Wananchi mnakaribishwa kushiriki mdahalo wa Katiba MCC Musoma tarehe 24 Januari, 2015
Marais wote wa Tanzania Bara Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein wakionyesha juu Katiba inayopendekezwa ili wananchi waweze kuziona wakati wa sherehe ya makabidhiano ya Katiba hiyo mwaka jana tarehe 8 Oktoba, 2014 mjini Dodoma. Kulia ni Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta. (Picha na Maktaba).
Press Musoma.docx by moblog
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi22 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QI37sdZWn1I/VK6fy7eNRXI/AAAAAAAG8EI/rCxtoXB3YJg/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE KUANZA TAREHE 13 — 23 JANUARI 2015
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QI37sdZWn1I/VK6fy7eNRXI/AAAAAAAG8EI/rCxtoXB3YJg/s1600/New%2BPicture.png)
BUNGE LA TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA KUPITIA VYOMBO HABARI KUHUSU VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE KUANZA TAREHE 13 – 23 JANUARI 2015
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anawatangazia Waheshimiwa Wabunge wote, wadau na umma kwa ujumla kuwa Kamati za Kudumu za Bunge zitaanza vikao vyake tarehe 13 hadi 23 Januari 2015. Vikao hivyo vitakavyoutangulia mkutano wa Kumi na Nane wa Bunge la Kumi vitajadili na kuchambua pamoja na mambo mengine Miswada mbalimbali ya...
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Taarifa kwa umma kupitia vyombo habari kuhusu vikao vya kamati za Bunge kuanza tarehe 13 — 23 Januari 2015
Mwito kwa kamati 2015.docx by moblog
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-go6Fycws_ko/VmcVpDNermI/AAAAAAAILEk/YpV_5lCJQYE/s72-c/dd.png)
UTARATIBU WA KUSHIRIKI ZOEZI LA KUFANYA USAFI SIKU YA TAREHE 9 DISEMBA, 2015 MKOA WA DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-go6Fycws_ko/VmcVpDNermI/AAAAAAAILEk/YpV_5lCJQYE/s640/dd.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli alitoa agizo la kumtaka kila mtu kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya Uhuru tarehe 9 Disemba, 2015 kwa kushiriki zoezi la kufanya usafi wa mazingira. Katika Mkoa wa Dodoma, zoezi hilo litahusisha kazi za usafi wa makazi na maeneo ya shughuli mbalimbali, kufagia barabara za lami na vumbi, kufyeka nyasi kandokando mwa barabara na katika maeneo ya wazi na jamii, kuokota takataka (mifuko ya Rambo) na kuzibua mitaro ya maji ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-p5jE-ZOipZ0/VgDMyvRIiNI/AAAAAAAAWig/rxCwnVJz0tg/s72-c/IMG_2504.jpg)
WANANCHI WA KISARAWE WASHIRIKI MDAHALO WA AJENDA YA WATOTO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-p5jE-ZOipZ0/VgDMyvRIiNI/AAAAAAAAWig/rxCwnVJz0tg/s640/IMG_2504.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ILFRVXZkSQk/VgDMyeH8GwI/AAAAAAAAWik/9PTBuca8qw4/s640/IMG_2489.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-74pEIwfEOYA/VgDM3_vxcqI/AAAAAAAAWjM/bm8PINSEeic/s640/IMG_2532.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X2DNaxarANM/VFUHYeseI1I/AAAAAAAGun0/dCwZg7UqNpw/s72-c/images.jpg)
MDAHALO WA KUJADILI UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KATIKA KATIBA INAYOPENDEKEZWA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA UTAKAOFANYIKA KWENYE HOTELI YA BLUE PEARL, UBUNGO PLAZA DAR ES SALAAM JUMAPILI TAREHE 2 NOVEMBA 2014 KUANZIA SAA 9.00 MCHANA MPAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-X2DNaxarANM/VFUHYeseI1I/AAAAAAAGun0/dCwZg7UqNpw/s1600/images.jpg)
Lengo ni kutoa fursa kwa washiriki wa mdahalo na wananchi kwa ujumla kujielimisha kuhusu...
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Tume ya Warioba kushiriki mdahalo
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Wagombea,urais,wenza washindwa kuthibitisha kushiriki mdahalo
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Sep
Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015.
Katika kampeni za uchaguzi mkuu wa October 2015, Mh. Seif Sharif Hamad aliombea wagombea zake kura za ndio wakiwemo wabunge, madiwani na wawakilishi wa Jibo la Ole, Pia Muheshimiwa alimuombea kura ndugu Edward Lowasa. Katika Sera […]
The post Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015. appeared first on Mzalendo.net.