Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KOLABO BORA YA MTV: UHURU FT DJ BUCKZ, OSKIDO, PROFESSOR, YURI DA CUNHA - 'Y-TJUKUTJA'

Katika kipengele cha Kolabo Bora (Best Collaboration) nominees walikuwa ni 'Number One' (Remix) (Tanzania/ Nigeria), Amani ft Radio na Weasel- 'Kiboko Changu' ( Kenya/ Uganda), Mafikizolo ft May D - 'Happiness' ( Afrika Kusini/ Nigeria), R2bees ft Wizkid - 'Slow Down' (Ghana/Nigeria) na Uhuru ft DJ Buckz, Oskido, Professor, Yuri Da Cunha - 'Y-tjukutja' (Afrika Kusini/Angola) ambapo mshindi alikuwa ni Uhuruft DJ Buckz,Oskido na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI‏

John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...

 

10 years ago

GPL

MKE WA OBAMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YA MIAKA 5 YA KAMPENI YAKE YA 'LET'S MOVE' KWA DANSI

MKE wa Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama juzi Jumatatu alitoa shoo ya nguvu kwa kucheza wimbo wa Mark Ronson uitwao "Uptown Funk" akiwa sambamba na mastaa wa "So You Think You Can Dance". Michelle alikuwa akisherehekea bethidei ya miaka mitano ya Kampeni yake ya "Let's Move!" yenye lengo la kuondoa vitambi kwa watoto nchini Marekani. Michelle alianzisha kampeni hiyo mwaka 2010 baada ya kuwepo watoto wengi wenye...

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE

Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live. Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).…

 

11 years ago

GPL

WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI 'IMPERIAL' KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA‏

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Dr. Shukuru Kawambwa akipokelewa na Mabalozi wa shule ya sekondari ya Imperial wakati alipowasili kwenye banda la shule hyo jana na kupata maelezo mbalimbali kutoka kwa Mkuu wa shule hiyo na waalimu. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi , Dr. Shukuru Kawambwa akiingia katika banda la shule ya sekondari Imperial.… ...

 

9 years ago

GPL

D'BANJ AFURAHISHWA NA KOLABO YA DON JAZZY

Mwimbaji maarufu wa Nigeria, D’banj (kulia) na prodyuza Don Jazzy USEMI   kwamba ‘Sauti ya umma ni sauti ya Mungu’ umewaleta karibu mwimbaji maarufu wa Nigeria, D’banj na prodyuza Don Jazzy ili kukidhi hau ya mashabiki wao. Hapa itakumbukwa kwamba mwimbaji maarufu wa Nigeria, 2Face Idibia aliwahi kushikamana na  mshikaji wake, Don Jazzy, na kuwapa mashabiki wao bonge la wimbo wa...

 

11 years ago

GPL

REDD'S MISS CHANG'OMBE ZAWADI ZA WASHINDI ZATANGAZWA

Mratibu wa Shindano la kumtafuta mrembo wa Redd's Miss Chang'ombe, Tom Chilala (katikati),akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo wakati wa kuitangaza zawadi za washindi. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Marie Stopes, Dk. Jophn Bosco na Ofisa Uhusiano  wa TV1, Mponjoli Katule.…

 

10 years ago

GPL

KAMPUNI YA TTCL YAANZISHA KITUO CHA INTERNETI 'IP POP'

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba akizungumza katika mdahalo wa wadau wa mawasiliano uliofanyika jana jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba (kulia) akizungumza na wanahabari mara baada ya mkutano wa wadau wa mawasiliano Afrika ikiwemo…

 

10 years ago

GPL

'MJUSI' WA TANZANIA AMBAYE MABAKI YAKE YALITOROSHEWA UJERUMANI

Haya ndo mabaki ya Mjusi kama yanavyoonekana Hii ndo sehemu ambako mabaki hayo yalipatikana UKIACHANA na Mlima Kilimanjaro, Ngorongoro na hata madini ya Tanzanite, je, wajua kuwa Tanzania ina utajiri ambao ungekuwa kivutio kingine kwa watalaa nchini. Kivutio hicho kama kingekuwa hapa nchini ni mabaki ya wanyama aina ya mijusi wakubwa wa walioishi… ...

 

11 years ago

GPL

WEMA SEPETU AMREKODI 'BABY' WAKE AKIGONGA MENYU

Staa wa Filamu za Kibongo, Wema Sepetu amemrekodi mpenzi wake, Diamond Platnumz akipata msosi katika mghahawa wa Indian Cuisine (Video: Instagram)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani