ankal akiwa bungeni dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-FL5Vi0OxKTM/Uxgky3ZCBCI/AAAAAAAFRW0/o9SHYPqq75M/s72-c/r2.jpg)
Ankal akibadilishana mawazo na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Riziki Said Lulida bungeni mjini Dodoma. Mjadala wa rasimu ya kanuni za bunge hilo bado unaendelea, ambapo kinachofuata ni uchaguzi wa Katibu wa Bunge hilo na naibu wake ambao wataapishwa na Rais. Kisha Katibu huyo wa Bunge maalum atamwapisha Mwenyekiti wa Bunge atayechaguliwa ambaye naye atawaapisha Wajumbe wote. Baada ya hapo Rais atazindua Bunge na kazi rasmi ya kupata katiba mpya itaanza.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iEodWbf8pzw/Uy2ZL_PYHVI/AAAAAAAFVnA/Hpj5ZPEfwcU/s72-c/unnamed+(24).jpg)
ankal na wapiganaji wa TBC1 Bungeni dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-iEodWbf8pzw/Uy2ZL_PYHVI/AAAAAAAFVnA/Hpj5ZPEfwcU/s1600/unnamed+(24).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wnn-u-wJiZM/VlA71SQdCiI/AAAAAAAIHh8/A0k8Okc097w/s72-c/tt.jpg)
ONLY IN TANZANIA: RAIS MAGUFULI AKIWA NA MARAIS WASTAAFU BUNGENI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wnn-u-wJiZM/VlA71SQdCiI/AAAAAAAIHh8/A0k8Okc097w/s640/tt.jpg)
11 years ago
MichuziKUTOKA BUNGENI: WAZIRI MKUU AKIWA NA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA LEO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WGc50CZjUR0/VkhHSiwVyUI/AAAAAAAIF5k/kGd2k0yDkwQ/s72-c/0ebe35a0-6d7f-4dcc-9a62-deaa87483b65.jpg)
Ankal akiwa Bagamoyo
![](http://1.bp.blogspot.com/-WGc50CZjUR0/VkhHSiwVyUI/AAAAAAAIF5k/kGd2k0yDkwQ/s640/0ebe35a0-6d7f-4dcc-9a62-deaa87483b65.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FfpCk2WQucg/VkhHSlei6kI/AAAAAAAIF5o/8M6l2nyNaMc/s640/1d98e21f-331d-490a-971a-f7718f5c7d8e.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uSUv0CC6AXg/U3kkgMZibhI/AAAAAAAFjnI/hJ0tdLNQ-zw/s72-c/IMG_6994.jpg)
Ankal akiwa out na familia
![](http://2.bp.blogspot.com/-uSUv0CC6AXg/U3kkgMZibhI/AAAAAAAFjnI/hJ0tdLNQ-zw/s1600/IMG_6994.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Sg5jjPVxmQI/VMjpj2XnHcI/AAAAAAAG_6Y/nU_0FMkVivE/s72-c/0L7C0310.jpg)
ANKAL AKIWA NA WADAU WA BERLIN, UJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sg5jjPVxmQI/VMjpj2XnHcI/AAAAAAAG_6Y/nU_0FMkVivE/s1600/0L7C0310.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nR0BL9Iiryw/VINdgeCLINI/AAAAAAAG1qc/350iNEKJfUI/s72-c/l.jpg)
Kutoka maktaba: Ankal akiwa loliondo mwaka 1990
![](http://3.bp.blogspot.com/-nR0BL9Iiryw/VINdgeCLINI/AAAAAAAG1qc/350iNEKJfUI/s1600/l.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ccKulOaW9uk/VHnWXv51VPI/AAAAAAAG0L8/fV1vLUooQTo/s72-c/MMGM1020.jpg)
Binti wa Ankal alamba nondozz yake katika Chuo Kikuu cha Dodoma leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-ccKulOaW9uk/VHnWXv51VPI/AAAAAAAG0L8/fV1vLUooQTo/s1600/MMGM1020.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h2L8CJA8Irw/VHnWVvM-97I/AAAAAAAG0Lo/vYm2o28KSmI/s1600/MMGM1002.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uQemSLagDgI/VHnWWMxx-sI/AAAAAAAG0Ls/G-poMA_hS5c/s1600/MMGM1014.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QOXqWvDUBK4/VHnWYcv4H_I/AAAAAAAG0MI/ihClZMwISoc/s1600/MMGM1081.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D0L_G44kfcM/VHnWZvvmBYI/AAAAAAAG0MY/XD9F7g2H4Qw/s1600/MMGM1167n.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania