Afrika yaadhimisha mwaka mmoja bila Polio
Afrika imepiga hatua kubwa katika kuangamiza ugonjwa wa kupooza Polio.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLE.FM YAADHIMISHA MWAKA MMOJA
Kushoto ni Mkuu wa Vipindi wa E.fm Dickson Ponela na Mkurugenzi wa Mawasiliano Denis Ssebo wakisikiliza maswali ya waandishi (hawapo pichani). Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Mkurugenzi wa Mawasiliano Denis Ssebo akisisitiza jambo. KITUO cha Redio 93.7 E.fm leo kimezindua sherehe za maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake...
5 years ago
MichuziMwandishi wa habari ahukumiwa jela mwaka mmoja au faini ya shilingi milioni tano kwa kosa la kutoa maudhui kwenye mtandao wa youtube bila leseni
Mahakama ya Hakimu Mkazi Njombe imemtia hatiani na kumhukumu kulipa faini ya Shilingi Milioni 5 au kifungo Cha Mwaka mmoja jela Mwandishi wa habari Prosper Mfugale baada ya mwandishi huyo kukiri kutoa maudhui Katika Mtandao wa YouTube bila ya kuwa na leseni kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA), hata hivyo Mfugale amelipa faini hiyo na kuachiwa huru.
Mfugale alikamatwa mnamo Februari 29 Mwaka huu na kushikiliwa kwa siku nne kituo cha polisi Njombe na tarehe 4 Machi alifunguliwa...
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Polio: 'Sikuiamini chanjo mpaka mtoto wangu alipopata polio'
Mwanaume aliyekuwa anawafukuza wahudumu wa afya nyumbani kwake nchini Nigeria, sasa amekuwa muhamasishaji wa chanjo
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Nigeria yaadhimisha mwaka 1 wa Chibok
Ni mwaka mmoja sasa umetimia tangu wasichana zaidi ya mia mbili walipotekwa nyara na kundi la Boko Haram la nchini Nigeria.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*JoV1omPzSNBJRMYmIwv6srkVccE6Ngk*hRxMArCVxnFvjvlaC70Bv5KzbCQa8Gqkvm*bI*T0VOHzk52ZAMinhDFd7YdkHL8/MAUAJIKENYA16.jpg?width=650)
KENYA YAADHIMISHA MWAKA 1 WA SHAMBULIO LA KIGAIDI
Baadhi ya majeruhi wakitolewa eneo la maduka ya Westgate baada ya shambulio hilo. WANANCHI wa Kenya leo wanaadhimisha mwaka mmoja tangu shambulizi la kigaidi katika maduka ya Westgate ambapo takriban watu 67 walipoteza maisha wakiwemo washukiwa wanne wa shambulio hilo.
Shambulio hilo…
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFVLW0UJnETUi4mZXVRREynCPQi7kAa25uZnJ0CyrGBbvrfiUc5UO2EJi9e9AQ4XhWU66D1SjxZv1G1AGC4BUkTG/150927034030_mexico_students_624x351_nc_nocredit.jpg?width=650)
MEXICO YAADHIMISHA MWAKA 1 TANGU WANAFUNZI 43 KUTOWEKA
Maelfu ya watu wakiwa kwenye maandamano kuishinikiza serikali kutoa ukweli kuhusu vifo vya wanafunzi 43. Mwaka mmoja uliopita, wanafunzi 43 walipotea katika mji wa Iguala katika jimbo la Guerrero, kusini mwa Mexican.
Maelfu ya watu wanashiriki katika maandamano makubwa katika mji mkuu wa Mexico kuadhimisho mwaka mmoja tangu kutoweka kwa wanafunzi hao. Maandamano yakiendelea. Uchunguzi wa serikali ulidai kuwa, wanafunzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61mtUTz9nD1KEnSjyJcN5-XP71nTWmkMQWKBqdImnp28FrxBbHG1U*YlvRqtMCB9ylOJUvJcMylsToEEssBdg52/flora.jpg)
FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA
ELIMU
Dada nakukubali sana, vipi kuhusu kiwango chako cha elimu? Fura, Hedaru, 0714403227
FLORA: Nina elimu ya kidato cha sita na Diploma ya Uandishi wa habari. Msanii wa Bongo Muvi na muziki Bongo, Flora Mvungi akiwa na mwanaye Tanzanite. NDOA NA UIGIZAJI
Hivi dada Flora unawezaje kuitumikia ndoa yako kikamilifu huku ukijishughulisha na uigizaji? Amiri Salumu, Dar, 0653252416
FLORA: Ni kujipanga tu, yote yanawezekana....
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KWA KUTUMIA AKAUNTI YA JUNIOR JUMBO
Na Mwandishi Wetu
Benki ya CRDB imetoa misaada mbalimbali kwa watoto wasiojiweza katika kituo cha Msimbazi centre.
Hatua hiyo imetokana na maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yenye kauli mbiu ya elimu bora kwa wote.
Akizungumza Jana jijini Dar es salaam Meneja wa benki hiyo Tawi la Premier, Fabiola Mussula, alisema kuwa benki hiyo imeadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kwa kupitia akaunti ya Junior Jumbo.
Alisema kuwa akaunti ya mtoto humsaidia mzazi kuhakikisha anahifadhi ada na...
Benki ya CRDB imetoa misaada mbalimbali kwa watoto wasiojiweza katika kituo cha Msimbazi centre.
Hatua hiyo imetokana na maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yenye kauli mbiu ya elimu bora kwa wote.
Akizungumza Jana jijini Dar es salaam Meneja wa benki hiyo Tawi la Premier, Fabiola Mussula, alisema kuwa benki hiyo imeadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kwa kupitia akaunti ya Junior Jumbo.
Alisema kuwa akaunti ya mtoto humsaidia mzazi kuhakikisha anahifadhi ada na...
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB TAWI LA MLIMANI CITY YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA NA JUMBO JUNIOR ACCOUNT
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania