Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACB yakusanya watengeneza bidhaa Dar

Benki ya Biashara ya Akiba (ACB) ya jijini Dar es Salaam inatarajia kuwakusanya watu wanaotaka kujifunza utengenezaji bidhaa kwa kushirikiana na taasisi inayotoa elimu ya ujasiriamali ya TZAID.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TRA YAKUSANYA ZAIDI YA SH.BILIONI 258 KWA FAINI NA KODI ZA BIDHAA ZA MAGENDO

Na Avila Kakingo,Globu ya jamii
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita imekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 258 zilizotokana na faini ya bidhaa mbalimbali za magendo.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam,amesema TRA inaungana na jeshi la Polisi katika kukamata watu wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa ...

 

11 years ago

GPL

PSPF, ACB KUDHAMINI BONANZA LA JOGGING DAR LIVE JUMAPILI HII

Meneja Masoko wa Global Publishers, Innocent Mafuru (kushoto) akiwatambulisha wageni waliofika ofisi za Global Publishers kuelezea maandalizi ya Bonanza la Jogging litakalofanyika Dar Live Jumapili hii. Kutoka kushoto ni waratibu wa Bonanza la Dar Live, Rajab Mteta 'KP', Mshauri Barandu wakiwa na Mkuu wa Masoko wa Akiba Commercial Bank (ACB), Innocent Ishengoma.… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watengeneza noti bandia wanaswa Dar

Suleiman-Kova

 Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam, Suleiman Kova.

Na Mwandishi wetu

Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa limefanikiwa  kukamata kundi la watu saba wanaotengeneza noti bandia za Dolla milioni moja na sitini na nne  ambazo ni sawa na sh bilioni moja milioni mia saba na mbili na laki nne.

Kamanda Kova alisema tukio hilo lilitokea mnamo Agosti 4 huko  Sinza katika Hotel iitwayo Mombasa Kinondoni.

Kova alisema polisi walipata taarifa toka kwa wasamaria wema...

 

11 years ago

Habarileo

Denmark watengeneza kivuko cha Dar-Bagamoyo

KIVUKO cha kisasa kinajengwa nchini Denmark kwa ajili ya usafiri kwa njia ya maji kutoka jijini Dar es Salaam hadi Bagamoyo. Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, alisema hayo wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia (NCCR-Mageuzi).

 

11 years ago

TheCitizen

We have simplified operations, says ACB

 Akiba Commercial Bank (ACB) said yesterday it has simplified its services so as to serve its growing number of micro enterprises better.

 

11 years ago

Mwananchi

ACB yaboresha makazi ya wateja

Benki ya Akiba (ACB) ya jijini Dar es Salaam inayotoa mikopo kwa wajasiriamali kwa lengo la kukuza mitaji yao, imezidi kuwa na mikakakati bora ya kuboresha maisha na makazi ya wateja wake.

 

11 years ago

TheCitizen

ACB to open new branch in Mwanza

 In a bid to reach more Tanzanians, Akiba Commercial Bank (ACB) plans to open a branch in Mwanza Region this year.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali watakiwa kufungua akaunti ACB

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya ACB, Fredrick Archard, ametoa wito kwa wajasiriamali nchini kufungua akaunti katika benki hiyo ili waweze kukuza biashara zao haraka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani