Albino ashambuliwa pwani ya Tanzania
Mwanamume mwenye ulemavu wa ngozi anauguza majeraha baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana eneo la Mkuranga, Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n7Vr5lDn5dE/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U9xMl4ww11c/VLuReEr_QUI/AAAAAAAG-I0/OpQe2ESskuU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-18%2Bat%2B1.53.39%2BPM.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo*ZU79DLtuey1RfWFwAQBsuK14nJ4MSGVVBmMAGbvr1m6UA8EGSEjo34aZjSdfYi6*OmQqbMIeZBVS7ArMHIhXb/1.jpg)
JESHI LA AUSTRALIA LAKAMATA MADAWA YA KULEVYA PWANI YA TANZANIA
Askari wa HMAS Melbourne wakiwa na madawa yaliyokamatwa. Madawa hayo yakiharibiwa. JESHI la majini la Australia limekamata na kuharibu kilo 353 za madawa ya kulevya aina ya heroin yenye thamani inayokadiriwa kuwa zaidi ya dola milioni 700 katika pwani ya Tanzania. Askari wa meli ya HMAS Melbourne waliyagundua madawa hayo katika meli moja Jumatano iliyopita… ...
10 years ago
Mwananchi22 May
Mauaji ya albino Tanzania
Nalipiga baragumu, nchi yetu Tanzania,
Nina moja la muhimu, nataka kusimulia,
Naisema Kaumu, kwa nguvu nalikemea,
Mauaji ya albino, acheni mbaya dhamira.
Â
10 years ago
Spyghana.Com14 Jan
Tanzania protects albino from being killed
spyghana.com
spyghana.com
Tanzania has banned soothsayers in order to protect albinos, dozens of whom have been killed in recent years for their body parts which are used in power and wealth rituals, the newspaper Daily News and other media reported Wednesday. wpid-albino.jpg.
Tanzania bans witchdoctors in attempt to end albino killingsThe Guardian
Tanzania bans witchdoctors to save albinosThe Times (subscription)
Tanzania bans witch doctors to deter...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74848000/jpg/_74848168_74844554.jpg)
Tanzania arrests over albino killing
Two witch doctors in Tanzania are arrested after a woman with albinism was hacked to death for her body parts, police say.
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Albino:Waganga 32 wakamatwa Tanzania
Polisi nchini Tanzania wamewakamata waganga 32 wa kienyeji kazkazini magharibi mwa jimbo la Geita
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Kilio cha Albino Tanzania
Kisiwa cha Ukerewa ni hifadhi kwa Albino ambao maisha yao yamo hatarin kutokana na imani potovu kwamba viungo vya Albino vinaleta utajiri
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Tanzania yaikosoa filamu ya albino UN
Siku moja baada ya mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, kuelezea kwa waandishi wa habari juhudi zinazofanywa na Serikali dhidi uovu wanaofanyiwa watu wenye ulemavu wa ngozi, Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa (UNHR ) imesema itashirikiana na Serikali ya Tanzania katika juhudi hizo za kuukabili uovu unaofanywa dhidi ya jamii hiyo ya Watanzania.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania