Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


D'BANJ AFURAHISHWA NA KOLABO YA DON JAZZY

Mwimbaji maarufu wa Nigeria, D’banj (kulia) na prodyuza Don Jazzy USEMI   kwamba ‘Sauti ya umma ni sauti ya Mungu’ umewaleta karibu mwimbaji maarufu wa Nigeria, D’banj na prodyuza Don Jazzy ili kukidhi hau ya mashabiki wao. Hapa itakumbukwa kwamba mwimbaji maarufu wa Nigeria, 2Face Idibia aliwahi kushikamana na  mshikaji wake, Don Jazzy, na kuwapa mashabiki wao bonge la wimbo wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

2-FACE AWAOMBA DON JAZZY, D'BANJ WAANZISHE TENA USHIRIKIANO

Mwanamuziki maarufu wa Nigeria, 2-Face Idibia. Lagos Nigeria MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria, 2Face Idibia, ametoa wito kwa wanamuziki wawili nchini mwake, Don Jazzy na D’Banj kufikiria kuungana ili kutoa wimbo mmoja, kwani yeye anawaheshimu sana wawili hao kimuziki. 2Face Idibia aliyesema hayo kwenye onyesho la Fortyfied Concert lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kuadhimisha mwaka wa 40 wa kuzaliwa kwake akiwa jijini...

 

10 years ago

GPL

D'BANJ APATANA NA DON JAZZY, AMTAMBULISHA MPENZI WAKE KWENYE TUZO ZA MAMA

Mwanamuziki D’banj na prodyuza na mwanamuziki Don Jazzy wakiwa kwenye tuzo hizo.
WAKATI mashabiki wakifikiri mtafaruku kati ya mwanamuziki D’banj na prodyuza na mwanamuziki Don Jazzy ukiongezeka,  D’banj aliwashangaza watu wote kwa kusema tuzo yake aliyopata katika mchuano wa MTVMAMA huko Afrika Kusini ni zawadi kwa prodyuza wake wa zamani, Don Jazzy. D’banj akiwa na mpenzi wake. Mwanamuziki huyo...

 

9 years ago

Bongo5

I planned a song with Don Jazzy before 2Face begged us — D’banj

Popular singer and entertainer, D’banj has said that even before iconic songster, 2Face Idibia pleaded with him and his former partner, Don Jazzy to come back together and give fans one more hit, they already had something like that planned. In an exclusive chat with Vanguard Nigeria, D’banj enthused, “Glo has said they will sponsor […]

 

11 years ago

GPL

KOLABO BORA YA MTV: UHURU FT DJ BUCKZ, OSKIDO, PROFESSOR, YURI DA CUNHA - 'Y-TJUKUTJA'

Katika kipengele cha Kolabo Bora (Best Collaboration) nominees walikuwa ni 'Number One' (Remix) (Tanzania/ Nigeria), Amani ft Radio na Weasel- 'Kiboko Changu' ( Kenya/ Uganda), Mafikizolo ft May D - 'Happiness' ( Afrika Kusini/ Nigeria), R2bees ft Wizkid - 'Slow Down' (Ghana/Nigeria) na Uhuru ft DJ Buckz, Oskido, Professor, Yuri Da Cunha - 'Y-tjukutja' (Afrika Kusini/Angola) ambapo mshindi alikuwa ni Uhuruft DJ Buckz,Oskido na...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Timaya Ft Don Jazzy — I Concur

Wimbo mpya wa msanii kutoka Nigeria Timaya unaitwa “I Concur” amemshirikisha Mavin Dynasty/Mavin Records boss Don Jazzy. Upo hapa sikiliza. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Videp: Tolu Ft. Don Jazzy — iFemi

Here’s the classic video to the stunning classic song iFemi by Tolu featuring Don Jazzy. Produced by BabyFresh, this is an amazingly beautiful song inspired by Tolu’s grandma. Here’s the video shot by Mex. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na […]

 

10 years ago

Bongo5

New Video: P-Square ft. Don Jazzy — Collabo

Mapacha wa P-Square wametoa video ya wimbo wao ‘Collabo’ waliyomshirikisha Don Jazzy. Video imefanyika Afrika Kusini na kuongozwa na Clarence Peters na Jude Okoye.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Timaya Feat. Don Jazzy — I Concur

Video mpya ya msanii Timaya Kutoka Nigeria hapa amemshirikisha Don Jazzy wimbo unaitwa “I Concur” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

GPL

DON JAZZY KUJA NA TAMASHA LA MAVIN RECORDS

Mkongwe wa muziki kutoka Naija na mkurugenzi wa Lebo ya Muziki ya MAvin, Don Jazzy. MKONGWE wa muziki kutoka Naija na mkurugenzi wa Lebo ya Muziki ya MAvin, Don Jazzy anatarajia kuja na tamasha bab’ kubwa la kusherehekea lebo yake, Desemba 23, mwaka huu. Akizungumza na vyombo vya habari Nigeria, Don Jazzy alisema wameamua kuandaa tamasha hilo kama shukurani kwa mashabiki wao ambao wamekuwa wakiwaonyesha sapoti tangu mwaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani