ANZA MWAKA MPYA NA KANUNI HIZI ZA MAFANIKIO
![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DQxo1pgIQ3sA5RZ8Xerc1392xrifg2ECrPdSZiUVysH05NWUJTFY8Eggq0kN7Y3V5Mz4OiApQqbALLwyCfjbFXW/12014.jpg?width=650)
HERI ya mwaka mpya ndugu msomaji! Ni matumaini yangu kuwa umevuka salama na kuingia Mwaka Mpya 2014 ukiwa na ari kubwa ya mafanikio hususan kupitia ujasiriamali. Nimeamua kuuanza mwaka huu kwa mada hii ambayo tulishawahi kuijadili siku za nyuma lakini siyo vibaya kama tukiijadili tena kwa kina. Mada yetu inahusu kanuni za mafanikio kwa mjasiriamali, ambapo tutachambua kwa kina kanuni zitakazokuongoza unapoamua kujitosa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZdHLSsMCsJqLKdg*9dohXiaN0hm8HconBcqdOCQL3hJZanmn67w8l7Xk87l26pHu8kf57y*9fU0H30nvQiN5DAO/MAHABA.jpg?width=650)
ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-5
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOLcovB955qbjiL3DC6XAhFpDvFsNdxUb7Jer0yPe2vc*TKWi0U4d*oA98GufamlV8UyNSaYGT0LqRzdFSihbwzV/5mahaba.jpg?width=650)
ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--bwqD1rPxgWQv2raP9uRzte6Ke4*zhljpp4-WHq0IW3mhQs7NK5IbqXu*oFDji40mSA6aIzVJRPDMrBWHWnPHa/mahaba.jpg?width=650)
ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCghypDFLJuEj2k5NzxXBWLeUPQjrf5hxx88RPprAk1sfDh8n7XD8zItFQkTgovreFxbujBDxSY0JZ4bwGteL-aW/MAHABA.jpg?width=650)
ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Anza mwaka kwa mwonekano mpya
9 years ago
MichuziKANUNI MPYA ZA HUDUMA ZA ZIADA ZA MWAKA 2015 ZA SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA YA MWAKA 2010
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KANUNI MPYA ZA HUDUMA ZA...
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania Jan 2 na 3…
Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kwa muda kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza January 3 2016 Zanzibar, lakini hiyo haimaanishi mtu wangu hakuna mechi kali za soka weekend ya January 2 na January. Najua bado unasherehekea mwaka mpya lakini, hizi ndio mechi 21 sio za kukosa siku ya Jumamosi ya January 2 na […]
The post Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania Jan 2 na 3… appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa kutazama mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania
Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kwa muda kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza January 3 2016 Zanzibar, lakini hiyo haimaanishi mtu wangu hakuna mechi kali za soka weekend ya January 2 na January 3. Najua bado unasherehekea mwaka mpya lakini, hizi ndio mechi 21 sio za kukosa siku ya Jumamosi ya January 2 […]
The post Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa kutazama mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Serikali kuyabana zaidi makampuni ya simu nchini, kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015!!
Na Rabi Hume, Modewjiblog
[TANZANIA] Kasi ya serikali ya awamu ya tano inaonekana kuwa kubwa kwa kuanza kuyabana makampuni ya simu kwa huduma wanazotoa kwa watumiaji wa mitandao hiyo kwa kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015 za sheria ya mawasiliano ya kieletroniki na Posta ya mwaka 2010.
Akizungumzia kanuni hiyo, Msemaji wa...