Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali 1,400 zaripotiwa Pwani

JUMLA ya ajali 1,452 zimeripotiwa kutoka mkoani Pwani katika kipindi cha mwaka 2013 huku zilizosababisha vifo ni 240. Akitoa taarifa ya mwaka, Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Ulrich Matei, alisema...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AJALI MKOANI PWANI

AJALI hii ilitokea jana jirani na eneo la Hospitali ya Zinga Bagamoyo mkoani Pwani ambayo iliyahusisha magari mawili madogo na pikipiki. (Picha na Global Whatsapp 0753 715 779)

 

10 years ago

GPL

AJALI MBILI ZATOKEA WILAYA YA BAGAMOYO, PWANI

Mwonekano wa mbele wa gari hilo. Lori la Scania T 986 likiwa limeanguka mbele kidogo  ya eneo la Msata, barabara ya kuelekea Tanga na Arusha.…

 

10 years ago

GPL

WANNE WAFA WAKIHOFIA KUTOKEA AJALI HUKO PWANI

WATU wanne wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la Abiria la Hajees likitokea Tanga kwenda Dar es Salaam na lori katika eneo la Mandera Mkoani Pwani leo asubuhi. Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo, Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, SACP Ulrich Matei amesema kuwa abiria hao waliruka kutoka katika basi hilo kuhofia ajali ya kugongana na lori lililokuwa likitokea mbele ya basi hilo na ndipo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kesi 5,000 za unyanyasaji watoto zaripotiwa

ZAIDI ya kesi 5,000 za unyanyasaji wa watoto zimeripotiwa katika Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa) ambapo kati ya hizo, kesi 1,400 zimeshughulikiwa huku kesi 800 zikisuluhishwa na watoto hao...

 

10 years ago

Michuzi

NEWZZ ALERT :BASI LA KAMPUNI YA GAMET LAPATA AJALI KIBITI-MKOA WA PWANI

Taarifa zilizoifikia Globu ya Jamii hivi punde kutoka chanzo cha kuaminika,zinaeleza kuwa Basi la kampuni ya GAMET Transport limepata ajali maeneo ya Kibiti wilaya ya Rufiji-Utete mkoa wa Pwani baada ya kutaka kumkwepa mtu anayedaiwa kuwa na tatizo la akili,lakini kwa bahati mbaya likamgonga na kufariki papo hapo,taarifa zaidi zinaeleza kuwa baada ya ajali hiyo basi hilo liliacha njia na kupinduka na kupelekea kifo cha mtu mmoja aliyegongwa na wengine waliokuwemo ndani ya basi hilo (idadi ya...

 

9 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MCH. CHRISTOPHER MTIKILA AFARIKI KWA AJALI YA GARI MKOANI PWANI

Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa Chama Cha DP Mch Christopher Mtikila amefariki dunia kwa ajali ya gari kijiji iliyotokea cha Msolwa, Chalinze mkoani Pwani asubuhi ya leo na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali.
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAAARIFA ZAIDI
CHANZO: TBC TV

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS WA CHINA KUFUATIA VIFO VYA WACHINA 400 KATIKA AJALI YA BOTI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mheshimiwa Xi Jinping kuombeleza vifo vya zaidi ya watu 400 ambao wamepoteza maisha yao katika ajali ya boti ya kitalii, iliyozama katika Mto wa Yangtze mwanzoni mwa wiki hii.
Meli ya kitalii ya Eastern Star ilizama katika Mto wa Yangtze, karibu na mji wa Jianli, Jimbo la Kati la Hubei, Jumatatu usiku ikiwa na abiria 456 waliokuwa wanafanya safari ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi

Kwa mara nyingine, nchi yetu imepata janga jingine kubwa baada ya ajali mbili kutokea katika mikoa ya Pwani na Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo kwa watu zaidi ya 30.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani