AMBASIA MALIY ALIVYOTWAA TAJI LA MISS TABATA 2014
![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
Mrembo Ambasia Maliy Juni 6, 2014 alitwaa taji la Miss Tabata 2014, huku Ramta Mkandara akishika nafasi ya pili na ya tatu kwenda kwa Faudhia Feka. Bendi ya Twanga Pepeta ilitoa burudani ya nguvu kusindikiza mashindano hayo ambapo GLOBAL TV ONLINE walikuwa moja ya…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziAMBASIA MALIY ATWAA TAJI LA MISS TABATA 2014
11 years ago
Dewji Blog![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/141.jpg)
Ambasia Maliy atwaa taji la Redd’s Miss Tabata 2014
Redd’s Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akitabasamu baada ya kutangazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata.
Redd’s Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akipunga mkono kwa mashabiki wake muda mfupi baada ya kutawazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata, Shindano hilo lilifanyika kwenye Ukumbi wa Da’west Park,Tabata jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia jumamosi.Wengine pichani ni Mshindi wa Pili wa shindano hilo, Faudhia Feka (kulia) pamoja na Mshindi wa Tatu, Ramta Mkadara .
![23](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/231.jpg)
11 years ago
GPLAMBASIA MALIY NDIYE MISS TABATA 2014
10 years ago
GPL13 Oct
SITTI MTEMVU ALIVYOTWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Nani kutwaa Taji la Miss Tabata 2014 leo Tarehe 06/06/2014?
11 years ago
Dewji Blog29 May
Warembo wanaowania taji la Miss Tabata 2014 waendelea kujinoa ukumbi wa Dar West Park
Warembo wanaoshindania miss Tabata 2014 wakiwa kwenye pozi wakati wa mazoezi ya shindano hilo na fainali itakalofanyika siku ya Ijumaa tarehe 06/06/ 2014. Mashindano haya ya Miss Tabata 2014 yatafanyika kwenye ukumbi wa Dar West Park.
Mwalimu Pasilida Mandari anayewanoa warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la Miss Tabata 2014 akizungumza na warembo hao wakati wa mazoezi.
Warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la Miss Tabata 2014 wakiwa watokelezea kwenye pozi...
11 years ago
GPLNANI KUTWAA TAJI LA MISS TABATA LEO DA’ WEST PARK
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-scpofE3Sh9I/VI25cGFBgxI/AAAAAAAG3LE/wcTnTadhjzU/s72-c/miss-world-2014.jpg)
NEWS ALERT: MISS SOUTH AFRICA Rolene STRAUSS ASHINDA TAJI LA MISS WORLD 2014 USIKU HUU JIJINI LONDON, UINGEREZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-scpofE3Sh9I/VI25cGFBgxI/AAAAAAAG3LE/wcTnTadhjzU/s1600/miss-world-2014.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QiPAw6maMrU/VI3D1fxh5yI/AAAAAAAG3LY/st7LyIHWSSE/s1600/83517_profileImage1.600x400.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Warembo 17 mazoezini Miss Tabata 2014
WAREMBO 17 wamejitokeza kushiriki shindano la kumtafuta Redd’s Miss Tabata 2014. Mratibu wa shindano hilo, Joseph Kapinga, alisema jijini Dar es Salaam jana kuwa, warembo hao wanaendelea na mazoezi katika...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10