Taarifa za kamati zawasha moto Bunge la Katiba
Bunge la Katiba leo linatarajiwa kuwaka moto upya wakati taarifa za Kamati zitakapoanza kuwasilishwa, huku mvutano mkubwa ukitarajiwa kuwa juu ya muundo wa Muungano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eFl_RS4_lU8/XntigJXhvKI/AAAAAAALlAU/pjfvwZySGMQJ4hbB1VAMr1zuK8hkkLWIwCLcBGAsYHQ/s72-c/fd3e62b3-b0c9-4982-a16d-57b3e53b4bea.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA YAPOKEA NA KUJADILI TAARIFA YA BAJETI OFISI YA WAZIRI MKUU JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-eFl_RS4_lU8/XntigJXhvKI/AAAAAAALlAU/pjfvwZySGMQJ4hbB1VAMr1zuK8hkkLWIwCLcBGAsYHQ/s640/fd3e62b3-b0c9-4982-a16d-57b3e53b4bea.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/ef7cc33b-8a9e-4385-bc7d-c8b8f85ef709.jpg)
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, Mhe. Asha Abdalla Juma akizungumza...
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa. Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...
11 years ago
MTANZANIA09 Feb
Bunge la Katiba moto
KUTANGAZWA kwa orodha ya majina ya wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba, kunakotoa fursa ya kuitishwa kwa Bunge hilo wiki ijayo, sasa ni dhahiri kumeibua joto lingine jipya.
Tayari yapo mambo kadhaa yaliyobainika ambayo baadhi ya watu wanasema kuwa ama yanaweza kupandisha joto, au kuvuruga kabisa Bunge hilo la Katiba, lililopangwa kuanza kuketi Februari 18, mwaka huu.
Tayari yapo mambo kadhaa yaliyobainika ambayo baadhi ya watu wanasema kuwa ama yanaweza kupandisha joto, au kuvuruga kabisa Bunge hilo la Katiba, lililopangwa kuanza kuketi Februari 18, mwaka huu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydVmloFqdXURh5pvP2ICkeMN81JonO19haBXp6-9DEVlvImXjb5iU2mgGES-1T67b6Xieun1eLPJHPyJc*WuGjne/1BUNGE.jpg?width=650)
BUNGE MAALUM LA KATIBA MOTO...
Stori: Haruni Sanchawa
BUNGE la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatarajiwa kuanza leo na tayari wajumbe wa bunge hilo wamewasha moto wa mjadala hata kabla ya vikao rasmi kuanza. Baadhi ya wajumbe waliozungumza na gazeti hili juzi walisema mijadala inayotarajiwa kuzusha malumbano makubwa ni suala la muundo wa muungano ambapo kuna baadhi yao wanaungana na Tume ya Jaji Joseph Warioba ambayo imependekeza kuwepo na...
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Bunge la Katiba lapata viongozi wa kamati
BUNGE Maalumu la Katiba jana lilipata wenyeviti na makamu wao kuongoza kamati 12 zilizoundwa kwa ajili ya kujadili rasimu ya pili ya Katiba. Kamati hizo ambazo zinajulikana kwa namba, ya...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Kampeni Bunge la Katiba zapamba moto
>Wakati ratiba ya shughuli za Bunge Maalumu la Katiba, ikitarajiwa kutangazwa rasmi siku ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa bunge hilo, jana baadhi ya wajumbe walikuwa wakifanya kampeni za wazi ndani ya Ukumbi wa Bunge.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l3u3zBbFCEQ/XnUrxUzrtRI/AAAAAAALkks/l25k3LNMqM0JE40ozZ_eCVswFFoHCZG4wCLcBGAsYHQ/s72-c/1X2A8732.jpg)
WIZARA YAKUTANA NA KAMATI YA BUNGE YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2019/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-l3u3zBbFCEQ/XnUrxUzrtRI/AAAAAAALkks/l25k3LNMqM0JE40ozZ_eCVswFFoHCZG4wCLcBGAsYHQ/s640/1X2A8732.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Salim Mwinyi Rehani (mwenye suti nyeusi) wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi hayupo pichani aliyekuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji ya Wizara ya mwaka...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania