UTARATIBU WA KUSHIRIKI ZOEZI LA KUFANYA USAFI SIKU YA TAREHE 9 DISEMBA, 2015 MKOA WA DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-go6Fycws_ko/VmcVpDNermI/AAAAAAAILEk/YpV_5lCJQYE/s72-c/dd.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alitoa agizo la kumtaka kila mtu kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya Uhuru tarehe 9 Disemba, 2015 kwa kushiriki zoezi la kufanya usafi wa mazingira. Katika Mkoa wa Dodoma, zoezi hilo litahusisha kazi za usafi wa makazi na maeneo ya shughuli mbalimbali, kufagia barabara za lami na vumbi, kufyeka nyasi kandokando mwa barabara na katika maeneo ya wazi na jamii, kuokota takataka (mifuko ya Rambo) na kuzibua mitaro ya maji ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMKOA WA DODOMA WAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI LA KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU 9 DISEMBA, 2015
Uongozi wa Mkoa umeamua kuanza mapema zoezi la ufanyaji usafi pasipo kusubiri tarehe 9 Disemba na umepanga kuwa zoezi hilo litakuwa endelevu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KlX-qr4GgsU/VlxiUl-0yKI/AAAAAAAIJUg/8pnoMtCZnys/s72-c/Asa%2BMwambene.jpg)
Watumishi wa Umma watakiwa kushiriki zoezi la usafi disemba 9
![](http://3.bp.blogspot.com/-KlX-qr4GgsU/VlxiUl-0yKI/AAAAAAAIJUg/8pnoMtCZnys/s400/Asa%2BMwambene.jpg)
Serikali imewaagiza watumishi wa umma kushiriki zoezi la usafi wa nchi litakalofanyika tarehe 9 disemba mwaka huu katika maeneo yao wanaoishi.
Agizo hilo limetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw Assah Mwambene alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijin Dar es salaam na kusema kwamba Watumishi wa Umma wanatakiwa wabaki nyumbani na kufanya usafi katika maeneo yao na yale watakayo pangiwa na viongozi wa mitaa wanayoishi.
“Kila mwananchi ahakikishe...
9 years ago
StarTV24 Dec
Zoezi la usafi 9 Disemba la Maguful laongeza hamasa kwa wananchi
Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Wazee na Watoto imesema zoezi la usafi lililofanyika nchi nzima Desemba 9 mwaka huu ikiwa ni agizo la Rais Magufuli la kuadhimsiha sherehe za Uhuru kwa kufanya usafi, limeibua hisia kubwa kwa watanzani katika kuhamasika kutunza mazingira.
Wizara imesema kuwa zoezi hilo limepunguza kasi ya kipindupindu na jamii imetambua umuhimu wa usafi hasa maeneo ya vijijini ambako wengi hudhani suala la usafi linafanyika mjini pekee.
Desemba 9 mwaka huu ilikuwa ni siku...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iTv8zHc-VJM/Vmm2GVZIs9I/AAAAAAAILhE/S1CmULdn0zk/s72-c/us1.png)
MHE.BALOZI WILSON M. MASILINGI ATEMBELEA KITENGO CHA VISA KATIKA OFISI ZA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON D.C, SIKU YA KUMBUKUMBU YA UHURU, TAREHE 9 DISEMBA, 2015
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F-9RLDKjng-Y00nt7psopFF3eRA3DtOcjSRUH7l0ABGvtZ0MJ4xKcDjWkB4d8Owzz7yo*KPBgqPUVHNFrK*FA11h6nj20vsa/001.MTWARA.jpg?width=750)
CHAMA CHA WAANDISHI MTWARA CHAENDESHA ZOEZI LA USAFI NA KUPANDA MITI KATIKA HOSPITALI YA MKOA HUO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3fijarOGr3k/Vl1XJitNAMI/AAAAAAAIJZo/oFkjwYWvmCA/s72-c/Polis.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA DISEMBA 1,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-3fijarOGr3k/Vl1XJitNAMI/AAAAAAAIJZo/oFkjwYWvmCA/s200/Polis.png)
- WATU WATATU WAUAWA KATIKA MATUKIO MATATU TOFAUTI WILAYA ZA CHUNYA, RUNGWE NA MBARALI.
- WATU WAWILI WAFARIKI DUNIA KATIKA TUKIO LA AJALI JIJINI MBEYA.
- WATU WANNE WAKAMATWA NA SILAHA MBILI NA NYARA ZA SERIKALI WILAYANI CHUNYA.
- MTU MMOJA AKAMATWA NA NYARA ZA SERIKALI...
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Mlata ashiriki zoezi la usafi Manispaa ya Singida
![IMG_1124](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1124.jpg)
![IMG_1132](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1132.jpg)
![IMG_1142](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1142.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s72-c/aaa.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s640/aaa.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_TqgsZUVxA/VdOd8pH2pxI/AAAAAAAHyDo/ZHeA-B7qXco/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Wananchi mnakaribishwa kushiriki mdahalo wa Katiba MCC Musoma tarehe 24 Januari, 2015
Marais wote wa Tanzania Bara Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein wakionyesha juu Katiba inayopendekezwa ili wananchi waweze kuziona wakati wa sherehe ya makabidhiano ya Katiba hiyo mwaka jana tarehe 8 Oktoba, 2014 mjini Dodoma. Kulia ni Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta. (Picha na Maktaba).
Press Musoma.docx by moblog