MUFTI MKUU SAUDI ARABIA ATANGAZA TARAWEHE NA IDDI KUSWALIWA MAJUMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-GvrH-BHDL4Q/XpneOd9puQI/AAAAAAAA_WI/JAN2S6s0zGsNmypVrivkWAlo5B7F5sRDgCNcBGAsYHQ/s72-c/PIC%252BCORONA.jpg)
Mufti Mkuu wa Saudi Arabia, Sheikh Abdulaziz Al-Sheikh, amesema kuwa sala zote kwenye mwezi wa Ramadhan na Eid-al-Fitr zitapaswa kuswaliwa majumbani, endapo janga la kirusi cha corona litaendelea, hii ikiwa fatwa ya karibuni kabisa kutolewa na kiongozi huyo wa juu wa dini ya Kiislamu nchini humo.
Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan unaanza wiki ijayo, katika wakati ambapo maradhi ya COVID-19 yakipamba moto. Katikati ya mwezi uliopita wa Machi, Saudi Arabia ilifunga misikiti yote kuzuwia...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi10 May
A Brief Statement On Boko Haram by The Mufti Of Saudi Arabia Shaykh Abdul-Azeez Aali Shaikh
Shaykh Abdul Azeez Aali Shaikh (may Allaah preserve him) said, "Boko Haraam is a misguided group and are from the Khawaarij.
Their actions are evil and harmful for Islam and the Muslims.
Their actions are destructive.
Abducting girls is from the actions of a misguided group.
If Boko Haraam are claiming a call to jihad, then it is nothing but ignorance and enmity against Islaam and the Muslims.
Boko Haraam are not upon correctness and guidance because Islaam opposes abduction/kidnapping,...
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Houthi washambulia Saudi Arabia
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Obama azuru Saudi Arabia
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Saudi Arabia yawahukumu wanasheria
10 years ago
BBCSwahili22 Apr
Tumehitimisha mashambulizi:Saudi Arabia
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82783000/jpg/_82783959_senegalafp.jpg)
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76889000/jpg/_76889832_promise.jpg)
Promise reveals lure of Saudi Arabia
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Mafuta kuporomoka yaumiza Saudi Arabia
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Buriani kwa mfalme wa Saudi Arabia