VUGUVUGU LA AJENDA YA WATOTO NA UCHAGUZI MKUU LAENDELEA KIBAHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qOfVMdkSiGw/VgOV4ExKdeI/AAAAAAAAud0/FQcDYIiGJww/s72-c/Akram-Shabani%252C-MWANAFUNZI-WA-SHULE-YA-SEKONDARI-SIMBANI.jpg)
Mwanafunzi wa shule ya Sekondari Simbani, Akram-Shabani,akizungumza katika Mdahalo wa Walinde Watoto uliowaleta pamoja wapiga kura, watoto na wagombea wa nafasi za Ubunge na Udiwani uliofanyika Kibaha Mkoani Pwani jana.
Baadhi ya wakazi wa Kibaha Mkoani Pwani waliohudhuria mdahalo huo.
Mratibu wa mradi wa kuzuia ukatili dhidi ya mtoto kutoka Plan International, Jastin Moses akizungumza katika Mdahalo wa Walinde Watoto uliowaleta pamoja wapiga kura, watoto na wagombea wa nafasi za Ubunge na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-BbJHAO6hilY/VgTfEWsWjxI/AAAAAAAAc_0/rmvN_6pbmCU/s72-c/mtoto-Loida-Goodluck-Kutoka-shule-ya-Simbani-secondary-school-akichangia-mada.jpg)
VUGU VUGU LA AJENDA YA WATOTO NA UCHAGUZI MKUU LAENDELEA KIBAHA MKOANI PWANI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-BbJHAO6hilY/VgTfEWsWjxI/AAAAAAAAc_0/rmvN_6pbmCU/s640/mtoto-Loida-Goodluck-Kutoka-shule-ya-Simbani-secondary-school-akichangia-mada.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iCpFIkYLAP4/VgTfC9j_1JI/AAAAAAAAc_Y/pio2qkd02NA/s640/Mjumbe-wa-kamati-ya-ukinzi-na-usalama-wa-mtoto%252CJoyce-Michael.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZLR9INKSPmo/VgTfCe3_G_I/AAAAAAAAc_E/fIk-xh5O9YY/s640/Jastin-Moses%252Cmratibu-wa-mradi-wa-kuzuia-ukatili-dhidi-ya-mtoto-kutoka-Plan-International-.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-z2o9cAwY4uE/VgTfDCFA-uI/AAAAAAAAc_c/THgNwnI5oXk/s640/Ombeni-Ally%252C-Mkuu-wa-Shule-ya-SEKONDARI-Simbani.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-THx1CtniEEM/VgTfD2lRsKI/AAAAAAAAc_w/0qkdhzG9HTo/s640/Ramadhan-Lutambi%252C-mgombea-udiwani-kata-ya-Kibaha-maili-Moja-kupitia-chadema.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-p5jE-ZOipZ0/VgDMyvRIiNI/AAAAAAAAWig/rxCwnVJz0tg/s72-c/IMG_2504.jpg)
WANANCHI WA KISARAWE WASHIRIKI MDAHALO WA AJENDA YA WATOTO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-p5jE-ZOipZ0/VgDMyvRIiNI/AAAAAAAAWig/rxCwnVJz0tg/s640/IMG_2504.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ILFRVXZkSQk/VgDMyeH8GwI/AAAAAAAAWik/9PTBuca8qw4/s640/IMG_2489.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-74pEIwfEOYA/VgDM3_vxcqI/AAAAAAAAWjM/bm8PINSEeic/s640/IMG_2532.jpg)
10 years ago
Habarileo08 Oct
Lowassa: Ardhi ajenda Uchaguzi Mkuu Monduli
WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amesema ajenda kuu katika uchaguzi ujao katika Jimbo la Monduli wilayani Monduli mkoani Arusha ni migogoro ya ardhi na hana uhakika kama viongozi wa vijiji waliojiingiza katika migogoro hiyo watarudi madarakani.
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
Wagombea ubunge na udiwani uso kwa uso na wapiga kura wao Mufindi, waulizwa maswali mazito juu ya ajenda ya watoto
![](http://4.bp.blogspot.com/-NeKUStq3ynE/VgzUvjRIetI/AAAAAAAAWms/lkt510hBT8Y/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--sfk4adZXnw/VgzUwM7XomI/AAAAAAAAWmw/ml9AgreWFug/s640/02.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NeKUStq3ynE/VgzUvjRIetI/AAAAAAAAWms/lkt510hBT8Y/s72-c/01.jpg)
WAGOMBEA UBUNGE NA UDIWANI USO KWA USO NA WAPIGA KURA WAO MUFINDI , WAULIZWA MASWALI MAZITO JUU YA AJENDA YA WATOTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NeKUStq3ynE/VgzUvjRIetI/AAAAAAAAWms/lkt510hBT8Y/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--sfk4adZXnw/VgzUwM7XomI/AAAAAAAAWmw/ml9AgreWFug/s640/02.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015
Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s72-c/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC KUONA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s640/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2wbNUQWxs8w/VfSlycBQWUI/AAAAAAABlxM/kATyAIcFBF8/s640/11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o.jpg)
5 years ago
MichuziWANAWAKE WAPWANI GENERATION WATOA MSAADA WA VYAKULA KWA KITUO CHA WATOTO YATIMA KIBAHA
NA VICTOR MASANGU, KIBAHAWatoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira magumu katika kituo cha Sharom kilichopo kata ya Msangani Wilayani Kibaha Mkoani Pwani wamemuomba Rais Dk. John Pombe Magufuli kuwasaidia kwa hali na mali kuwasaidia kuwatatulia changamoto mbali mbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa mahitaji ya chakulai,nguo, huduma za matibabu pamoja na ujenzi wa jengo la nyumba kwa ajili ya kuweza kuishi.
Baadhi ya watoto hao akiwemo Sara Yendemba Dickson Michael na wakizungumza...
10 years ago
Dewji Blog09 May
Waziri Mkuu akagua kiwanda cha viuadudu Kibaha
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiakagua mitambo ya kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu kinachojengwa na watalaamu kutoka Cuba, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalaamu kutoka Cuba wanaojenga kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua kiwanda cha kutengeneza dawa za wadudu hasa Mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8,...