Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUFTI MKUU SAUDI ARABIA ATANGAZA TARAWEHE NA IDDI KUSWALIWA MAJUMBANI

  Mufti Mkuu wa Saudi Arabia, Sheikh Abdulaziz Al-Sheikh, amesema kuwa sala zote kwenye mwezi wa Ramadhan na Eid-al-Fitr zitapaswa kuswaliwa majumbani, endapo janga la kirusi cha corona litaendelea, hii ikiwa fatwa ya karibuni kabisa kutolewa na kiongozi huyo wa juu wa dini ya Kiislamu nchini humo.

Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan unaanza wiki ijayo, katika wakati ambapo maradhi ya COVID-19 yakipamba moto. Katikati ya mwezi uliopita wa Machi, Saudi Arabia ilifunga misikiti yote kuzuwia...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

A Brief Statement On Boko Haram by The Mufti Of Saudi Arabia Shaykh Abdul-Azeez Aali Shaikh


Shaykh Abdul Azeez Aali Shaikh (may Allaah preserve him) said, "Boko Haraam is a misguided group and are from the Khawaarij. 
Their actions are evil and harmful for Islam and the Muslims.
Their actions are destructive.
Abducting girls is from the actions of a misguided group.
If Boko Haraam are claiming a call to jihad, then it is nothing but ignorance and enmity against Islaam and the Muslims.
Boko Haraam are not upon correctness and guidance because Islaam opposes abduction/kidnapping,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Houthi washambulia Saudi Arabia

Saudi Arabia inasema kuwa imezuia makombora yaliyofyatuliwa kutoka nchini Yemen kwenda ardhi yake na waasi wa Houthi

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama azuru Saudi Arabia

Rais wa Marekani Barack Obama yuko chini Saudi Arabia kufuta ati ati kuhusu uhusiano wa mataifa hayo mawili .

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudi Arabia yawahukumu wanasheria

Mahakama nchini Saudi Arabia imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitano mpaka nane kwa wanasheria wa tatu nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Tumehitimisha mashambulizi:Saudi Arabia

Saudi Arabia imesema imehitimisha Kampeni za mashambulizi dhidi ya Waasi wa kihuthi nchini Yemen.

 

10 years ago

BBC

Why is Senegal sending troops to Saudi Arabia?

They're sending troops to Saudi Arabia... again

 

11 years ago

BBC

Promise reveals lure of Saudi Arabia

Nigerian forward Isaac Promise tells BBC Sport he joined Saudi Arabian side Al-Ahli SC in order to experience a new life and culture.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mafuta kuporomoka yaumiza Saudi Arabia

Saudi Arabia yatangaza kubana matumizi kwa sababu ya pato lake kutokana na mafuta lapungua

 

10 years ago

BBCSwahili

Buriani kwa mfalme wa Saudi Arabia

Mazishi ya mfalme wa Saudi Arabia Abdulla ambaye aliaga dunia hii leo yamefanyika katika mji mkuu wa Saudi Arabia,Riyadh

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani