WANANCHI WA KISARAWE WASHIRIKI MDAHALO WA AJENDA YA WATOTO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-p5jE-ZOipZ0/VgDMyvRIiNI/AAAAAAAAWig/rxCwnVJz0tg/s72-c/IMG_2504.jpg)
Ndg Abel Mudo, mgombea wa udiwani kata ya Kisarawe kupitia CCM akichangia katika mdahalo wa ajenda ya watoto ambapo ulihusisha pia wakazi wa kata ya kisarawe
Baadhi ya wakazi ya kata wa kisarawe wakifuatilia kwa makini mdahalo wa ajenda ya watoto ambapo wa ajenda ya watoto ullohusisha wagombea wa udiwani kupiitia vyama vya CCM na Chadema
Mmoja wa wananchi wa kata ya kisarawe akichangia katika mdahalo wa ajenda ya watoto kuelekea uchaguzi mkuu ambapo ulihusisha wanafunzi na wagombea wa...
Vijimambo