Kilimanjaro kuanzisha mji wa viwanda, biashara
MKOA wa Kilimanjaro unatarajia kujenga mji wa viwanda na biashara katika eneo la Lokolova ili kuchochea uongezaji wa thamani mazao na kukidhi mahitaji ya soko la ndani na nchi jirani....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV07 Nov
Wafanya biashara watakiwa kuanzisha Viwanda endelevu.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania Johnson Minja amesema nchi itakuwa na viwanda endelevu iwapo vitaanzishwa na wafanyabiashara wenyewe kwa kuwa viwanda vingi vilivyojengwa na Serikali vimekufa.
Amesema ni rahisi kwa wafanyabiashara kuendesha viwanda na kuhakikisha vinazalisha faida kwa kuwa watakuwa na uchungu navyo vitakapopata hasara.
Akizungumza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini Johnson Minja amesema kwa kuliona hilo na fursa za kibiashara zilizopo kutokana...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA
10 years ago
GPLNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ,JANET MBENE ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8uxEJer_S68/XmPAR6begOI/AAAAAAALhvQ/F-PMH6hoG-0GfiRJNjustggeewOFgWeggCLcBGAsYHQ/s72-c/29c5eeb7-df9e-4ed5-af74-f3cb5a87d074.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA INNOCENT BASHUNGWA ASHIRIKI MKUTANO WA JUKWAA LA KUMI LA BIASHARA ZANZIBAR.
Mkutano huo umefunguliwa Leo 07.03.2020 katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar na Mgeni rasmi alikuwa ni Mwenyekiti wa jukwaa la biashara na Rais wa Zanzibar Mhe .Dkt Ali Mohamed Shein ambae amefungua jukwaa hilo ambalo lengo kuu ni kutazama fursa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbC164QI4Do/Xp6DizYcBGI/AAAAAAALnps/6ImHPyXN7SENZIV-B_Hx1AVXEEg8JEwyACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA AFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA YA BIDHAA ZA CHINA 2015, DAR ES SALAAM LEO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
Habarileo20 Feb
Ahimiza Watanzania kuanzisha viwanda vya dawa
WATANZANIA wenye mitaji wameshauriwa kuwekeza katika viwanda vya dawa, kwani kwa sasa vimebaki viwanda vitatu tu nchini vinavyofanya kazi. Kutokana na hali hiyo, Serikali inalazimika kuagiza dawa nje ya nchi, ambapo kwa mwaka jana ilitumia zaidi ya Sh bilioni 75 kununua dawa.
11 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO ZANZIBAR AFUNGA MAFUNZO YA SIKU TATU JUU YA VIKWAZO VYA BIASHARA VISIVYO VYA KIUSHURU
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Serikali yaeleza lengo la kuanzisha mamlaka ya mji mdogo
SERIKALI imesema lengo la kuanzishwa mamlaka ya mji mdogo ni kuingiza dhana ya mipango miji, ili kuzuia ujenzi holela. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa...