Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alliance, Marsh Academy zapongezwa Nyamagana

CHAMA cha Soka Wilaya ya Nyamagana (MBF) cha jijini Mwanza, kimezipongeza timu za Alliance Academy na Marsh Academy kujitwalia tiketi ya Ligi ya Mkoa baada ya kushika nafasi mbili za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Alliance, Marsh Academy zachuana Mwanza

TIMU ya soka ya Alliance Academy ya Nyamagana jijini Mwanza, imejiweka katika nafasi nzuri ya kucheza Ligi ya Mkoa kutokana na kuwa kinara katika kundi lake lenye timu nane ikiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marsh Academy yachanua Daraja la Nne Nyamagana

TIMU ya soka ya Marsh Accademy, hivi karibuni ilivuna ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Alliance Academy katika mechi iliyokuwa na ushindani ya Ligi Daraja la Nne Ngazi ya Wilaya...

 

9 years ago

GPL

ALLIANCE, MARSH MABINGWA AIRTEL RISING STARS MZA

Nahodha wa timu ya Alliance Academy Ally Hamisi (kushoto) akikabidhiwa kombe na Mwenyekiti wa Soka Mkoa wa Mwanza (MZFA)Bw. Jackson Songora baada ya kutwaa ubingwa wa U-17 Airtel Rising Stars mkoa wa Mwanza upande wa wavulana jana. Nahodha wa timu ya wasichana ya Marsh Meriany Kimbuya (kushoto) akikabidhiwa na kombe na Meneja Masoko wa Airtel Kanda ya Ziwa Bw. Emmanuel Raphael baada ya kutwaa ubingwa wa U-17...

 

9 years ago

Michuzi

ALLIANCE, MARSH MABINGWA AIRTEL RISING STARS MWANZA


 Nahodha wa timu ya Alliance Academy Ally Hamisi (kushoto) akikabidhiwakombe na Mwenyekiti wa Soka Mkoa wa Mwanza (MZFA)Bw. Jackson Songora baada ya kutwaa ubingwa wa U-17 Airtel Rising Stars mkoa wa Mwanza upande wa wavulana jana.Nahodha wa timu ya wasichana ya Marsh Meriany Kimbuya (kushoto)akikabidhiwa na kombe na Meneja Masoko wa Airtel Kanda ya Ziwa Bw.Emmanuel Raphael baada ya kutwaa ubingwa wa U-17 Airtel Rising Starsmkoa wa Mwanza upande wa wasichana jana.
TIMU  ya wavulana ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Alliance Academy yampongeza Malinzi

SIKU chache baada ya Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, kutembelea shule ya soka ya Alliance Soccer Academy ya jijini Mwanza, Mkurugenzi wa Shule hiyo, James Bwire,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marsh Academy yawapongeza Mbwana Samatta, Ulimwengu

KITUO cha kuibua na kukuza vipaji vya vijana wadogo cha Marsh Soccer Academy cha jijini Mwanza, kimewapongeza wachezaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kwa kuonyesha moyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu Tanzania Bara zapongezwa

klabu za Yanga, Azam na Simba zimepongezwa kwa kumaliza katika nafasi za juu kwenye ligi kuu Tanzania bara.

 

10 years ago

GPL

TIMU ZA BUNGE ZAPONGEZWA KATIKA TAFRIJA YA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA USIKU HUU MJINI DODOMA

Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda akiwa pamoja na Spika wa Bunge Mh. Anna Makinda na Baadhi ya Wabunge wakifurahia vikombe mbali mbali vilivyoibuliwa na Timu za Bunge la Jamuhuri katika Mashindano yha Mambunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki. Baadhi ya Wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wakiwa kwenye tafrija ya kuupokea… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani