Ahimiza Watanzania kuanzisha viwanda vya dawa
WATANZANIA wenye mitaji wameshauriwa kuwekeza katika viwanda vya dawa, kwani kwa sasa vimebaki viwanda vitatu tu nchini vinavyofanya kazi. Kutokana na hali hiyo, Serikali inalazimika kuagiza dawa nje ya nchi, ambapo kwa mwaka jana ilitumia zaidi ya Sh bilioni 75 kununua dawa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Ukosefu wa viwanda vya dawa changamoto kwa MSD
BOHARI ya Dawa (MSD) ni taasisi ya serikali yenye majukumu ya kununua, kuhifadhi, kusambaza dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara. MSD haiongezi faida katika bei za dawa na usambazaji...
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: 'Sina mpango wa kuanzisha sindano za dawa ya mitishamba', asema Rajoelina
11 years ago
Habarileo21 Jun
Kigoda ahimiza uendelezaji wa viwanda
WIZARA ya Viwanda na Biashara imesema azma ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya kipato cha kati, haiwezi kukamilishwa, endapo nguvu hazitaelekezwa katika kuendeleza viwanda mama, vya kati na vidogo.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Kilimanjaro kuanzisha mji wa viwanda, biashara
MKOA wa Kilimanjaro unatarajia kujenga mji wa viwanda na biashara katika eneo la Lokolova ili kuchochea uongezaji wa thamani mazao na kukidhi mahitaji ya soko la ndani na nchi jirani....
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Jafo ahimiza ujenzi wa viwanda vidogo
9 years ago
StarTV07 Nov
Wafanya biashara watakiwa kuanzisha Viwanda endelevu.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania Johnson Minja amesema nchi itakuwa na viwanda endelevu iwapo vitaanzishwa na wafanyabiashara wenyewe kwa kuwa viwanda vingi vilivyojengwa na Serikali vimekufa.
Amesema ni rahisi kwa wafanyabiashara kuendesha viwanda na kuhakikisha vinazalisha faida kwa kuwa watakuwa na uchungu navyo vitakapopata hasara.
Akizungumza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini Johnson Minja amesema kwa kuliona hilo na fursa za kibiashara zilizopo kutokana...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA
10 years ago
GPLNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ,JANET MBENE ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA