Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Aibu bajeti ya nchi kutegemea wafadhili’

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amesema ni aibu kwa serikali kuandaa bajeti inayotegemea wafadhili na kushindwa kukusanya kodi kwenye vyanzo vikubwa vya mapato ya nchi. Akizungumza katika semina ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Waziri ataja changamoto za NGO kutegemea wafadhili

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia SimbaIDADI ya mashirika yasiyo ya kiserikali imeongezeka kutoka 3,000 mwaka 2001 hadi kufikia 6,427 Machi mwaka huu ambapo kati ya hayo mashirika 254 ni ya kimataifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Inatia aibu kuona nchi ina rasilimali lukuki lakini maskini

Kwa miaka mingi sekta ya kilimo hapa nchini imekuwa ikitajwa kuwa na mchango mkubwa katika kutoa ajira hapa nchini.

 

9 years ago

Michuzi

Bajeti za nchi zizingatie ustawi wa wanawake: Kikwete


Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania akihojiwa na Joseph Msami wa Radio ya Umoja wa Mataifa. (Picha:UN-Idhaa ya Kiswahili/Assumpta Massoi)Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania amesema wanawake hawajengewi mazingira ya kutosha ya ustawi wa kijamii na  kiuchumi kama ilivyo wanaume hususani katika nchi zinazoendelea akitolea mfano wa bajeti za serikali ambazo hazizingatii ukuaji nwa kundi hilo. Katika mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii muda mfupi baada ya kuhutubia mjadala kuhusu kupambana na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Bajeti ya Wizara ya mambo ya ndani ya nchi yapita bila kupingwa

PG4A9520

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Naibu wake, Pereira Sirima (kulia) wakipongezwa na Wabunge baada ya bunge kupitisha bajeti ya Wizara hiyo, bungeni mjini Dodoma May 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9513

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William  Lukuvi, bungeni mjini Dodoma.

PG4A9525

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Makambako, Deo Sanga (kushoto) na Mbunge wa Viti Maaliam, Lediana Mng’ong’o...

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA YASHIKA NAFASI YA TATU KATIKA UWAZI WA BAJETI KWA NCHI ZA A.MASHARIKI

 Meneja wa Program wa Haki Elimu,Godfrey Bonaventura akizungumza na waandishi wa habari juu ya utafiti uliofanywa na International Budget Partinership leo jijini Dar es Salaam,Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Haki Elimu,John KalageMkurugenzi Mtendaji wa Haki Elimu, John Kalage akizungumza na waandishi wa habari leo wakati wa utoaji wa Uwazi wa Bajeti katika utafiti uliofanywa na Interntional Budget  Partinaship iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.kushoto ni Meneja Program wa Haki Elimu,...

 

9 years ago

Bongo5

The CEO: Filamu inayofanyika kwenye nchi zaidi ya tano Afrika, bajeti yake ni dola milioni 1

Kwa miaka mingi filamu za Afrika zimekuwa zikitumia bajeti ndogo kutokana na uchumi. Hata Nollywood ambao kiwanda chao kinadaiwa kuwa na thamani ya dola bilioni 4.3 au asilimia 1.2 la pato la taifa, bado imeendelea kuwa na filamu za kawaida. Hata hivyo kuna filamu iliyopo kwenye hatua za utengenezaji iitwayo ‘The CEO’ inaweza kuja kuwa […]

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...

Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE AUNGANA NA MAAFISAWAKE KUSHANGILIA KUPITISHWA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, BUNGENI DODOMA

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kulia) akipokea pongezi kutoka kwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu, Mwamini Malemi (katikati) mara baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuipitisha Bajeti ya Wizara hiyo katika Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

 Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Haji Janabi (kushoto)...

 

11 years ago

Michuzi

WATENDAJI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI YA KUWASILISHA BAJETI BUNGENI DODOMA KESHO

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima (katikati), Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil (Kulia), Naibu Katibu Mkuu Mwamini Malemi (kushoto) wakiwa na Wakuu wa Idara na Taasisi za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, katika Kikao cha Maandalizi ya Kuwasilisha Bajeti ya Wizara hiyo inayotarajiwa kuwasilishwa Tarehe 15 Mei, 2014 katika Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani