Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALIYEKUWA DAKTARI WA CHELSEA, EVA CARNEIRO AFUNGA NDOA

Eva Carneiro (42) akiwa na mumewe Jason De Carteret wakati wa harusi yao. ...Wapenzi hao wakiwa na furaha baada ya kufunga ndoa. ...Wakionyeshana upendo kwa kubusiana. Kipa wa zamani wa Chelsea, Mark Schwarzer ambaye kwa sasa anachezea Leicester City alihudhuria sherehe…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

THIS IS THE REASON WHY MOURINHO SHOULD APOLOGISE TO CHELSEA DOCTOR EVA CARNEIRO

Chelsea boss Jose Mourinho should apologise to team doctor Eva Carneiro for "publicly humiliating" her, says Liverpool's former head of medicine.Peter Brukner, now the Australia cricket team's doctor, said Mourinho's criticism was "100% wrong" and Carneiro should not have her role changed.
Carneiro, 41, treated Eden Hazard after he was tripped in the final minutes of Chelsea's 2-2 draw with Swansea.It briefly left the Blues with nine men after Thibaut Courtois's red card.Carneiro looks set...

 

9 years ago

Africanjam.Com

ARSENE WENGER BACKS CHELSEA DOCTOR EVA CARNEIRO "THE RULES ARE CLEAR"


Wenger also hinted Mourinho's bust up with doctor Carneiro and head physio Jon Fearn points to a lack of unity at Stamford BridgeArsene Wenger has told Jose Mourinho "the rules are the rules" after the Chelsea boss's row with his medics.And he has hinted Mourinho's bust up with doctor Eva Carneiro and head physio Jon Fearn points to a lack of unity at Stamford Bridge.Mourinho has been in the spotlight this week after demoting Carneiro and Fearn after an explosive row.Mourinho erupted after...

 

9 years ago

Africanjam.Com

CHELSEA CLUB DOCTOR EVA CARNEIRO CONSIDERS LEGAL ACTION AGAINST JOSE MOURINHO


Chelsea Football Club’s doctor, Eva Carneiro, is believed to have left her job and is preparing to sue the Premier League champions for constructive dismissal following an incident during the game against Swansea last month that led to her first-team duties downgraded at the request of the manager, José Mourinho.
Carneiro was due to return to work last Friday having been told she was no longer to attend training sessions, matches or enter the team hotel after provoking Mourinho’s anger when...

 

9 years ago

BBCSwahili

Daktari wa chelsea Eva kuondoka klabuni

Daktari wa klabu ya Chelsea ya nchini England Eva Carneiro ameamua kuondoka katika klabu hiyo wiki sita baada ya kukwaruzana na meneja wa timu Jose Mourinho.

 

9 years ago

Mtanzania

FA yamkingia kifua Mourinho kwa Eva Carneiro

MourinhoLONDON, ENGLAND

CHAMA cha Soka nchini England (FA), kimesema kuwa Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho, hakutumia lugha chafu kwa daktari wa timu hiyo, Eva Carneiro, hivyo hataadhibiwa.

Inasemekana kocha huyo alitumia lugha chafu kwa daktari huyo katika mchezo wa awali wa Ligi Kuu nchini England dhidi ya Swansea City, huku timu hizo zikimaliza mchezo huo kwa kutoka sare ya 2-2.

Daktari hiyo alitumia muda mwingi kumtibu mchezaji wao, Eden Hazard na kusababisha malumbano na kocha huyo kisha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Carneiro kuendelea na kesi dhidi ya Chelsea

Daktari wa zamani wa Chelsea Eva Carneiro anapanga kuendeleza na kesi dhidi ya Chelsea na aliyekuwa meneja Jose Mourinho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa kocha Chelsea, kuifunza Ghana

Mkufunzi wa zamani wa Chelsea Avram Grant ameteuliwa kuwa kocha mpya wa Ghana.

 

11 years ago

GPL

NASSARI AFUNGA NDOA

Joshua Samwel Nassari (kulia) akiwa na mke wake Anande Nko. Mbunge Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Samwel Nassari amefunga ndoa na Anande Nko kwenye Kanisa la Pentekoste lililopo Kilinga, Arumeru ikifuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika Viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hoteli ya Ngurdoto. Sherehe hiyo ilianza mishale ya saa 7:00 mchana ambapo watu wote walialikwa wakiwemo ndugu, marafiki, jamaa na wananchi wote...

 

11 years ago

GPL

MTALAKA WA KIRIA AFUNGA NDOA

Na Hamida Hassan
MTALAKA wa mtangazaji Joyce Kiria, Nelson Nkongo ‘DJ Nelly’ amefunga ndoa na mwanamke mwingine aliyefahamika kwa jina la Elinda ‘Aika’. Joyce Kiria. Mapema wiki hii, picha za wanandoa hao zilizagaa kwenye simu za mastaa mbalimbali huku wengi wao wakimpongeza Nelly kwa kuchukua uamuzi huo wa kuvuta jiko lingine baada ya kumwagana na Joyce mwaka 2011. “Tunampongeza Nelly kwa kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani