Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMBER ROSE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA D'BANJ NCHINI NIGERIA

D'Banj akihojiwa. D'Banj akimnong'oneza jambo Amber Rose. Amber Rose na D'Banj katika…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

AMBER ROSE ALIANZA KUKATA NYWELE AKIWA NA UMRI WA MIAKA 18



Hapa ni TBT ya Amber Rose akiwa kinda la miaka 18 fresh kabisa kama punye ya kitunguu, Amber Rose anasema alianza kupenda kuwa na nywele fupi toka akiwa na umri huo hadi sasa ana umri wa miaka 33 anaendelea kuwa na nywele fupi na kuziweka rangi.
Then and now: The star is now 33 and dyes her famous buzz cut peroxide blonde 

 

10 years ago

GPL

AMBER ROSE ATUPIA PICHA ZAKE ZA UTUPU KATIKA MTANDAO WA INSTAGRAM

MREMBO kutoka nchini Marekani, Amber Rose ameamua kutupia picha zake zinazoonyesha maungo yake akiwa katika vazi la bikini nyeusi. Amber mwenye miaka 31, mama wa mtoto mmoja, ametupia picha hizo jana katika ukurasa wake wa Instagram na mpaka sasa zimesambaa kila kona kwenye mitandao ya jamii.…

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA NCHI ZA G77+CHINA NCHINI BOLIVIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza katika mkutano wa maadhimisho ya miaka 50 ya nchi za G77 na China, uliofanyika jijini Santa Cruz, Bolivia jana Juni 15, 2014. Sehemu ya washiriki na wawakilishi wa viongozi wa mataifa mbalimbali katika mkutano huo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) akiwa na baadhi ya Viongozi kutoka mataifa mbalimbali wakati wa ufunguzi wa maadhimisho hayo...

 

10 years ago

GPL

MKE WA OBAMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YA MIAKA 5 YA KAMPENI YAKE YA 'LET'S MOVE' KWA DANSI

MKE wa Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama juzi Jumatatu alitoa shoo ya nguvu kwa kucheza wimbo wa Mark Ronson uitwao "Uptown Funk" akiwa sambamba na mastaa wa "So You Think You Can Dance". Michelle alikuwa akisherehekea bethidei ya miaka mitano ya Kampeni yake ya "Let's Move!" yenye lengo la kuondoa vitambi kwa watoto nchini Marekani. Michelle alianzisha kampeni hiyo mwaka 2010 baada ya kuwepo watoto wengi wenye...

 

9 years ago

GPL

D'BANJ AFURAHISHWA NA KOLABO YA DON JAZZY

Mwimbaji maarufu wa Nigeria, D’banj (kulia) na prodyuza Don Jazzy USEMI   kwamba ‘Sauti ya umma ni sauti ya Mungu’ umewaleta karibu mwimbaji maarufu wa Nigeria, D’banj na prodyuza Don Jazzy ili kukidhi hau ya mashabiki wao. Hapa itakumbukwa kwamba mwimbaji maarufu wa Nigeria, 2Face Idibia aliwahi kushikamana na  mshikaji wake, Don Jazzy, na kuwapa mashabiki wao bonge la wimbo wa...

 

9 years ago

Mtanzania

AMBER ROSE ATEKWA NA MR. IBU

Amber-and-Mr-IbuMPENZI wa zamani wa Wiz Khalifa, Amber Rose, ameonekana kuvutiwa na mwigizaji kutoka nchini Nigeria,
John Okafor ‘Mr Ibu’ kutokana na filamu yake ya Sugar Daddy.

Filamu hiyo ya Sugar Daddy imefanya vizuri nchini Nigeria, lakini kwa sasa imevuka mipaka ambapo imefika
nchini Marekani na kumgusa mrembo huyo.

Kupitia Instagram, Amber Rose aliweka picha ya msanii huyo na kudai kwamba ni ‘bonge la msanii’ ambaye
anavutiwa naye.

“Mr Ibu, anafanya vizuri, nimependa kile ambacho amekifanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani