Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHELSEA CLUB DOCTOR EVA CARNEIRO CONSIDERS LEGAL ACTION AGAINST JOSE MOURINHO


Chelsea Football Club’s doctor, Eva Carneiro, is believed to have left her job and is preparing to sue the Premier League champions for constructive dismissal following an incident during the game against Swansea last month that led to her first-team duties downgraded at the request of the manager, José Mourinho.
Carneiro was due to return to work last Friday having been told she was no longer to attend training sessions, matches or enter the team hotel after provoking Mourinho’s anger when...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

THIS IS THE REASON WHY MOURINHO SHOULD APOLOGISE TO CHELSEA DOCTOR EVA CARNEIRO

Chelsea boss Jose Mourinho should apologise to team doctor Eva Carneiro for "publicly humiliating" her, says Liverpool's former head of medicine.Peter Brukner, now the Australia cricket team's doctor, said Mourinho's criticism was "100% wrong" and Carneiro should not have her role changed.
Carneiro, 41, treated Eden Hazard after he was tripped in the final minutes of Chelsea's 2-2 draw with Swansea.It briefly left the Blues with nine men after Thibaut Courtois's red card.Carneiro looks set...

 

9 years ago

Africanjam.Com

ARSENE WENGER BACKS CHELSEA DOCTOR EVA CARNEIRO "THE RULES ARE CLEAR"


Wenger also hinted Mourinho's bust up with doctor Carneiro and head physio Jon Fearn points to a lack of unity at Stamford BridgeArsene Wenger has told Jose Mourinho "the rules are the rules" after the Chelsea boss's row with his medics.And he has hinted Mourinho's bust up with doctor Eva Carneiro and head physio Jon Fearn points to a lack of unity at Stamford Bridge.Mourinho has been in the spotlight this week after demoting Carneiro and Fearn after an explosive row.Mourinho erupted after...

 

9 years ago

Mtanzania

FA yamkingia kifua Mourinho kwa Eva Carneiro

MourinhoLONDON, ENGLAND

CHAMA cha Soka nchini England (FA), kimesema kuwa Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho, hakutumia lugha chafu kwa daktari wa timu hiyo, Eva Carneiro, hivyo hataadhibiwa.

Inasemekana kocha huyo alitumia lugha chafu kwa daktari huyo katika mchezo wa awali wa Ligi Kuu nchini England dhidi ya Swansea City, huku timu hizo zikimaliza mchezo huo kwa kutoka sare ya 2-2.

Daktari hiyo alitumia muda mwingi kumtibu mchezaji wao, Eden Hazard na kusababisha malumbano na kocha huyo kisha...

 

9 years ago

GPL

ALIYEKUWA DAKTARI WA CHELSEA, EVA CARNEIRO AFUNGA NDOA

Eva Carneiro (42) akiwa na mumewe Jason De Carteret wakati wa harusi yao. ...Wapenzi hao wakiwa na furaha baada ya kufunga ndoa. ...Wakionyeshana upendo kwa kubusiana. Kipa wa zamani wa Chelsea, Mark Schwarzer ambaye kwa sasa anachezea Leicester City alihudhuria sherehe…

 

10 years ago

Bongo5

Meneja wa Chelsea, Jose Mourinho ashtakiwa na FA

Kocha wa Chelsea asiyeishiwa vituko, Jose Mourinho ameshtakiwa na chama cha soka cha England, FA kufuatia madai yake kuwa kuna ‘kampeni’ ya waamuzi dhidi ya timu yake. Mourinho alitoa matamshi hayo baada ya Chelsea kunyimwa penati dhidi ya Southampton Disemba 28 katika mchezo uliomalizika kwa sare ya 1-1. Mwamuzi Anthony Taylor alimuonesha kadi ya manjano […]

 

9 years ago

Global Publishers

Jose Mourinho atimuliwa kazi Chelsea

Jose Mourinho 2

Jose Mourinho.

Meneja wa Klabu ya Chelsea ya Uingereza, Jose Mourinho amefutwa kazi baada ya klabu hiyo kufululiza kwa matokeo mabovu.

The Blues walishinda Ligi Kuu England msimu uliopita lakini msimu huu mambo yamekuwa kinyume, na wapo nafasi moja tu juu ya eneo la kushushwa daraja kwenye ligi hiyo.

Bodi ya klabu hiyo ilikutana jana kujadili hatma ya Mourinho chini ya mmiliki wa klabu hiyo, Mrusi Roman Abramovich.

Mourinho-Lampard-City-513573

Mreno huyo mwenye umri wa miaka 52 amekuwa Chelsea kwa kipindi cha pili,...

 

9 years ago

Bongo5

Kocha Jose Mourinho atimuliwa Chelsea

José Mourinho

Chelsea imemtimua meneja wake Jose Mourinho.

José Mourinho

Kocha huyo raia wa Ureno mwenye miaka 52, alikuwa akiifundisha Chelsea kwa awamu ya pili kuanzia June 2013.

Chelsea imekuwa na msimu mbaya zaidi kwa kufungwa mechi 16 hadi sasa.

Pep Guardiola, Guus Hiddink, Brendan Rodgers na Juande Ramos ni majina yanayotajwa zaidi kushika nafasi yake.

Akiwa na Chelsea, kocha huyo alishinda ubingwa wa ligi kuu ya England mara tatu, mbili katika awamu yake ya kwanza kati ya mwaka 2004 na 2007.

Jiunge na...

 

10 years ago

GPL

JOSE MOURINHO AONGEZA MIAKA 4 CHELSEA

Jose Mourinho akiwa na Kombe la Ligi Kuu ya England msimu uliopita. KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho amesaini mkataba wa miaka minne kuendelea kuifundisha timu hiyo ya London. Mkataba huo wa Mourinho utamfanya aweke kibindoni kiasi cha Pauni milioni 8.5 kwa mwaka. Taarifa zimeeleza kuwa Mourinho ameongezewa mkataba huo baada ya kutwaa Kombe la Ligi Kuu ya England msimu uliopita. Katika msimu huo uliopita, Mourinho alitwaa pia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Jose Mourinho afutwa kazi Chelsea

Meneja wa klabu ya Chelsea ya Uingereza amefutwa kazi baada ya klabu hiyo kuandikisha msururu wa matokeo mabaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani