Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajuza mwenye ari ya masomo Kenya

Ajuza mwenye umri wa miaka tisini ,sasa amevunja rekodi iliyokuwa ikishikiliwa na marehemu Kimani Maruge ya kuwa mkongwe zaidi duniani kusoma shule ya msingi nchini Kenya .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ABDULMAN OMAR DENDEGO NG'ARI NG'ARI NA MAMA MWENYE NYUMBA WAKE

 Abdulman Omar na mama mwenye nyumba wake wameremeta kiroho safi siku ya harusi yaho Bwana harusi akiachia tabasamu kiroho safi pembeni ya mama mwenye nyumba wake.
 Bwana harusi na bibi harusi katikati wakiwa na wapambe wao wakisoma dua

 

5 years ago

BBCSwahili

Lata Kare: Ajuza mwenye umri wa miaka 68 anayekimbia bila viatu kuokoa maisha ya mume wake

Lata Kare ni ajuza mwenye umri wa miaka 68. Kwa kipindi cha miaka mitatu iliopita amekimbia na kushinda mbio za marathon za kilomita 3 katika eneo la Maharashatra, magharibi mwa I

 

10 years ago

BBCSwahili

Google yamtuza mwanafunzi ajuza Kenya

Marehemu mzee Maruge aliweka historia kwa kuwa mwanafunzi mkongwe zaidi kujiunga na shule na msingi

 

10 years ago

Vijimambo

NG'ARI NG'ARI YA OSWALD NA SUSAN BURMINGHAM, ALABAMA LEO JUMAMOSI



Oswald na Susan wakivalisha pete ya ndoa mbele ya mchungaji wa kanisa la St Peter's Catholic Birmingham. AL na baada ya hapo  kulifuatiwa na sherehe ndani ya St Peter's Reception Hall, Oswald na Susan walijumuhika  na ndugu pamoja  marafiki kusheherekea siku hii muhimu katika maisha yao.

Hapa ni mzazi wa Bibi harusi wakiingia kanisani 
Watoto wakiwa kwenye sale maalum wakiingia kanisani hapo
Hawa watoto nao walikuwa kivutio kanisani hapo jinsi walivyokuwa wamependeza, kwa picha zaidi za...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA NG'ARI NG'ARI TAIFA SASA KWENDA ZIMBABWE WAKIWA NA MZUKA ZAIDI

Amisi na Msavu waing'arisha Yanga taifa kiroho safi warudi kileleni baada ya kuilaza Kagera 2-1 sasa kwenda Zimbabwe wakiwa full mziki kiroho safi.

Simba huko Tanga wakalia kigoda na kuogeshwa mara 2 bila majibu na maafande wa mgambo JKT licha ya majigambo mengi baada ya kuilaza Yanga na Mtibwa, wagoma kuingia vyumba vya kubadirishia nguo na kwenda kubadirishia kwenye basi lao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani