juu ya muundo wa Muungano.

 

11 years ago

Mwananchi

Kura ya siri, wazi kaa la moto Bunge la Katiba

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, juzi na jana wamekuwa katika mtihani mgumu wa kufikia uamuzi wa pamoja kuhusu utaratibu wa upigaji kura, kati ya kura ya wazi na kura ya siri.

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

11 years ago

Michuzi

UKUMBI WA BUNGE LA KATIBA: Sekretarieti ya Bunge la Katiba kukabidhiwa Ukumbi Jumatano

Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda akijaribu mojawapo ya viti vipya vilivyofungwa katika ukumbi wa Bunge tayari kwa ajiri ya Matumizi wakati wa Bunge la Katiba. Mhe. Makinda aliongoza ujumbe wa Tume ya Utumishi wa Bnge kufanya ukaguzi wa mwisho kabla ukumbi huo haujakabidhiwa kwa Sekretariat ya Bunge la Katiba Jumatano wiki hii. Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda akiwa na wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge kukagua ukumbi huo. Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda, (katikati) Naibu Spika Mhe....

 

11 years ago

Michuzi

taswira mbalimbali za WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA

 Waziri Mkuu  ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Maalum wa Bunge la Katiba Mizengo Peter Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na mjumbe mwenzake Said Mtanda (kulia) jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.  Waziri Mkuu  ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Maalum wa Bunge la Katiba Mizengo Peter Pinda (kushoto) akibadilishana mawazo na mjumbe Said Mtanda na wenzake  jana mjini Dodoma wakati wa mapumziko.   Mjumbe wa Mkutano wa Bunge Maalum  la Katiba  Joshua Nasari(kushoto) akibadilishana mawazo...

 

10 years ago

Michuzi

Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba

OFISI ya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma, imetoa ufafanuzi juu ya taarifa zilizotolewa kwenye vyombo vya habari kuhusu kuchelewa kwa malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba.
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani