Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Albino ashambuliwa pwani ya Tanzania

Mwanamume mwenye ulemavu wa ngozi anauguza majeraha baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana eneo la Mkuranga, Tanzania.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JESHI LA AUSTRALIA LAKAMATA MADAWA YA KULEVYA PWANI YA TANZANIA

Askari wa  HMAS Melbourne wakiwa na madawa yaliyokamatwa. Madawa hayo yakiharibiwa. JESHI la majini la Australia limekamata na kuharibu kilo 353 za madawa ya kulevya aina ya heroin yenye thamani inayokadiriwa kuwa zaidi ya dola milioni 700 katika pwani ya Tanzania. Askari wa meli ya HMAS Melbourne waliyagundua madawa hayo katika meli moja Jumatano iliyopita… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Mauaji ya albino Tanzania

Nalipiga baragumu, nchi yetu Tanzania, Nina moja la muhimu, nataka kusimulia, Naisema Kaumu, kwa nguvu nalikemea, Mauaji ya albino, acheni mbaya dhamira.  

 

10 years ago

Spyghana.Com

Tanzania protects albino from being killed


spyghana.com
Tanzania protects albino from being killed
spyghana.com
Tanzania has banned soothsayers in order to protect albinos, dozens of whom have been killed in recent years for their body parts which are used in power and wealth rituals, the newspaper Daily News and other media reported Wednesday. wpid-albino.jpg.
Tanzania bans witchdoctors in attempt to end albino killingsThe Guardian
Tanzania bans witchdoctors to save albinosThe Times (subscription)
Tanzania bans witch doctors to deter...

 

11 years ago

BBC

Tanzania arrests over albino killing

Two witch doctors in Tanzania are arrested after a woman with albinism was hacked to death for her body parts, police say.

 

10 years ago

BBCSwahili

Albino:Waganga 32 wakamatwa Tanzania

Polisi nchini Tanzania wamewakamata waganga 32 wa kienyeji kazkazini magharibi mwa jimbo la Geita

 

10 years ago

BBCSwahili

Kilio cha Albino Tanzania

Kisiwa cha Ukerewa ni hifadhi kwa Albino ambao maisha yao yamo hatarin kutokana na imani potovu kwamba viungo vya Albino vinaleta utajiri

 

9 years ago

Mwananchi

Tanzania yaikosoa filamu ya albino UN

Siku moja baada ya mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, kuelezea kwa waandishi wa habari juhudi zinazofanywa na Serikali dhidi uovu wanaofanyiwa watu wenye ulemavu wa ngozi, Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa (UNHR ) imesema itashirikiana na Serikali ya Tanzania katika juhudi hizo za kuukabili uovu unaofanywa dhidi ya jamii hiyo ya Watanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani