Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alliance Academy yampongeza Malinzi

SIKU chache baada ya Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, kutembelea shule ya soka ya Alliance Soccer Academy ya jijini Mwanza, Mkurugenzi wa Shule hiyo, James Bwire,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Alliance, Marsh Academy zachuana Mwanza

TIMU ya soka ya Alliance Academy ya Nyamagana jijini Mwanza, imejiweka katika nafasi nzuri ya kucheza Ligi ya Mkoa kutokana na kuwa kinara katika kundi lake lenye timu nane ikiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Alliance, Marsh Academy zapongezwa Nyamagana

CHAMA cha Soka Wilaya ya Nyamagana (MBF) cha jijini Mwanza, kimezipongeza timu za Alliance Academy na Marsh Academy kujitwalia tiketi ya Ligi ya Mkoa baada ya kushika nafasi mbili za...

 

11 years ago

GPL

MALINZI KUTEMBELEA KITUO CHA ALLIANCE

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi. Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi atafanya ziara ya siku moja kutembelea kituo cha mpira wa miguu wa vijana cha Alliance cha jijini Mwanza. Lengo la ziara hiyo ni kuangalia jinsi Alliance inayoendesha shughuli zake ili Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) liweze kushirikiana na kituo hicho kwa karibu. Rais Malinzi katika...

 

10 years ago

Response To Burundian Refugee Influx In Tanzania

Act Alliance Appeal


Act Alliance Appeal - Response to Burundian Refugee Influx in Tanzania
AllAfrica.com
Since April 2015, Burundians have been fleeing their country following the announcement that President Pierre Nkurunziza, in violation of the country's constitution, is seeking a 3rd presidential term. Mass protests have followed, during which at least 30 ...

 

10 years ago

Mwananchi

TFF yampongeza Tenga

Rais wa TFF, Jamal Malinzi amempongeza Leodegar Tenga kwa kuchaguliwa tena kuendelea kuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF).

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama yampongeza Kikwete

JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohammed Othman Chande amesema kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kufanya uteuzi wa mara kwa mara wa majaji nchini, kimeongezea kwa kiasi kikubwa utendaji wa Idara ya Mahakama na hadi sasa kuna Majaji takribani 100, jambo ambalo halijawahi kutokea miaka ya nyuma.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yampongeza Mkwasa

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetuma salamu za pongezi kwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa ‘Master’ kwa kupata nafasi ya kuwa msaidizi wa Mholanzi Hans van Pluijm katika...

 

9 years ago

Habarileo

TASWA yampongeza Magufuli, wanamichezo

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA), kimempongeza Dk John Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Tanzania. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Taswa, Juma Pinto ilieleza kuwa chama hicho kina imani kubwa na Dk Magufuli na kumuahidi ushirikiano wa kutosha katika kutekeleza majukumu yake.

 

9 years ago

Michuzi

TFF YAMPONGEZA NAPE NNAUYE

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za pongezi mbunge wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye kufutia kuteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo katika serikali ya awamu ya tano.
Katika salamu zake, Malinzi amempongeza Nape na kusema TFF ina imani nae katika nafasi hiyo, na kuahidi kushirikiana katika michezo na haswa katika kusukuma gurudumu la maendeleoya mpira wa miguu nchini.
Aidha pia Malinzi amewapongeza Paschal Kihanga,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani