A Brief Statement On Boko Haram by The Mufti Of Saudi Arabia Shaykh Abdul-Azeez Aali Shaikh
Shaykh Abdul Azeez Aali Shaikh (may Allaah preserve him) said, "Boko Haraam is a misguided group and are from the Khawaarij.
Their actions are evil and harmful for Islam and the Muslims.
Their actions are destructive.
Abducting girls is from the actions of a misguided group.
If Boko Haraam are claiming a call to jihad, then it is nothing but ignorance and enmity against Islaam and the Muslims.
Boko Haraam are not upon correctness and guidance because Islaam opposes abduction/kidnapping,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--UJPmQxiZlU/VMLNTa6VcgI/AAAAAAAG_O4/_yYwzC-w1bo/s72-c/download.jpg)
JK AOMBOLEZA KIFO CHA Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud wa saudi Arabia
![](http://1.bp.blogspot.com/--UJPmQxiZlU/VMLNTa6VcgI/AAAAAAAG_O4/_yYwzC-w1bo/s1600/download.jpg)
Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud (90) ambaye alifariki jana, Alhamisi, Januari 22, 2015, na kuzikwa leo, Ijumaa, Januari 23, 2015 mjini Riyadh.Katika salamu zake kwa Mfalme mpya, Mfalme Salman bin Abdul Aziz al Saud, Rais Kikwete amesema kuwa anaungana na wananchi wa Saudi Arabia na dunia nzima kuomboleza kifo cha kiongozi aliyetoa mchango mkubwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GvrH-BHDL4Q/XpneOd9puQI/AAAAAAAA_WI/JAN2S6s0zGsNmypVrivkWAlo5B7F5sRDgCNcBGAsYHQ/s72-c/PIC%252BCORONA.jpg)
MUFTI MKUU SAUDI ARABIA ATANGAZA TARAWEHE NA IDDI KUSWALIWA MAJUMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-GvrH-BHDL4Q/XpneOd9puQI/AAAAAAAA_WI/JAN2S6s0zGsNmypVrivkWAlo5B7F5sRDgCNcBGAsYHQ/s400/PIC%252BCORONA.jpg)
Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan unaanza wiki ijayo, katika wakati ambapo maradhi ya COVID-19 yakipamba moto. Katikati ya mwezi uliopita wa Machi, Saudi Arabia ilifunga misikiti yote kuzuwia...
10 years ago
Dewji Blog25 Jan
Rais Kikwete aelekea Saudi Arabia kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amekwenda Saudi Arabia asubuhi ya leo, Jumapili, Januari 25, 2015, kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud aliyefariki Alhamisi na kuzikwa Ijumaa ya wiki iliyopita.
Baada ya kuhani msiba wa Mfalme Abdullah, Rais Kikwete ataendelea na safari yake kwenda nchi za Ujerumani na Ufaransa kwa ziara za kikazi.
Mjini Berlin, Ujerumani ambako Rais Kikwete alitarajiwa kuwasili kesho, Jumatatu, Januari...
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Tumehitimisha mashambulizi:Saudi Arabia
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Houthi washambulia Saudi Arabia
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Saudi Arabia yawahukumu wanasheria
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Obama azuru Saudi Arabia
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76889000/jpg/_76889832_promise.jpg)
Promise reveals lure of Saudi Arabia
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76779000/jpg/_76779150_76475767.jpg)
'Ebola victim' dies in Saudi Arabia