AARIFA YA SHEREHE TAREHE 27 DISEMBA 2014.
Ndugu Watanzania, Matarajio yangu natumai munaendelea na afya njema. Kwa niaba ya uongozi wa Jumuiya ya Tanzaseattle, napenda kuwatangazia pamoja na kukuombeni kuhudhuria rasmi kwenye sherehe itakayo jumuisha matukio matatu muhimu kama ifuatavyo: 1. Sherehe ya Uhuru wa Tanganyika2. Sherehe ya Krismas3.Sherehe ya Makabidhiano majukumu kwa uongozi mpya. Tarehe rasmi ya sherehe ni 'December 27th, 2014'Muda rasmi wa sherehe ni kuanzia Saa 11 jioni hadi riamba(5pm - sunrise)Anuani ya sehemu ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi31 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RAKmEUklrkk/VI9BH2n5XNI/AAAAAAADSD4/j8Oud0FKEDk/s72-c/KONGAMANO%2BLA%2BUWEKEZAJI%2BSEKTA%2BYA%2BUTALII%2BKUFANYIKA%2BDUBAI%2BTAREHE%2B1_0001.jpg)
10 years ago
Michuzi09 Feb
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-H9WOnvWeMjM/VCZrDP6C_qI/AAAAAAAAA_M/Gj78R_ySOyE/s72-c/8U5A0029.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s72-c/New+Picture.png)
sherehe za miaka hamsini ya Jamhuri ya Muungano waTanzania kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 25 hadi 26 Aprili, 2014 nchini Ujerumani
![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s1600/New+Picture.png)
Kama mnavyofahamu kuwa siku ya tarehe 26 Aprili, 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka hamsini (50), kwa lugha nyingine ni “Golden Jubilee”.
Katika kuadhimisha sherehe hii kubwa na muhimu, Ubalozi umeamua kuandaa Kongamano la Biashara (Investment Forum) kwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2014 pamoja na siku ya terehe 26 Aprili, 2014 kuwa siku ya mdahalo (Scholars' day) mjini Berlin, Ujerumani.
Madhumuni makubwa ya Kongamano hili ni kuwatangazia na kuwaonyesha...
11 years ago
BBCSwahili06 Dec
Nelson Mandela kuzikwa tarehe 15 Disemba
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w5Fq2zYqWVs/Uu9AiYOqZ9I/AAAAAAAFKjE/l2RtpWPKaHQ/s72-c/0L7C0490.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h84oK4AzOqvMKdJeRrRjKy8j6W2h2Ab2mU6k6Tp*NzVuS92DvscOAoFhl005PGAqSMQtPGq-yy5qXogJA-J2hyE/22.jpg?width=650)
HOTUBA YA JAKAYA KIKWETE KWENYE SHEREHE YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA NA WIKI YA VIJANA KITAIFA, TAREHE 14/10/2014 – MKOANI TABORA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-go6Fycws_ko/VmcVpDNermI/AAAAAAAILEk/YpV_5lCJQYE/s72-c/dd.png)
UTARATIBU WA KUSHIRIKI ZOEZI LA KUFANYA USAFI SIKU YA TAREHE 9 DISEMBA, 2015 MKOA WA DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-go6Fycws_ko/VmcVpDNermI/AAAAAAAILEk/YpV_5lCJQYE/s640/dd.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alitoa agizo la kumtaka kila mtu kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya Uhuru tarehe 9 Disemba, 2015 kwa kushiriki zoezi la kufanya usafi wa mazingira. Katika Mkoa wa Dodoma, zoezi hilo litahusisha kazi za usafi wa makazi na maeneo ya shughuli mbalimbali, kufagia barabara za lami na vumbi, kufyeka nyasi kandokando mwa barabara na katika maeneo ya wazi na jamii, kuokota takataka (mifuko ya Rambo) na kuzibua mitaro ya maji ya...