Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ankal beneti na wapiganaji Max na Mike wa jamii forum leo

 Ankal akiwa na wapiganaji Max (kushoto) na Mike wa Jamii Forum kwenye uzinduzi wa ripoti ya Benki ya Dunia Kuhusu Ajira Zenye Tija Tanzania leo katika hoteli ya Hyatt regency kilimanjaroWapiganaji wa Jamii Forum Max na Mike wakiwa hewani live kwenye uzinduzi wa ripoti ya Benki ya Dunia Kuhusu Ajira Zenye Tija Tanzania leo katika hoteli ya Hyatt regency kilimanjaro

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

ankal na wapiganaji wa TBC1 Bungeni dodoma

Ankal akipata picha ya kumbukumbu na wapiganaji wa TBC1 waliofunga kambi mjini Dodoma kutuletea matangazo ya Bunge Maalum la Katiba. Picha na Hassan Issa wa OMPR, ZNZ.

 

10 years ago

Michuzi

ankal agongana na wadau wa globu ya jamii dubai

Ankal akiwa na wadau wa Globu ya Jamii aliogongana nao Dubai. Anawashukuru kwa kuwa wadau wa Globu hii kwa muda mrefu na kwamba wao na wengine wote kila pembe ya dunia ni watu muhimu sana sana kwake...

 

10 years ago

Michuzi

Ankal na Wadau wa Globu ya Jamii, The Hague, Uholanzi

Ankal (wa pili shoto) akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Globu ya Jamii jijini The Hague, Uholanzi, leo. 

 

11 years ago

Michuzi

IJUE HISTORIA YA GLOBU YA JAMII (ALIKOTOKEA ANKAL)

Recorded by Vijimambo on  July 29,  2011 in Washington DC 

 

10 years ago

Michuzi

U.S. Embassy's Public Affairs Officer at Jamii Forum

The Public Affairs Officer at the U.S. Embassy in Dar es Salaam, Ms. Marissa Maurer (right) in discussion with the Managing Director of Jamii Media, Mr. Maxence Melo (left) during a recent familiarization visit to the popular social media outlet. Second left is Mr. Japhet Sanga from the Embassy’s Public Affairs Office and Jamii Media’s Marketing and Finance Manager, Mr. Mike Mushi.

 

10 years ago

Dewji Blog

UN yakanusha uzushi wa Jamii Forum na Indian Ocean Newsletter

IMG_7871

Mratibu wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mipango ya maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bw. Alvaro Rodriguez.

UMOJA wa Mataifa umetaka vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa kuhakikisha  vinatoa taarifa zao kwa usahihi kuhusu maandalizi ya uchaguzi na uchaguzi wenyewe.

Kauli hiyo imetolewa na Ofisi ya Umoja wa Mataifa Dar es salaam, kufuatia taarifa iliyochapishwa na jarida moja kwamba UN inataka kujitoa katika kusaidia mandalizi ya...

 

5 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT: MKURUGENZI MTENDAJI MTANDAO WA JAMII FORUM MAXENCE MERO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA AMA KULIPA FAINI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jamii Forum Maxence Melo kulipa faini ya Sh. Milioni tatu ama kutumikia kifungo cha mwaka mmoja gerezani baada ya kupatikana na hatia katika kosa la kuzuia jeshi la polisi kufanya kazi yao ya uchunguzi kwa kuzuia taarifa binafsi za wateja wa mtandao wao.

Hukumu hiyo imesomwa leo Aprili 8,2020 na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba.

Hata hivyo mahakama imemuachia huru mshtakiwa Micke William ambaye ni Mwanahisa wa mtandao...

 

10 years ago

Michuzi

ANKAL APATA MGENI KUTOKA COLORADO, MAREKANI, LEO

Ankal akiwa na mgeni wake Frida Kileo kutoka Colorado, Marekani, aliyetembelea makao makuu ya Libeneke jijini Dar es salaam leo na kujionea shughuli za hapo pamoja na maandalizi ya sherehe za Miaka 10 ya Michuzi Blog mwezi Septemba. Yeye ni mmoja wa wadau wakubwa wa Globu ya Jamii walioko ughaibuni.
Ankal akipata selfie na mgeni wake

 

10 years ago

Michuzi

Birthday Wishes to Ankal from Mrs Ankal

Happy birthday to you my better half, my friend, perfect father/daddy to our kids‎. Wish you happiness, wish you success n contentment in your life. I wish to be there with you but " kazi hizi" I am always thankful to God for you and for every opportunity and everything he has favoured us. His blessings are ever in abundant/ abundance. I love n cherish you and will forever do so, in a very special way. Happy birthday.
Mrs Ankal.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani