Nigeria yaadhimisha mwaka 1 wa Chibok
Ni mwaka mmoja sasa umetimia tangu wasichana zaidi ya mia mbili walipotekwa nyara na kundi la Boko Haram la nchini Nigeria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili27 Aug
Nigeria yawakumbuka wasichana wa Chibok
Nigeria imeadhimisha siku mia tano tangu wasichana wa shule ya upili ya Chibok walipotekwa nyara na wapiganaji wa Boko Haram
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Chibok yakombolewa na jeshi la Nigeria
Msemaji wa jeshi la Nigeria aeleza kuwa Chibok imekombolewa na jeshi kutoka Boko Haram
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82318000/jpg/_82318799_img_1062.jpg)
Nigeria Chibok girls: 'Life without my daughters'
Chibok parents on their year of agony after Nigerian abductions
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74738000/jpg/_74738265_74704814.jpg)
Letter from Africa: When will Nigeria's leader visit Chibok?
When will Nigeria's president visit Chibok?
10 years ago
GPLE.FM YAADHIMISHA MWAKA MMOJA
Kushoto ni Mkuu wa Vipindi wa E.fm Dickson Ponela na Mkurugenzi wa Mawasiliano Denis Ssebo wakisikiliza maswali ya waandishi (hawapo pichani). Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Mkurugenzi wa Mawasiliano Denis Ssebo akisisitiza jambo. KITUO cha Redio 93.7 E.fm leo kimezindua sherehe za maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*JoV1omPzSNBJRMYmIwv6srkVccE6Ngk*hRxMArCVxnFvjvlaC70Bv5KzbCQa8Gqkvm*bI*T0VOHzk52ZAMinhDFd7YdkHL8/MAUAJIKENYA16.jpg?width=650)
KENYA YAADHIMISHA MWAKA 1 WA SHAMBULIO LA KIGAIDI
Baadhi ya majeruhi wakitolewa eneo la maduka ya Westgate baada ya shambulio hilo. WANANCHI wa Kenya leo wanaadhimisha mwaka mmoja tangu shambulizi la kigaidi katika maduka ya Westgate ambapo takriban watu 67 walipoteza maisha wakiwemo washukiwa wanne wa shambulio hilo.
Shambulio hilo…
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFVLW0UJnETUi4mZXVRREynCPQi7kAa25uZnJ0CyrGBbvrfiUc5UO2EJi9e9AQ4XhWU66D1SjxZv1G1AGC4BUkTG/150927034030_mexico_students_624x351_nc_nocredit.jpg?width=650)
MEXICO YAADHIMISHA MWAKA 1 TANGU WANAFUNZI 43 KUTOWEKA
Maelfu ya watu wakiwa kwenye maandamano kuishinikiza serikali kutoa ukweli kuhusu vifo vya wanafunzi 43. Mwaka mmoja uliopita, wanafunzi 43 walipotea katika mji wa Iguala katika jimbo la Guerrero, kusini mwa Mexican.
Maelfu ya watu wanashiriki katika maandamano makubwa katika mji mkuu wa Mexico kuadhimisho mwaka mmoja tangu kutoweka kwa wanafunzi hao. Maandamano yakiendelea. Uchunguzi wa serikali ulidai kuwa, wanafunzi...
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Afrika yaadhimisha mwaka mmoja bila Polio
Afrika imepiga hatua kubwa katika kuangamiza ugonjwa wa kupooza Polio.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania