Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Akifanya Balotelli shangwe, nikifanya mimi faini !

NIMETOKA kusoma mahojiano maridhawa kati ya mchezaji maarufu wa zamani wa Manchester United, Stev

Ezekiel Kamwaga

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli afungiwa mchezo mmoja na faini

Chama cha Soka nchini Uingereza, kimemfungia mchezo mmoja, mshambuliaji wa Liverpool, Mario Balotelli

 

10 years ago

Mwananchi

Afariki akifanya mapenzi

Polisi mkoani Kagera inachunguza kifo cha mmiliki wa ukumbi wa klabu ya usiku ya Linas Night, Leonard Mtensa (50) ambaye inadaiwa alifariki dunia wakati akifanya mapenzi kwenye gari lake.

 

11 years ago

TheCitizen

Balotelli: A man in words

>Mario Balotelli is an intriguing character. He is beloved by the press, divides opinion among supporters and is a one-man social media rumour machine. The enigmatic frontman had a far-from-average upbringing. He was born with a life-threatening medical condition to Ghanaian immigrants in Sicily and was raised by Italian foster parents in Brescia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli awasili AC Milan

Mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotelli amewasili katika kilabu ya AC Milan ili kufanyiwa ukaguzi wa matibabu kabla ya kurudi katika timu hiyo kwa mkopo wa mwaka mmoja kilabu hiyo imetangaza.

 

11 years ago

TheCitizen

Balotelli now tired of critics

>AC Milan striker Mario Balotelli hit out at his critics a day before the struggling Serie A giants host in-form Atletico Madrid.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mwijilisti auawa akifanya maombi

DSC00217

 

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.

Na Mwandishi wetu

MWINJILISTI wa Kanisa la Baptist, lililopo halmshauri ya Busokelo wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, Ambumbulwisye Mwasomola (35), ameuawa kwa kupigwa na mchi kichwani na mtu aliyekuwa akimuombea.

Kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo wanadai aliyekuwa akiombewa alikuwa na tatizo la akili.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema tukio hilo limetokea Septemba 27, mwaka huu majira ya saa tano usiku

Msangi...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

GPL

AFARIKI AKIFANYA MASIHARA MTONI

Marehemu Jackson Nyambele enzi za uhai wake.
WAANDISHI wetu
KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Jackson Nyambele (28) mkazi wa Mbezi Mtoni jijini Dar, amefariki dunia baada ya kusombwa na maji ya mto uliopo Mbezi alipokuwa akifanya masihara na wenzake.Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Machi 22, mwaka huu ambapo chanzo chetu makini kinadai kuwa, awali marehemu alikuwa akibishana na wenzake kwamba yeye anaweza kuvuka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani