AIRTEL FURSA YAMUWEZESHA KIJANA MWINGINE KUTOKA MKOA WA MWANZA

Meneja huduma kwa jamii Hawa Bayumi akisalimiana na Innocent Kipondya, kijana aliyewezeshwa na Airtel kupitia mradi wake wa Airtel Fursa Katika kijiji cha Mabanda wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza. Huku wakishuhudiwa na ndugu wa Innocent na wafanyakazi wa Airtel mara baada ya kukabidhiwa zawadi ya generator, pampu ya maji na vifaa vingine vya Kilimo. Wafanyakazi wa Airtel wakibeba zawadi kwa ajili ya kijana Innocent Kipondya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Airtel Fursa Yatumia zaidi ya milioni 3 kumpiga tafu mjasiliamali mwingine - Airtel Fursa wiki hii kuwafaidisha mamia ya vijana Mwanza


10 years ago
Michuzi22 Jun
AIRTEL FURSA "TUNAKUWAWEZESHA" YAMUWEZESHA FUNDI NGUO, BETHA BENEDICT MKAZI WA BUNJU JIJINI DAR



10 years ago
Michuzi
KIJANA MFUGAJI AWEZESHWA NA AIRTEL FURSA


10 years ago
Michuzi
AIRTEL FURSA YAMWEZESHA KIJANA MFUGA KUKU



9 years ago
Michuzi
AIRTEL FURSA YABADILISHA MAISHA YA KIJANA MFUGA KUKU.

Afisa Uhusiano wa Airtel, Dangio Kaniki (kushoto) na Meneja uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (katikati) wakipima uzito wa kuku wa kienyeji wanaofugwa kisasa na kijana Mohamed Kigumi (kulia), anayeishi Kiluvyia jijini Dar Es Salaam baada baada ya kutembelewa nyumbani kwao na kuona maendeleo aliyoyapata baada ya kuwezeshwa na Airtel kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’ miezi sita iliyopita.

10 years ago
GPL
AIRTEL FURSA YATUMIA ZAIDI YA MILIONI 3 KUMPIGA TAFU MJASILIAMALI MWINGINE
10 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YATUA MWANZA
wa Mwanza wakati wa uzinduzi wa warsha maalum kwa vijana ya'Airtel
Fursa' kutoka Airtel Tanzania yenye lengo la kuwawezesha Vijana
wajasiliamali nchini iliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya jiji
Mwanza.

yakiendeshwa na Airtel Fursa yenye lengo la kuwawezesha vijana kupata
mafunzo kwenye usimamizi wa fedha, upatikanaji wa mikopo, kufungua
akaunti ya...
10 years ago
GPL
AIRTEL FURSA YAZINDULIWA NA WARSHA MKOANI MWANZA
9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10