Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyekuwa kocha Chelsea, kuifunza Ghana

Mkufunzi wa zamani wa Chelsea Avram Grant ameteuliwa kuwa kocha mpya wa Ghana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake …

Kocha wa mpya wa muda wa klabu ya Chelsea  Guus Hiddink ambaye amejiunga kwa mara ya pili kuifundisha klabu hiyo, baada ya miaka sita toka aondoke mwishoni mwa mwaka 2009 kama kocha wa muda wa klabu hiyo,  Guus Hiddink ambaye ndio ameichukua Chelsea mikononi mwa Jose Mourinho ili aiokoe isiporomoke zaidi, ameanza kwa kuwatuliza mashabiki […]

The post Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake … appeared first on...

 

10 years ago

CloudsFM

ALIYEKUWA KOCHA MSAIDIZI WA TAIFA STARS AFARIKI DUNIA

Aliye kuwa kocha wa zamani wa timu ya Taifa Star Sylvester Marsh amefariki dunia leo katika Hospitali ya Muhimbili ambapo alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya Saratani ya koo kwa muda mrefu Sylvester enzi za uhai wake alishawahi kufanya kazi kakita timu tofauti tofauti ikiwemo timu ya Toto Africa Mwanza,Kagera Suger ,Azam FC ya Dar Es Salaam na Taifa Stars Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi Amen

 

9 years ago

GPL

ALIYEKUWA DAKTARI WA CHELSEA, EVA CARNEIRO AFUNGA NDOA

Eva Carneiro (42) akiwa na mumewe Jason De Carteret wakati wa harusi yao. ...Wapenzi hao wakiwa na furaha baada ya kufunga ndoa. ...Wakionyeshana upendo kwa kubusiana. Kipa wa zamani wa Chelsea, Mark Schwarzer ambaye kwa sasa anachezea Leicester City alihudhuria sherehe…

 

9 years ago

BBCSwahili

Kocha wa zamani wa Ghana afariki

Mchezaji maarufu wa kandanda wa Ghana aliyekuwa mchezaji na kocha Charles Kumi Gyamfi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghana kukosa kocha dhidi ya Guinea

Ghana haitakuwa na mkufunzi wa taifa timu ya Black Stars itakapokwaruzana na Guinea.

 

11 years ago

GPL

Mzungu wa Ghana kocha mpya Yanga

Hans Van der Pluijm. Na Mwandishi Wetu
KOCHA mzungu anayefundisha soka nchini Ghana ndiye atakuwa kocha mpya wa Yanga.Hadi jana usiku Yanga ilikuwa ikifanya mazungumzo na makocha wawili yule wa Berekum Chelsea ambaye anajulikana kwa jina la Hans Van der Pluijm na mwingine wa Berekum Arsenal na hukohuko Ghana ambaye hakutajwa jina.…

 

9 years ago

BBC

Chelsea sign Ghana defender Rahman

Chelsea sign Ghana international left-back Baba Rahman for an undisclosed fee from Augsburg, according to both clubs.

 

9 years ago

BBCSwahili

Drogba anataka kuwa kocha wa Chelsea

Mshambulizi wa zamani wa Chelsea na Ivory Coast Didier Drogba amesema kuwa atarejea Stamford Bridge kuwa kocha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani