AJALI MKOANI PWANI
![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWSb4eFroIa6*6u8bmSHBjqpQA7MuSHBD52vuqodWHGNpQ-jts7EwYvvgvKGU3bis7Zvd93LuFjDvaM6csMV0wzn/1ajali1.jpg)
AJALI hii ilitokea jana jirani na eneo la Hospitali ya Zinga Bagamoyo mkoani Pwani ambayo iliyahusisha magari mawili madogo na pikipiki. (Picha na Global Whatsapp 0753 715 779)
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wtqbwjzjcPE/VhC2lsO5YnI/AAAAAAABWdY/Xal8uymeNMQ/s72-c/ChristopherMtikila.jpg)
BREAKING NEWS: MCH. CHRISTOPHER MTIKILA AFARIKI KWA AJALI YA GARI MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wtqbwjzjcPE/VhC2lsO5YnI/AAAAAAABWdY/Xal8uymeNMQ/s640/ChristopherMtikila.jpg)
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAAARIFA ZAIDI
CHANZO: TBC TV
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Ajali 1,400 zaripotiwa Pwani
JUMLA ya ajali 1,452 zimeripotiwa kutoka mkoani Pwani katika kipindi cha mwaka 2013 huku zilizosababisha vifo ni 240. Akitoa taarifa ya mwaka, Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Ulrich Matei, alisema...
10 years ago
GPLAJALI MBILI ZATOKEA WILAYA YA BAGAMOYO, PWANI
10 years ago
GPLWANNE WAFA WAKIHOFIA KUTOKEA AJALI HUKO PWANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-icBEOb4U51k/U_iKGrUwggI/AAAAAAAGBys/GppP3ngcNtQ/s72-c/image061.jpg)
WAETHIOPIA 48 WAKAMATWA MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-icBEOb4U51k/U_iKGrUwggI/AAAAAAAGBys/GppP3ngcNtQ/s1600/image061.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Pwani linawashikilia raia 48 wa nchi ya Ethiopia kwa tuhuma za kuingia nchini bila ya kibali.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha Kaimu kamanda wa Polisi mkoani humo, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Athuman Mwambalaswa alisema kuwa watuhumiwa hao walitelekezwa vichakani.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilitokea Agosti 21 mwaka huu majira ya saa 7 usiku katika Kijiji cha Visakazi Ubena Zomozi tarafa ya...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-SVYOVx1lEpc/VB2n7FuDufI/AAAAAAAABr4/tOoQdI_HFBI/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA MKOANI PWANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-SVYOVx1lEpc/VB2n7FuDufI/AAAAAAAABr4/tOoQdI_HFBI/s1600/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eqB-QE2cB-o/VKuQkjhMBLI/AAAAAAAG7ow/Whmujh8WivE/s72-c/image061%2B(1).jpg)
WANNE WAFA AJALAINI MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqB-QE2cB-o/VKuQkjhMBLI/AAAAAAAG7ow/Whmujh8WivE/s1600/image061%2B(1).jpg)
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Ulrich Matei alisema kuwa watu hao walikuwa wakimpeleka mgonjwa hospitali.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Januari 5 mwaka huu majira ya saa 6:30 mchana huko eneo la Fukayosi Tarafa ya Msata wilaya ya Bagamoyo.
Alisema kuwa ajali hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-l78xPJWUqUQ/U_ykqb8HE4I/AAAAAAAGCi4/s2ChxfLi7GQ/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Raia wa Ethiopia afariki dunia mkoani Pwani
![](http://1.bp.blogspot.com/-l78xPJWUqUQ/U_ykqb8HE4I/AAAAAAAGCi4/s2ChxfLi7GQ/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
RAIA wa nchi ya Ethiopia Dawita Alalo (25) amekufa alipokuwa akipatiwa matibabu kwenye kituo cha afya cha Chalinze kata ya Bwiringu wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Marehemu alikuwa ni kati ya raia 48 wa nchi hiyo walikamatwa wakiwa kwenye msitu wa kijiji cha Visakazi Ubena Zomozi tarafa ya Chalinze Agosti 22 mwaka huu, baada ya kuingia nchini bila ya kibali.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha kaimu kamanda wa polisi mkoani humo Mrakibu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X_WQ89vDIoc/VSzvoPwgNlI/AAAAAAAC3H8/BAGYkW-y2Vg/s72-c/IMG-20150414-WA0053.jpg)
NEWZZ ALERT :BASI LA KAMPUNI YA GAMET LAPATA AJALI KIBITI-MKOA WA PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-X_WQ89vDIoc/VSzvoPwgNlI/AAAAAAAC3H8/BAGYkW-y2Vg/s1600/IMG-20150414-WA0053.jpg)