Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siasa za Bongo zapamba Moto

Usahidi kwamba Picha za Lowassa na viongoozi wa CDM zimetengenezwa ....angalia kwa makini!!!

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kampeni za uchaguzi zapamba moto Zambia

Kampeni za uchaguzi nchini Zambia zapamba moto .

 

11 years ago

Mwananchi

Kampeni Bunge la Katiba zapamba moto

>Wakati ratiba ya shughuli za Bunge Maalumu la Katiba, ikitarajiwa kutangazwa rasmi siku ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa bunge hilo, jana baadhi ya wajumbe walikuwa wakifanya kampeni za wazi ndani ya Ukumbi wa Bunge.

 

10 years ago

Mtanzania

Kampeni chafu urais CCM zapamba moto

KinanaJOTO la uchaguzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), linazidi kupamba moto, huku uongozi wa juu wa chama hicho ukihaha kuwazima makada wanaodaiwa kuanza kampeni kabla ya muda.
Kutokana na hali hiyo, CCM imewataka wapambe na wagombea wao kuacha kutoa taarifa za uzushi dhidi ya makada sita wa chama hicho kwa lengo la kupotosha umma.
Akizungumza na waandishi wa habari jana visiwani Zanzibar, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Nape Nnauye, alisema chama hicho kitawachukulia hatua kali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fitina wataka urais CCM zapamba moto

UKIWA umebaki mwaka mmoja kabla ya kuanza mchakato wa kutafuta mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), fitina na rafu miongoni mwa wanachama wanaotajwa kuwania nafasi hizo zimeanza...

 

11 years ago

Dewji Blog

Shamrashamra za Serengeti Fiesta 2014 zapamba moto jijini Mwanza

01

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Young killer Msodoki, akiimba moja ya nyimbo zake katika onyesho la utambulisho wa wasanii watakaoshiriki katika maonyesho ya mwaka huu ya Serengeti Fiesta yaliyoanza leo katika Uwanja wa CCM Kirumba. hafla ya utambulisho ilifanyika katika ukumbi wa klabu ya Jembe ni Jembe jijiini Mwanza jana usiku. Tamasha la fiesta linadhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kwa bia yake ya Serengeti Premium Lager.

02

Msanii wa muziki wa bongo flava, Chege Chigunda ‘mtoto...

 

10 years ago

Michuzi

TEMEKE YAKABIDHI MWENGE WA UHURU WILAYA YA ILALA SHAMRASHAMRA ZAPAMBA MOTO

 Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema (kushoto), akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi baada ya kumaliza mbio zake wilayani Temeke Dar es Salaam leo asubuhi. Mwenge huo umeanza mbio zake wilayani Ilala leo na kesho utakabidhiwa wilaya ya Kinondoni. Vijana wa hamasa wa wilaya ya Ilala wakishangilia katika hafla hiyo ya kukabidhiwa mwenge huo. Mwenge ukiwasiri Kata ya Ukonga tayari kwa kukimbizwa wilaya ya Ilala.

PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPENI ZA CCM ZAPAMBA MOTO,MWIGULU,LOVENESS MAMUYA WASHIRIKI UFUNGUZI WA KAMPENI KISESA-MEATU

Mwigulu Nchemba na Mgombea Ubunge Jimbo la Kisesa-Meatu Ndg.Mpina wakiwasili Uwanja wa Mkutano hii leo wakati wa Ufunguzi wa kampeni katika Jimbo hilo.Mapokezi ya Mgombea Ubunge Jimbo la kisesa wakati wa Mkutano wa kufungua kampeni za Ubunge na Udiwani hii leo.Mwigulu NChemba akisalimiana na Wananchi wa Kisesa hii leo alipokwenda kufanya ufunguzi wa kampeni katika Jimbo hilo.Makada wa chama cha Mapinduzi wakifuatilia Mkutano wa Kufungua Kampeni Jimbo la Kisesa.Kada Mtiifu wa Chama cha...

 

10 years ago

Bongo Movies

Bongo Movie : Siasa Zimewabamba Au Kimtindomtindo?

WAMEDATISHWA au wamekurupuka? Ndivyo unavyoweza kuhoji kutokana na kasi waliyonayo wasanii katika kuchangamkia siasa wakijitosa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi.

Wasanii wa uigizaji, waimbaji na wengine wameuchangamkia Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu wa 2015 na baadhi yao wamepenya kwenye kura za maoni na wengine kwenda na maji baada ya kukatwa.

Irene Uwoya alifanikiwa kupenya kupitia CCM viti Maalumu Vijana Mkoa wa Tabora, Mohammed Mwikongi ‘Frank’ yeye amepeta kupitia ACT, Joseph Haule...

 

11 years ago

GPL

BONGO MUVI KWAWAKA MOTO

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan PENYE wengi pana mengi! Lile kundi la mastaa waigizaji wa Kibongo, Bongo Movie Unity, linadaiwa kuparanganyika baada ya kuwaka moto kufuatia mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kudaiwa kuwa na upendeleo kwa baadhi ya wanachama wa jinsia ya kike. Mmoja wa waasisi wa Bongo Muvi Jimmy mafufu (kushoto), Mtitu na baadhi ya wadau wa Bongo Muvi pichani. Habari za uhakika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani