Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FA yamkingia kifua Mourinho kwa Eva Carneiro

MourinhoLONDON, ENGLAND

CHAMA cha Soka nchini England (FA), kimesema kuwa Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho, hakutumia lugha chafu kwa daktari wa timu hiyo, Eva Carneiro, hivyo hataadhibiwa.

Inasemekana kocha huyo alitumia lugha chafu kwa daktari huyo katika mchezo wa awali wa Ligi Kuu nchini England dhidi ya Swansea City, huku timu hizo zikimaliza mchezo huo kwa kutoka sare ya 2-2.

Daktari hiyo alitumia muda mwingi kumtibu mchezaji wao, Eden Hazard na kusababisha malumbano na kocha huyo kisha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

THIS IS THE REASON WHY MOURINHO SHOULD APOLOGISE TO CHELSEA DOCTOR EVA CARNEIRO

Chelsea boss Jose Mourinho should apologise to team doctor Eva Carneiro for "publicly humiliating" her, says Liverpool's former head of medicine.Peter Brukner, now the Australia cricket team's doctor, said Mourinho's criticism was "100% wrong" and Carneiro should not have her role changed.
Carneiro, 41, treated Eden Hazard after he was tripped in the final minutes of Chelsea's 2-2 draw with Swansea.It briefly left the Blues with nine men after Thibaut Courtois's red card.Carneiro looks set...

 

9 years ago

Africanjam.Com

CHELSEA CLUB DOCTOR EVA CARNEIRO CONSIDERS LEGAL ACTION AGAINST JOSE MOURINHO


Chelsea Football Club’s doctor, Eva Carneiro, is believed to have left her job and is preparing to sue the Premier League champions for constructive dismissal following an incident during the game against Swansea last month that led to her first-team duties downgraded at the request of the manager, José Mourinho.
Carneiro was due to return to work last Friday having been told she was no longer to attend training sessions, matches or enter the team hotel after provoking Mourinho’s anger when...

 

9 years ago

GPL

ALIYEKUWA DAKTARI WA CHELSEA, EVA CARNEIRO AFUNGA NDOA

Eva Carneiro (42) akiwa na mumewe Jason De Carteret wakati wa harusi yao. ...Wapenzi hao wakiwa na furaha baada ya kufunga ndoa. ...Wakionyeshana upendo kwa kubusiana. Kipa wa zamani wa Chelsea, Mark Schwarzer ambaye kwa sasa anachezea Leicester City alihudhuria sherehe…

 

9 years ago

Africanjam.Com

ARSENE WENGER BACKS CHELSEA DOCTOR EVA CARNEIRO "THE RULES ARE CLEAR"


Wenger also hinted Mourinho's bust up with doctor Carneiro and head physio Jon Fearn points to a lack of unity at Stamford BridgeArsene Wenger has told Jose Mourinho "the rules are the rules" after the Chelsea boss's row with his medics.And he has hinted Mourinho's bust up with doctor Eva Carneiro and head physio Jon Fearn points to a lack of unity at Stamford Bridge.Mourinho has been in the spotlight this week after demoting Carneiro and Fearn after an explosive row.Mourinho erupted after...

 

11 years ago

Habarileo

NCCR-Mageuzi yamkingia kifua Kafulila

David KafulilaKITENGO cha Vijana wa Chama cha NCCRMageuzi kimesema kinamuunga mkono mbunge wa Kigoma Kusini kupitia chama hicho, David Kafulila, kuhusu harakati za kutaka uchunguzi huru kuhusu suala la fedha za akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu (BoT) inayoihusu kampuni ya IPTL.

 

10 years ago

Vijimambo

TAKUKURU YAMKINGIA KIFUA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TABORA MBELE YA BARAZA LA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

 Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Sipora Liana.Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Sipora Liana, akijieleza mbele ya Baraza la  Maadili kwa Viongozi wa Umma Dar es Salaam leo, alipofikishwa kwa tuhuma za kukiuka maadili ya viongozi wa umma alipokuwa Halmshauri ya Manispaa ya Mkuranga mkoani Pwani kabla ya kuhamishiwa Tabora.
Jaji Msumi (katikati), akiwa na wenzake akisikiliza shauri hilo.


Na Dotto Mwaibale
KAMANDA wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Mkuranga, Damas...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kifua Kikuu hatari kwa vijana TZ

Watu milioni 3 wanakosa matibau ya TB ugonjwa ambao unawanyemelea vijana ambao ni nguvu kazi

 

10 years ago

BBCSwahili

Kifua kikuu ambayo ni sugu kwa dawa

Aina ya kifua kikuu ambayo ni sugu kwa dawa zilizopo sasa, na ni vigumu kupata tiba kamili.

 

10 years ago

Habarileo

Dar yaongoza kwa kifua kifuu nchini

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Donan MmbandoMKOA wa Dar es Salaam ni miongoni mwa mikoa minane inayoongoza nchini kwa miaka kumi mfululizo, kwa kuwa na wagonjwa wengi wa kifua kikuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani