Kampeni Bunge la Katiba zapamba moto
>Wakati ratiba ya shughuli za Bunge Maalumu la Katiba, ikitarajiwa kutangazwa rasmi siku ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa bunge hilo, jana baadhi ya wajumbe walikuwa wakifanya kampeni za wazi ndani ya Ukumbi wa Bunge.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo21 Sep
KAMPENI ZA CCM ZAPAMBA MOTO,MWIGULU,LOVENESS MAMUYA WASHIRIKI UFUNGUZI WA KAMPENI KISESA-MEATU
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12047074_428101090725458_1216147968023663156_n.jpg?oh=a1488b21bfb4f65dcca8684d68f9cdf1&oe=569D8541)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpl1/v/t1.0-9/12002080_428100854058815_5135986780182457092_n.jpg?oh=d4b8080fc859d6d77fa64f99b05716d2&oe=565F6D4D&__gda__=1453282753_84af7ea48c0c4260286b22029bc18bcb)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/12003212_428100804058820_8832908201740269439_n.jpg?oh=7b856c53a1acac90c0349bad90782928&oe=56A87FA0)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/12042708_428101204058780_7143938062512622436_n.jpg?oh=f18a1c5016d958d5c79c0f787fb68201&oe=565ED955)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/12032154_428100934058807_4845867612073923492_n.jpg?oh=82f08167bb84b475b02b7b481c42560b&oe=5697921C&__gda__=1452854979_6159e918638e80bca871e83ec3eab8a9)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12038119_428101027392131_3643435805773286259_n.jpg?oh=d3f6bbdb41e77ea448212d02482b801e&oe=56A3292B)
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
10 years ago
Mtanzania21 Jan
Kampeni chafu urais CCM zapamba moto
JOTO la uchaguzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), linazidi kupamba moto, huku uongozi wa juu wa chama hicho ukihaha kuwazima makada wanaodaiwa kuanza kampeni kabla ya muda.
Kutokana na hali hiyo, CCM imewataka wapambe na wagombea wao kuacha kutoa taarifa za uzushi dhidi ya makada sita wa chama hicho kwa lengo la kupotosha umma.
Akizungumza na waandishi wa habari jana visiwani Zanzibar, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Nape Nnauye, alisema chama hicho kitawachukulia hatua kali...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-7jSl_HXR890/Vbcveo9cYQI/AAAAAAAD1xI/YmZIOkg5m0Q/s72-c/Picha_Imegushiwa%2521.jpg)
Siasa za Bongo zapamba Moto
![](http://3.bp.blogspot.com/-7jSl_HXR890/Vbcveo9cYQI/AAAAAAAD1xI/YmZIOkg5m0Q/s640/Picha_Imegushiwa%2521.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FIwDHcY_O6s/VbcvhSBGyKI/AAAAAAAD1xQ/-uqZAQptgQo/s640/Utalaamu%2Bwa%2Bkugushi_Picha.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Fitina wataka urais CCM zapamba moto
UKIWA umebaki mwaka mmoja kabla ya kuanza mchakato wa kutafuta mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), fitina na rafu miongoni mwa wanachama wanaotajwa kuwania nafasi hizo zimeanza...
11 years ago
MTANZANIA09 Feb
Bunge la Katiba moto
Tayari yapo mambo kadhaa yaliyobainika ambayo baadhi ya watu wanasema kuwa ama yanaweza kupandisha joto, au kuvuruga kabisa Bunge hilo la Katiba, lililopangwa kuanza kuketi Februari 18, mwaka huu.
11 years ago
Dewji Blog10 Aug
Shamrashamra za Serengeti Fiesta 2014 zapamba moto jijini Mwanza
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Young killer Msodoki, akiimba moja ya nyimbo zake katika onyesho la utambulisho wa wasanii watakaoshiriki katika maonyesho ya mwaka huu ya Serengeti Fiesta yaliyoanza leo katika Uwanja wa CCM Kirumba. hafla ya utambulisho ilifanyika katika ukumbi wa klabu ya Jembe ni Jembe jijiini Mwanza jana usiku. Tamasha la fiesta linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kwa bia yake ya Serengeti Premium Lager.
Msanii wa muziki wa bongo flava, Chege Chigunda ‘mtoto...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydVmloFqdXURh5pvP2ICkeMN81JonO19haBXp6-9DEVlvImXjb5iU2mgGES-1T67b6Xieun1eLPJHPyJc*WuGjne/1BUNGE.jpg?width=650)
BUNGE MAALUM LA KATIBA MOTO...
10 years ago
MichuziTEMEKE YAKABIDHI MWENGE WA UHURU WILAYA YA ILALA SHAMRASHAMRA ZAPAMBA MOTO
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA