FA yamkingia kifua Mourinho kwa Eva Carneiro
LONDON, ENGLAND
CHAMA cha Soka nchini England (FA), kimesema kuwa Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho, hakutumia lugha chafu kwa daktari wa timu hiyo, Eva Carneiro, hivyo hataadhibiwa.
Inasemekana kocha huyo alitumia lugha chafu kwa daktari huyo katika mchezo wa awali wa Ligi Kuu nchini England dhidi ya Swansea City, huku timu hizo zikimaliza mchezo huo kwa kutoka sare ya 2-2.
Daktari hiyo alitumia muda mwingi kumtibu mchezaji wao, Eden Hazard na kusababisha malumbano na kocha huyo kisha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-XjLuWZwKUIM/VcyV0fZlcSI/AAAAAAAADRg/xLDwohazMP0/s72-c/eva_carneiro_120815.jpg)
THIS IS THE REASON WHY MOURINHO SHOULD APOLOGISE TO CHELSEA DOCTOR EVA CARNEIRO
![](http://2.bp.blogspot.com/-XjLuWZwKUIM/VcyV0fZlcSI/AAAAAAAADRg/xLDwohazMP0/s1600/eva_carneiro_120815.jpg)
Carneiro, 41, treated Eden Hazard after he was tripped in the final minutes of Chelsea's 2-2 draw with Swansea.It briefly left the Blues with nine men after Thibaut Courtois's red card.Carneiro looks set...
9 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-k1wPcdgb_XA/VgKmK7JSvCI/AAAAAAAADl4/z7YtmnUBd1g/s72-c/eva-carneiro-swag-wxe2ydb-tile.jpg)
CHELSEA CLUB DOCTOR EVA CARNEIRO CONSIDERS LEGAL ACTION AGAINST JOSE MOURINHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-k1wPcdgb_XA/VgKmK7JSvCI/AAAAAAAADl4/z7YtmnUBd1g/s1600/eva-carneiro-swag-wxe2ydb-tile.jpg)
Chelsea Football Club’s doctor, Eva Carneiro, is believed to have left her job and is preparing to sue the Premier League champions for constructive dismissal following an incident during the game against Swansea last month that led to her first-team duties downgraded at the request of the manager, José Mourinho.
Carneiro was due to return to work last Friday having been told she was no longer to attend training sessions, matches or enter the team hotel after provoking Mourinho’s anger when...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/18.jpg)
ALIYEKUWA DAKTARI WA CHELSEA, EVA CARNEIRO AFUNGA NDOA
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-iacdJ0ubtu0/Vc38HEbrScI/AAAAAAAADSM/2P1yL0ylgzI/s72-c/Wenger-main.jpg)
ARSENE WENGER BACKS CHELSEA DOCTOR EVA CARNEIRO "THE RULES ARE CLEAR"
![](http://3.bp.blogspot.com/-iacdJ0ubtu0/Vc38HEbrScI/AAAAAAAADSM/2P1yL0ylgzI/s1600/Wenger-main.jpg)
Wenger also hinted Mourinho's bust up with doctor Carneiro and head physio Jon Fearn points to a lack of unity at Stamford BridgeArsene Wenger has told Jose Mourinho "the rules are the rules" after the Chelsea boss's row with his medics.And he has hinted Mourinho's bust up with doctor Eva Carneiro and head physio Jon Fearn points to a lack of unity at Stamford Bridge.Mourinho has been in the spotlight this week after demoting Carneiro and Fearn after an explosive row.Mourinho erupted after...
11 years ago
Habarileo07 Jul
NCCR-Mageuzi yamkingia kifua Kafulila
KITENGO cha Vijana wa Chama cha NCCRMageuzi kimesema kinamuunga mkono mbunge wa Kigoma Kusini kupitia chama hicho, David Kafulila, kuhusu harakati za kutaka uchunguzi huru kuhusu suala la fedha za akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu (BoT) inayoihusu kampuni ya IPTL.
10 years ago
VijimamboTAKUKURU YAMKINGIA KIFUA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TABORA MBELE YA BARAZA LA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
Na Dotto Mwaibale
KAMANDA wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Mkuranga, Damas...
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Kifua Kikuu hatari kwa vijana TZ
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kifua kikuu ambayo ni sugu kwa dawa
10 years ago
Habarileo24 Mar
Dar yaongoza kwa kifua kifuu nchini
MKOA wa Dar es Salaam ni miongoni mwa mikoa minane inayoongoza nchini kwa miaka kumi mfululizo, kwa kuwa na wagonjwa wengi wa kifua kikuu.