Airtel yazindua Mashindano ya kuvumbua vipaji vya Muziki
![](http://3.bp.blogspot.com/-QIvigJWLbdc/VC_o9vuXVrI/AAAAAAAGnvg/RF0EUhFdySY/s72-c/13.jpg)
Mkurugenzi wa kitengo cha Masoko wa Airtel Levi Nyakundi akiongea wakati wa uzinduzi wa mashindano ya kusaka vipaji kupitia simu ya mkononi yajulikanayo kama " Airtel TRACE Music Star" kwa lengo la kukuza na kuvumbua vipaji vya wana muziki chipukizi na kuwawezesha kufikia ndoto zao. Program hii ni kwa ushirikiano kati ya Airtel, kampuni ya Trace pamoja na Mwanamuziki wa Marekani Akon, uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa high spirit - IT Plaza jijini Dar es saalam.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo519 Nov
Vanessa Mdee kuanza kuvumbua na kusimamia vipaji vingine
![11419202_165666063787240_1338776917_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11419202_165666063787240_1338776917_n-300x194.jpg)
Wasanii wanaofanikiwa nchini wameonekana kutofaidi mafanikio yao wao wenyewe na badala yake wameanza kusaidia vipaji vingine.
Baada ya Diamond kuanzisha label yake ya WCB ambayo tayari imefanikiwa kumweka kwenye ramani Harmonize, Vanessa Mdee naye ataanza kufanya hivyo hivi karibuni.
Tayari ameanzisha kampuni yake, Mdee Music ambayo licha ya kusimamia kazi zake mwenyewe, itaanza pia kuvumbua na kusimamia vipaji vingine.
Vanessa ameiambia Bongo5 jana kuwa kampuni hiyo itakuwa ikifanya pia...
10 years ago
GPLAIRTEL TRACE MUSIC STAR KUIBUA VIPAJI VYA KUIMBA
9 years ago
MichuziMASHINDANO BAISKELI KILOMITA 115 YA RIFT VALLEY ODYSSEY YAKUZA VIPAJI VYA VIJANA
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Miaka 10 ya THT: Kutoka uzalishaji wa vipaji vya muziki hadi ubunifu
10 years ago
Bongo515 Sep
Mr Blue kuanzisha ‘Micharazo Foundation’ kusaidia kukuza vipaji vya muziki
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/DSC_0997.jpg)
SKYLIGHT BAND YAZIDI KUVUMBUA VIPAJI VIPYA, TUKUTANE PALE KATI JIONI YA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3naJclhFgjA/VP3y8ZcNcjI/AAAAAAAHJNw/aSOUuqbjSZo/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Airtel Waendeleza vipaji vya Walemavu hapa nchini, “Tunaweza Band” wawezeshwa kurekodi nyimbo zao mpya.
11 years ago
Michuzi07 Apr
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10