Ajinyonga shambani na kuacha ujumbe; “Nawaachia dunia yenu muishi miaka 110”
Mtu mmoja ambaye hakujulikana jina, amekutwa akiwa amejinyonga ndani ya kibanda shambani huku akiwa na karatasi iliyoandikwa ujumbe “Nawaachia dunia yenu muishi miaka 110â€.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Mwanamke ajinyonga shambani Tabata
Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Irene Ibrahim (22), mkazi wa Tabata Kisukuru manispaa ya Ilala, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
10 years ago
Mtanzania09 May
Mtoto wa miaka 13 ajinyonga baada kukutwa na barua ya mapenzi
NA TWALAD SALUM, MISUNGWI
MWANAFUNZI wa darasa la saba wa Shule ya Msingi Mwagiligili, iliyopo Misungwi, mkoani Mwanza, Rahel Emmanuel (13), amekutwa amekufa baada ya kujinyonga ndani ya nyumba ya Mwalimu wake Mkuu, John Msusa.
Akizungumzia tukio hilo, Mwalimu Msusa alisema tukio hilo lilitokea juzi, saa sita mchana.
Alisema kabla ya kifo hicho, mwanafunzi huyo ambaye ni mtoto wa shemeji yake, aliyeanza kuishi naye tangu akiwa mdogo alikutwa na karatasi katika madaftari yake iliyokuwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DaijkojKHdA/VBTYABLqHmI/AAAAAAAGjdo/wqULBdepzDU/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
DK.Shein Akuatana na Ujumbe wa Benki ya Dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-DaijkojKHdA/VBTYABLqHmI/AAAAAAAGjdo/wqULBdepzDU/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zOYvkG5oYXI/VBTYABJLEcI/AAAAAAAGjds/QKQ13RHoowE/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Pinda akutana na ujumbe wa Benki ya Dunia
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia (Managing Director and Chief Operating Officer), Sri Mulyani Indrawati,baada ya mazungumzo kati yake na ujumbe wa Benki hiyo mjini Dodoma Septemba 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia (Managing Director and Chief Operating Officer), Sri Mulyani Indrawati (kulia) baada ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGib4zVUn5y*dyBld0iCY9I0O1NGbBQLsYHbRysWzKvYPrrqbb7oyiO*6*2-FOyG4hI1blAFMHZE7D602oLC9H2J8/DKSHEIN.jpg?width=650)
DK SHEIN AKUATANA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ge3f0prIAlA/VBH8VApwRuI/AAAAAAAGi-8/PTtEJFPRUuY/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ge3f0prIAlA/VBH8VApwRuI/AAAAAAAGi-8/PTtEJFPRUuY/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6h6ccuVG8fQ/VBH8VkxJrSI/AAAAAAAGi_E/kZ1pA-l2xTk/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3_rpWBaI1ng/XlVwcn-WZyI/AAAAAAALfaA/mDiqPyijJhIr4hUfS7vHBG_mM9Vy1SDogCLcBGAsYHQ/s72-c/FC4A6002AA-1024x682.jpg)
JAJI KIONGOZI AZUNGUMZA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3_rpWBaI1ng/XlVwcn-WZyI/AAAAAAALfaA/mDiqPyijJhIr4hUfS7vHBG_mM9Vy1SDogCLcBGAsYHQ/s640/FC4A6002AA-1024x682.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5-4Pj-WwXsE/VLykx-LRsmI/AAAAAAAG-S8/sGedhbaILt0/s72-c/image061.jpg)
DEREVA AFARIKI DUNIA BAADA YA GARI ALILOKUWA AKISAFIRIA KUACHA NJIA NA KUPINDUKA WILAYANI MBOZI,MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-5-4Pj-WwXsE/VLykx-LRsmI/AAAAAAAG-S8/sGedhbaILt0/s1600/image061.jpg)
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo majira ya saa 01:30 huko eneo la mlowo, kata ya mlowo, tarafa ya vwawa, wilaya ya mbozi, mkoa wa mbeya katika barabara kuu ya mbeya/tunduma.
Aidha katika ajali hiyo watu wawili waliofahamika kwa majina ya 1....