Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMBER ROSE ATUPIA PICHA ZAKE ZA UTUPU KATIKA MTANDAO WA INSTAGRAM

MREMBO kutoka nchini Marekani, Amber Rose ameamua kutupia picha zake zinazoonyesha maungo yake akiwa katika vazi la bikini nyeusi. Amber mwenye miaka 31, mama wa mtoto mmoja, ametupia picha hizo jana katika ukurasa wake wa Instagram na mpaka sasa zimesambaa kila kona kwenye mitandao ya jamii.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Picha: Amber Rose ashare picha yake ya utupu Instagram (18+)

Wakati mastaa wengine wanahaha baada ya picha zao za utupu kuvujishwa mtandao bila ridhaa zao, stripper wa zamani na mke wa rapper Wiz Khalifa, Amber Rose ameamua kutowasubiri hackers wafanye mambo, kwa kuamua kuvujisha mwenyewe picha yake ya utupu kupitia akaunti yake ya Instagram. Amber ambaye ni mama wa mtoto mmoja alishare picha hiyo na […]

 

10 years ago

GPL

AMBER ROSE ATUPIA PICHA ZAKE TATA NYINGINE MTANDAONI

Amber Rose akipozi kwa picha. Amber akijiachia na maswaiba wake huko Miami nchini Marekani. Amber Rose akiwa ameachia kinguo chake na kuacha…

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Amber Rose apose utupu kwenye jarida la GQ (18+)

Aliyekuwa mke wa rapper Wiz Khalifa, Amba Rose ame-pose utupu kwenye jarida la nchini Uingereza, GQ. Hii si mara ya kwanza kwa Amber kupiga picha za namna hiyo toka alipoachana na Wiz.(Ingia hapa) Kwa mujibu wa Hollywoodlife , inasemekana kuwa hii ni njia moja wapo ya kupromote kitabu chake cha “How To Be A Bad […]

 

10 years ago

GPL

BIEBER ATUPIA PICHA YA UTUPU MTANDAONI

Justin Bieber. MWANAMUZIKI raia wa Canada asiyeishiwa vituko, Justin Bieber kwa mara nyingine ametengebeza vichwa vya habari mitandaoni baada ya kutupia picha yake ya utupu katika akaunti yake ya Instagram. Picha ya utupu aliyoiweka Bieber Instagram. Staa huyo ameachia pia hiyo ikionyesha sehemu za makalio yake wakati akijiachia katika Kisiwa cha Bora Bora kilichopo nchini Ufaransa. Ndani ya saa moja baada ya kutupia picha hiyo,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip: Wabongo ‘wamtibulia’ mwanadada wa Zimbabwe kwa Amber Rose Instagram

11174943_835331553170384_3503190908409502878_n

Picha hii  ndio iliyozua ‘zengwe’ baada ya watanzania waishio Bongo na UK kutukanana matusi na Wazimbabwe waishio Uingereza (UK), ambapo hata hivyo, AmberRrose ameiondoa katika mtandao wake wa Instagram baada ya kuogopa uvunjikaji wa amani baina ya Tanzania na Zimbabwe.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Huenda ujapata kusikia hii ambayo ni mpya kabisa na hata kama umeisikia basi ni juu juu, ukweli ni kuwa, Watanzania mbalimbali ambao wanatumia Instagram (IG ) walio fans wa  video queen,...

 

10 years ago

Bongo5

Amber Rose amchana Kanye West kuwa huandikiwa nyimbo zake

Amber Rose amemchana mpenzi wake wa zamani, Kanye West. Wakati wa show kwenye kiota cha Supperclub huko L.A., Rose aliongea maneno yaliyoashiria kuwa nyimbo za Kanye West huandikwa Travi$ Scott. “Stop playing n**gas I used to f**k,” Amber aliyekuwa amelewa alimwambia. “Why don’t we play the ni**a that writes the songs for the other ni**a—Travi$ […]

 

10 years ago

Bongo5

Amber Rose na Wiz Khalifa wapost picha mpya za pamoja, mashabiki wawabembeleza warudiane

Mashabiki wa rapper Wik Khalifa na Amber Rose wana hamu ya kuona couple hiyo yenye mtoto mmoja inarudi kuwa pamoja. Amber Rose ameshare picha mpya (selfie) akiwa na baba wa mwanaye, Wiz Khalifa na kuandika ‘Still Ballin’, na upande wa Wiz Khalifa naye amepost picha nyingine akiwa anavuta bangi huku Amber akiwa amekaa pembeni yake. […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Ex wa Desire Luzinda aliyevujisha picha zake za utupu aibuka na kuzungumiza kilichomfanya avujishe

Baada ya muimbaji wa Uganda, Desire Luzinda kutoa tamko rasmi la kuomba radhi kutokana na picha zake za utupu zilizovujishwa mtandaoni, aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki huyo Mnigeria Franklin Emuobor Ebenhron naye ameibuka na kuzungumzia sababu zilizomfanya kuvujisha picha za ex wake huyo baada ya kutofautiana. Franklin na Luzinda enzi za uhusiano wao Msikilize hapa

 

10 years ago

GPL

AMBER ROSE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA D'BANJ NCHINI NIGERIA

D'Banj akihojiwa. D'Banj akimnong'oneza jambo Amber Rose. Amber Rose na D'Banj katika…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani