Anne Kansiime kuwasili leo jijini Dar
Mchekeshaji Anne Kansiime (pichani) anatarajiwa kuwasili leo jijini Dar es Salaam tayari kwa burudani kali hapo August 2 kwenye ukumbi wa Golden Tulip.
Mkali wa huyo wa kuchekesha na sanaa za majukwaani Afrika Mashariki, atawasili majira ya saa kumi jioni kwa ndege ya shirika la Rwanda.
Anne anatarajiwa kuzungumza na waandishi wa habari hapo Ijumaa saa tano kamili asubuhi kwenye ukumbi wa Sports Lounge uliopo Posta, na jumamosi atasalimiana na mashabiki katika viwanja vya Mlimani...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo531 Jul
Anne Kansiime kuwasili jijini Dar July 31
11 years ago
Michuzi
Anne Kansiime kuburudisha Dar August 2.

Akizungumzia tukio hilo Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Radio 5, Robert Francis alisema kuwa wameamua kumualika...
11 years ago
Michuzi
kundi la Mafikizollo kuwasili leo jijini dar

Mafikizolo imekuwa na rekodi nzuri ya kushinda kwenye tuzo mbalimbali za muziki, kutokana na kupiga muziki na kucheza kwa umahiri, hasa mtindo wao maarufu wa Kwaito.
Kundi hilo linaloundwa na wasanii wawili(Nhlanhla Nciza na Tebogo Madingoane pichani...
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
Michuzi30 Jul
11 years ago
Michuzi27 Feb
11 years ago
Michuzi18 Apr
11 years ago
Michuzi25 Feb
11 years ago
Michuzi23 May