AKI NA UKWA WA BONGO WAELEZEA MAFANIKIO YAO KWENYE TASNIA YA FILAMU
Kushoto ni Meya Shabani a.k.a Aki akiwa na Mwenzake Nicholaus Ngoda a.k.a Ukwa nje ya ofisi yao
Aki na Ukwa wa Bongo wakipiga kazi ...
Hapa wakionesha upande mwengine wa ofisi yao ya International Film Angels
Wasanii wa komedi maarufu kama Aki na Ukwa wa Bongo Muvi wameelezea mafaniko yao kwenye tasnia ya filamu za vichekesho nchini kwa mara ya kwanza tangu wajiingize kwenye filamu mwaka 2010.
Wakizungumza na Komedi Zone, Meya Shabani ambaye ni 'Aki' na Nicholaus Ngoda 'Ukwa' wamesema kuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAKULIMA WA SHAYIRI MONDULI WAELEZEA MAFANIKIO YAO KWA TBL
Baadhi ya Wanawake wanaojishughulisha na kilimo cha Shayiri wakiwa katika picha ya pamoja na Ofisa wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Editha anayesimamia wakulima katika eneo hilo la Monduli Juu, wilayani Monduli mkoani Arusha.
![](http://4.bp.blogspot.com/-dJWPKBBy1Ew/VGzyPQiv4KI/AAAAAAAAwbY/Lg-HoyLxM74/s1600/MEPOROO%2BTREKTA%2BMAFANIKIO.jpg)
9 years ago
Bongo510 Dec
Kingwendu adai wasanii wa komedi wataiokoa tasnia ya filamu Bongo
![Kingwendu.._full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/12/Kingwendu.._full-200x200.jpg)
Mchekeshaji, Rashidi Mwinshehe aka Kingwendu, amesema baada ya wasanii wa filamu za kawaida kushindwa kuendeleza mafanikio aliyoyaacha marehemu Steven Kanumba, wasanii wa wa kuchekesha wanajipanga kufanya mabadiliko ya filamu ndani ya mwaka 2016.
Mwigizaji huyo ambaye mwaka huu aligombea ubunge katika jimbo la Kisarawe, amekiambia kipindi cha Wasanii cha Pamoja Radio ya nchini Uholanzi kuwa, wasanii wa kuchekesha wamejipanga vizuri kuhakikisha bendera ya Tanzania inapepea zaidi kupitia...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Wazee ‘wanaokimbiza’ kwenye tasnia ya filamu
MARA nyingi katika vyombo mbalimbali vya habari kumekuwepo na taarifa zinazohusu maisha na vibweka mbalimbali vya waigizaji huku wengi wakiwa wale walio katika umri wa ujana. Taarifa zao zimekuwa zikifuatiliwa...
10 years ago
Bongo Movies05 Apr
Mwigizaji Jack Wolper Ashutumiwa Kumsahau Aliyemtoa Kisanii Katika Tasnia ya Filamu Bongo
Ubuyu Mpya Kutoka Instagram kwenye page ya mrekebishatabia kuhusu Mrembo Mwigizaji Wolper Kumsahau aliyemwingiza katika Tasnia ya Filamu:
'HISTORIA: Je unajua aliyemtoa kisanii Jackline Wolper mpaka kupata umaarufu nchini ni nani? Ni mdada mkali wa wa siku nyingi kwenye masuala ya sana Lucy Komba ambaye hivi sasa anaishi na familia yake nchini Denmark.
Alikutana nae kwenye ofisi moja bongo akamuomba namba ya simu walipoachana baada ya kama dk 10 akamuandikia msg anaomba amsaidie kwenye sanaa...
10 years ago
Bongo Movies04 Feb
Alberto Msando, Nita “Invest”Kwenye Tasnia ya Filamu!!
Mwansheria Kijana, Alberto Msando ameyasema hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya moja kati ya filamu za kibongo, ikiwaonyesha watu wawili wakiwa na bastola amabayo haina magazine.
“Seriously sina tatizo na bongo movie. Ni washkaji zangu sana. Ila kwa hii picha wanaonewa. Ni marafiki zangu. Wako poa mno. Na wanajitahidi. Siku zote mimi nitaendelea kuwasapoti. Siwezi kununua DVD ambazo sio original. Na wala sitajali kiingereza cha "I lap u xoxo". Najua wanajitahidi. Na I will even...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ujcza9N5GbJjjlcc*K6MbAterHIbKR9u*O1XiiJA4xcLtngBvnmR4vmO4XcyQL8pqveOnjfhivOHWZYNqspveAkTeJrWbN7j/ukwa.jpg?width=650)
UKWA WA BONGO NAYE ASAKA MCHUMBA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOZmrUboAIsGCcjsWmIKQLv6Ph5K7QKloy0LblbmItzBck0WLEZkWNnd8RI3S8Oort3rxqA1HvASdTTX238dgx54/aki.jpg?width=650)
AKI WA BONGO MUVI AFUNGA NDOA