Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JESHI LA AUSTRALIA LAKAMATA MADAWA YA KULEVYA PWANI YA TANZANIA

Askari wa  HMAS Melbourne wakiwa na madawa yaliyokamatwa. Madawa hayo yakiharibiwa. JESHI la majini la Australia limekamata na kuharibu kilo 353 za madawa ya kulevya aina ya heroin yenye thamani inayokadiriwa kuwa zaidi ya dola milioni 700 katika pwani ya Tanzania. Askari wa meli ya HMAS Melbourne waliyagundua madawa hayo katika meli moja Jumatano iliyopita… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014

PIX 1

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

PIX 2

Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI LAKAMATA SILAHA 8 NA RISASI 62

Na. Lilian Lundo - MaelezoJESHI la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam imefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 7 wakiwa na  silaha 8  na risasi 62 kwenye msako uliofanyika jijini  Dar es salaam katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Akiongea na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova amesema  wahalifu walidhani kuwa Jeshi la Polisi limeweka nguvu katika uchaguzi mkuu na kusahau kufanya misako...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI LAKAMATA WATATU KWA TUHUMA ZA KUMUUA DEREVA WA UBER

JESHI la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva tax (UBER) aliyefahamika kwa jina la Joseph Tillya Mpokala,(51),Mkazi wa Mbezi kwa Msuguli.

Watuhumiwa hao ni Godson Laurent Mzaura,(29),Mkazi wa Mbezi Beach,Mpiga picha, Said Mohamed Mahadhi (38),Mkazi wa Afrikana,Fundi simu  na Denis Urassa @ Pasua,(45), Mkazi wa Makongo Juu,Fundi simu.
Mnamo tarehe 26.05.2020 Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dsm lilipata taarifa kutoka kwa mke wa marehemu...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAWASHIKILIA WATUHUMIWA WANNE, LAKAMATA INJINI ZA BOTI

JESHI LA POLISI (M) MWANZA CHINI YA KAMISHENI YA USHIRIKISHWAJI WA UMMA KATIKA KUZUIA VITENDO VYA UHALIFU KWA KUTUMIA MFUMO WA ULINZI SHIRIKISHI KWA  LINAWASHIKILIA WATUHUMIWA 4, IKIWA NI PAMOJA NA KUKAMATA INJINI ZA  BOTI (BOAT) ZA AINA MBALIMBALI 13, HIYO IKIWA NI SEHEMU YA MWENDELEZO WA OPARESHENI KALI DHIDI YA WAHALIFU KATIKA ZIWA VICTORIA.
HUSUSANI VISIWA VYA JUMA, GEMBALE NA ZILAGULA, VILIVYOPO WILAYA YA SENGEREMA, AMBAPO WALIKAMATWA WATUHUMIWA WANNE AMBAO NI;-1. FILBERT KIPARA @...

 

11 years ago

GPL

MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA-2

Madawa ya kulevya aina ya bangi. WIKI iliyopita tulijadili kwa urefu madhara ya madawa ya kulevya kiafya.
Tulifafanua kwa urefu kuhusu madawa aina ya kokaine na heroine na tukataja madhara yanayowapata watumiaji wa mihadharati hiyo.
Leo tunaendelea kuchambua mimea aina ya bangi na mirungi ambayo hapa nchini inahesabika kuwa ni madawa ya kulevya. Bangi
Bangi ina madhara kiafya na ndiyo maana serikali imeupiga marufuku mmea...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA LAKAMATA MALI ZIDHANIWAZO KUWA ZA WIZI, WAKAMATA WAHARIFU SUGU

Mali zilizokamatwa.
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kukabiliana na vitendo vya uhalifu na ajali za barabarani ili kuhakikisha kuwa wageni na wakazi wa Mkoa huu wanaendelea kuwa salama na mali zao. Aidha Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea kushirikiana na wananchi na wadau wengine wa usalama ali inayopelekea kupata mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kupungua kwa matukio makubwa ya uhalifu pamoja na ajali za barabarani. 
KUPATIKANA NA MALI ZIDHANIWAZO KUWA ZA WIZI. Jeshi la...

 

10 years ago

GPL

MADAWA YA KULEVYA: DIAMOND KIMENUKA

Stori:  Shakoor Jongo na  Makongoro Oging’
NIkweli kimenuka! Mbongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ yupo kikaangoni, habari zinadai kwamba kila anaponyanyua miguu, kikosi cha kupambana na kuzuia madawa ya kulevya nchini chini ya kamishna wake, Godfrey Nzowa nao wananyanyua miguu yao kumfuatilia, Amani limesheheni. Mbongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akipozi.
Habari za...

 

11 years ago

GPL

MADAWA YA KULEVYA YAKAMATWA GEREZA LA KEKO

PIPI 60 za madawa ya kulevya aina ya heroine yanayokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi milioni 60 yanadaiwa kukamatwa ndani ya Gereza la Keko jijni Dar es Salaam baada ya mtu mmoja kuingia nayo akiwa ameyameza. Madawa ya kulevya. Kwa mujibu wa chanzo, mtu mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Mashujaa Udugu Matata, aliingia gerezani humo Machi 21, mwaka huu akitokea kusomewa shitaka la kukutwa na madawa ya kulevya katika Mahakama...

 

10 years ago

GPL

MADAWA YA KULEVYA, CHONJI HALI TETE

HALI tete, siku chache baada ya mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Muharani Mohammed Abdallah, maarufu kama Chonji kukamatwa na kutupwa gerezani kwa tuhuma za kukamatwa na dawa kulevya, sasa mali zake zimeanza kuchunguzwa. Mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Muharani Mohammed Abdallah, maarufu kama Chonji(mwenye suti), akiwa chini ya ulinzi. Vyanzo vyetu makini kutoka jeshi la polisi zinasema kuwa mali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani