Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alikiba atua L.A kushoot video mpya, amtumia choreographer wa Chris Brown, Rihanna, Nicki Minaj na mastaa wengine

12224510_1076638059047429_2140552011_n

Alikiba yupo jijini Los Angeles, Marekani alikoenda kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Lupela.’

12224510_1076638059047429_2140552011_n
Alikiba akiwa na Oththan Burnside (anayeonesha alama ya peace) na dancers kwenye set ya video hiyo jijini Los Angeles, California

Kiba anamtumia choreographer maarufu zaidi nchini humo, Oththan Burnside. Amepost video kwenye Instagram na kuandika, “In L.A And We Are Getting Ready For My Upcoming New Video . In The Makeup Room With My Leading Lady @aliya_janell #kingkiba.”
ALIKIBA KUFANYA KAZI NA...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Alikiba kufanya kazi na ‘choreographer’ wa Rihanna, Justin Bieber, Ciara, Nicki Minaj, Chris Brown, Ne-Yo etc!

Kiba

Alikiba atafanya kazi na mwalimu wa dance (choreographer) maarufu zaidi nchini Marekani na ambaye CV yake inatisha, Oththan Burnside. Ni Burnside mwenyewe ndiye aliyetangaza habari hiyo njema kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Kiba

Akiweka picha ya hitmaker huyo wa ‘Mwana’, Burnside ameandika, “Excited to be working with @officialalikiba #EastAfrica #KingKiba your in great hands! #OtheezyCreatedIt #CreativeDirector #Choreographer S/O @msaagency @Brandonlouisla!!! #MSASquad #MSAFAM thank you...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mayunga akamilisha collabo yake na Akon na kushoot video siku moja, amtumia model wa Chris Brown

Mayunga na Akon

Kazi iliyompeleka mshindi wa Airtel Trace Music Star, Mayunga Nalimi nchini Marekani, ya kufanya collabo na boss wa label ya Konvict Music, Akon imekamilika.

Mayunga na Akon

Mayunga ameelezea jinsi kazi hiyo ilivyofanyika kwa siku moja, kuanzia kupewa wimbo kuushika, kurekodi na kushoot video vyote ndani ya saa 24.

“Nilikua nina siku moja tu yakushika kila kitu kwenye wimbo niliopewa” Mayunga ameiambia TeamTz “Kwahiyo ilinibidi nijitume ili niufahamu vizuri wimbo ili nifanye kitu kizuri hata bwana Akon...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Meek Mill Ft Nicki Minaj & Chris Brown – All Eyes on You

Rapper Meek Mill ametoa video mpya ya wimbo “All Eyes on You” amewashirikiksha girlfriend wake Nicki Minaj na RnB Superstar Chris Brown, wimbo huu ulifanya vizuri sana kwenye chati za Billboard. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video […]

 

10 years ago

GPL

CHRIS BROWN, NICKI MINAJ VINARA WA KUTAJWA TUZO ZA BET 2015

Chris Brown na Nicki Minaj wote wanawania tuzo katika vipengele 6. WANAMUZIKI Chris Brown na Nicki Minaj wameongoza kwa kutajwa mara nyingi katika vipengele vya kuwania Tuzo za BET 2015 kwa kila mmoja kutajwa mara sita. Nicki Minaj. Katika kipengele cha video bora ya mwaka, Brown ametajwa mara mbili kwa video zake za Loyal na New Flame.
Minaj naye yupo juu akitajwa katika vipengele sita kikiwemo cha video bora ya mwaka kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Jay Z, Beyonce, Nicki Minaj, Usher na mastaa wengine kutumbuiza kwenye show ya charity ya Tidal

Baada ya mtandao wa Tidal kufikisha zaidi ya watumiaji milioni moja, Jay Z aliahidi kusheherekea na sasa ametangaza shangwe hizo zitakuwa lini na wapi. Jay ametangaza show za charity za TIDAL X: 1020 ambapo kwa mara ya kwanza itafanyika Oct. 20 kwenye uwanja/ukumbi wa Barclays Center, Brooklyn. Pamoja na Jay Z mwenyewe, mastaa wengine watakaotumbuiza […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Trailer ya documentary mpya ya Nicki Minaj ‘My Time Again’

November 2010, Nicki Minaj alitokea kwenye documentary yake ya kwanza ya MTV iliyopewa jina, ‘Nicki Minaj: My Time Now’. Na sasa MTV wanarejea tena na documentary mpya ya rapper huyo iitwayo ‘Nicki Minaj: My Time Again.’ Tazama trailer yake hapo chini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani