Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Amnesty International yaikosoa Iran

Shirika la Kutetea Haki za Binadamu, Amnesty International, limekosoa jaribio la Iran kuwahamasisha wanawake kuwa na watoto wengi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Amnesty International laishtumu Misri

A.I limeushtumu utawala nchini Misri kwa kufunika mauaji wakati wa mandamano ya kuadhimisha miaka minne ya mapinduzi

 

10 years ago

BBCSwahili

Amnesty International yaonya hali Iraq

Shirika la Amnesty International limesema waasi wa Islamic State wanatekeleza kampeni ya kumaliza jamii za wachahe nchini Iraq.

 

11 years ago

Dewji Blog

Amnesty International: Mateso ni tatizo la dunia nzima

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema (13.05.2014) zaidi ya nusu ya nchi zilizosaini mkataba wa Umoja wa Mataifa dhidi ya mateso miaka 30 iliyopita bado zinawatesa watu.

Zaidi ya nusu ya nchi zilizosaini mkataba wa Umoja wa Mataifa dhidi ya mateso miaka 30 iliyopita bado zinawatesa watu. Hayo yamesemwa na shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International katika ripoti yake iliyotolewa leo, likilaani kile lilichokiita kuwa ni mzozo wa kimataifa....

 

9 years ago

BBCSwahili

EU yaikosoa serikalli ya TZ kuhusu sheria

Washirika wa kimaendeleo wameonyesha kutoridhishwa kwao na utekelezaji wa sheria ya uhalifu wa mitandaoni ya mwaka 2005 nchini Tanzania.

 

9 years ago

Mwananchi

Tanzania yaikosoa filamu ya albino UN

Siku moja baada ya mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, kuelezea kwa waandishi wa habari juhudi zinazofanywa na Serikali dhidi uovu wanaofanyiwa watu wenye ulemavu wa ngozi, Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa (UNHR ) imesema itashirikiana na Serikali ya Tanzania katika juhudi hizo za kuukabili uovu unaofanywa dhidi ya jamii hiyo ya Watanzania.

 

10 years ago

Michuzi

wanafunzi wa Edugates International School iliyoko Jeddah washerehekea International Day

Katika kuadhimisha International Day Saudi Arabia, wanafunzi wa Edugates International School iliyoko Jeddah pamoja na Mwalimu wa KiTanzania  walisherehekea siku hiyo jana ambapo Wanafuzi wa KG2 na Mwalimu wao Bi Sabrina Ali   walivaa Ki-Tanzania na kuimba nyimbo na kucheza ngoma za utamaduniwa Tanzania Wanafuzi wa KG2 wa Edugates International School iliyoko Jeddah  na Mwalimu wao Bi Sabrina Ali wakiimba nyimbo za Tanzania huku wakipeperusha benderaWanafuzi wa KG2 na Mwalimu wao Bi Sabrina...

 

11 years ago

BBCSwahili

Amnesty:Washukiwa CAR washitakiwe

Shirika la kimataifa la Amnesty International, linataka uchunguzi ufanywe kuhusu uhalifu wa kivita CAR

 

9 years ago

BBCSwahili

Amnesty yainyooshea kidole Burundi

Shirika la Amnesty International,limeituhumu serikali ya Burundi kwa mauaji watu wasio na hatia na matumizi mabaya ya jeshi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Amnesty : Qatar inawadhulumu wahamiaji

Amnesty International limesema kuwa serikali ya Qatar halijafanya lolote kumaliza unyanyasaji wa wahamiaji wanaotumika kujenga viwanja vya kombe la dunia 2022

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani