Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


A Brief Statement On Boko Haram by The Mufti Of Saudi Arabia Shaykh Abdul-Azeez Aali Shaikh


Shaykh Abdul Azeez Aali Shaikh (may Allaah preserve him) said, "Boko Haraam is a misguided group and are from the Khawaarij. 
Their actions are evil and harmful for Islam and the Muslims.
Their actions are destructive.
Abducting girls is from the actions of a misguided group.
If Boko Haraam are claiming a call to jihad, then it is nothing but ignorance and enmity against Islaam and the Muslims.
Boko Haraam are not upon correctness and guidance because Islaam opposes abduction/kidnapping,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JK AOMBOLEZA KIFO CHA Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud wa saudi Arabia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameituma Saudi Arabia salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha
Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud (90) ambaye alifariki jana, Alhamisi, Januari 22, 2015, na kuzikwa leo, Ijumaa, Januari 23, 2015 mjini Riyadh.

Katika salamu zake kwa Mfalme mpya, Mfalme Salman bin Abdul Aziz al Saud, Rais Kikwete amesema kuwa anaungana na wananchi wa Saudi Arabia na dunia nzima kuomboleza kifo cha kiongozi aliyetoa mchango mkubwa...

 

5 years ago

CCM Blog

MUFTI MKUU SAUDI ARABIA ATANGAZA TARAWEHE NA IDDI KUSWALIWA MAJUMBANI

  Mufti Mkuu wa Saudi Arabia, Sheikh Abdulaziz Al-Sheikh, amesema kuwa sala zote kwenye mwezi wa Ramadhan na Eid-al-Fitr zitapaswa kuswaliwa majumbani, endapo janga la kirusi cha corona litaendelea, hii ikiwa fatwa ya karibuni kabisa kutolewa na kiongozi huyo wa juu wa dini ya Kiislamu nchini humo.

Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan unaanza wiki ijayo, katika wakati ambapo maradhi ya COVID-19 yakipamba moto. Katikati ya mwezi uliopita wa Machi, Saudi Arabia ilifunga misikiti yote kuzuwia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aelekea Saudi Arabia kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud

Jakaya-Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amekwenda Saudi Arabia asubuhi ya leo, Jumapili, Januari 25, 2015, kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud aliyefariki Alhamisi na kuzikwa Ijumaa ya wiki iliyopita.

Baada ya kuhani msiba wa Mfalme Abdullah, Rais Kikwete ataendelea na safari yake kwenda nchi za Ujerumani na Ufaransa kwa ziara za kikazi.

Mjini Berlin, Ujerumani ambako Rais Kikwete alitarajiwa kuwasili kesho, Jumatatu, Januari...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tumehitimisha mashambulizi:Saudi Arabia

Saudi Arabia imesema imehitimisha Kampeni za mashambulizi dhidi ya Waasi wa kihuthi nchini Yemen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Houthi washambulia Saudi Arabia

Saudi Arabia inasema kuwa imezuia makombora yaliyofyatuliwa kutoka nchini Yemen kwenda ardhi yake na waasi wa Houthi

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudi Arabia yawahukumu wanasheria

Mahakama nchini Saudi Arabia imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitano mpaka nane kwa wanasheria wa tatu nchini humo

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama azuru Saudi Arabia

Rais wa Marekani Barack Obama yuko chini Saudi Arabia kufuta ati ati kuhusu uhusiano wa mataifa hayo mawili .

 

11 years ago

BBC

Promise reveals lure of Saudi Arabia

Nigerian forward Isaac Promise tells BBC Sport he joined Saudi Arabian side Al-Ahli SC in order to experience a new life and culture.

 

11 years ago

BBC

'Ebola victim' dies in Saudi Arabia

Saudi authorities say a man being treated for Ebola-like symptoms has died after visiting Sierra Leone, as the death toll from the outbreak passes 900.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani