Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amnesty International yaonya hali Iraq

Shirika la Amnesty International limesema waasi wa Islamic State wanatekeleza kampeni ya kumaliza jamii za wachahe nchini Iraq.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Amnesty International yaikosoa Iran

Shirika la Kutetea Haki za Binadamu, Amnesty International, limekosoa jaribio la Iran kuwahamasisha wanawake kuwa na watoto wengi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Amnesty International laishtumu Misri

A.I limeushtumu utawala nchini Misri kwa kufunika mauaji wakati wa mandamano ya kuadhimisha miaka minne ya mapinduzi

 

11 years ago

Dewji Blog

Amnesty International: Mateso ni tatizo la dunia nzima

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema (13.05.2014) zaidi ya nusu ya nchi zilizosaini mkataba wa Umoja wa Mataifa dhidi ya mateso miaka 30 iliyopita bado zinawatesa watu.

Zaidi ya nusu ya nchi zilizosaini mkataba wa Umoja wa Mataifa dhidi ya mateso miaka 30 iliyopita bado zinawatesa watu. Hayo yamesemwa na shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International katika ripoti yake iliyotolewa leo, likilaani kile lilichokiita kuwa ni mzozo wa kimataifa....

 

10 years ago

BBCSwahili

Boresheni hali ya wafanyakazi :Amnesty

Shirika la Haki za binadamu la Amnesty International ,linasema Qatar inalazimika kuboresha hali ya wafanyakazi.

 

11 years ago

GPL

MALAKA YA HALI YA HEWA YAONYA

05/05/2014                                                                                                                     YAH : UPOTOSHWAJI WA TAHADHARI YA HALI YA HEWA KUHUSIANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini...

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yatangaza hali ya tahadhari Iraq

UN imetangaza hali ya tahadhari ya kiwango cha juu zaidi cha dharura kwa watu milioni moja unusu nchini Iraq.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya wanawake chini ya IS Iraq

BBC imepata video inayoonesha jinsi wanawake wanavyodhalilishwa chini ya utawala wa IS nchini Iraq

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: WHO yaonya mataifa ya Afrika 'yajiandae kwa hali mbaya'

Tanzania imeripoti kuongezeka kwa visa viwili zaidi vya maambukizi ya virusi vya corona, huku Shirika la afya duniani likilionya bara la Afrika kujiandaa kwa hali mbaya zaidi ya virusi hivyo.

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Ofisi ya Hali ya Hewa ya Uingereza (UK Met Office) wamesaini mkataba wa makubaliano ya uboreshaji huduma za hali ya hewa hapa nchini. Mkataba huo umesainiwa tarehe 11 Novemba, 2014 wakati wa kikao cha masuala ya hali ya hewa (IBCS) kilichofanyika mjini Geneva Uswiss.
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani