Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ankal aonja na kushuhudia live uendeshaji wa kizembe barabarani...

Kamanda Mpinga na kikosi chake cha Usalama Barabarani kweli wana kazi. Ankal kalishuhudia hili wakati akirejea kutoka Dodoma kikazi kurudi Dar es salaam ambapo wakati akisafiri barabara ya Morogoro alikutana na mambo ya kutisha yanayoelekea kuendelea katika barabara zetu na kupelekea ajali za kila siku.  Kwanza Ankal alishuhudia ajali za barabarani takriban tatu hivi katika siku moja tu ya Machi 20, 2015 ambapo alishuhudia lori la semi-trela za gari (zote) za Scania ambapo ya kwanza ilikuwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Abiria kushuhudia ‘live’ angani Kombe la Dunia

Kwa mara ya kwanza katika historia Kombe la Dunia mashabiki wa soka watakaosafiri kwa ndege watashuhudia mechi zote 64 moja kwa moja mechi za michuano hiyo wakiwa angani.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mdau Anthony Mark Shayo ndani ya Maracanã kushuhudia LIVE fainali za Kombe la Dunia 2014

10483693_10152613768874274_7623359552862710850_n

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya usafi iliyopewa zabuni ya kusafisha Manispaa ya Ilala Green Waste Pro Ltd. Bw. Anthony Mark Shayo akipata Ukodak ndani ya uwanja wa Maracana kwenye jiji la Rio de Janeiro, Brazil alipoenda kushuhudia LIVE fainali za kombe la Duniani 2014 kati ya Ujerumani na Argentina.

 

10 years ago

Michuzi

Birthday Wishes to Ankal from Mrs Ankal

Happy birthday to you my better half, my friend, perfect father/daddy to our kids‎. Wish you happiness, wish you success n contentment in your life. I wish to be there with you but " kazi hizi" I am always thankful to God for you and for every opportunity and everything he has favoured us. His blessings are ever in abundant/ abundance. I love n cherish you and will forever do so, in a very special way. Happy birthday.
Mrs Ankal.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta aonja shubiri

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, na Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Samuel Sitta, jana alipata wakati mgumu baada ya kulakiwa na kundi kubwa la watu, wengi wao wakiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Magazeti ya Kiswahili yanafanya makosa ya kizembe

Katika mapitio ya magazeti ya Kiswahili bado makosa yanaonekana na hivyo hatuna budi kukemea pale ambapo makosa yenyewe ni ya kizembe. Nimetumia maneno ‘ya kizembe’ kwa sababu ni aibu kwa mwandishi kuandika neno kujiuzuru badala ya kujiuzulu kwa sababu matumizi ya herufi  /l/ na /r/  ni tofauti. Hivyo kuyachanganya ni uzembe kwani tunapokuwa na wasiwasi tunatumia kamusi. Je, wewe mwandishi wa makala au wa habari unayo kamusi ya Kiswahili. Kama huna jitahidi ununue moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani