Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANZA MWAKA MPYA NA KANUNI HIZI ZA MAFANIKIO

HERI ya mwaka mpya ndugu msomaji! Ni matumaini yangu kuwa umevuka salama na kuingia Mwaka Mpya 2014 ukiwa na ari kubwa ya mafanikio hususan kupitia ujasiriamali.
Nimeamua kuuanza mwaka huu kwa mada hii ambayo tulishawahi kuijadili siku za nyuma lakini siyo vibaya kama tukiijadili tena kwa kina. Mada yetu inahusu kanuni za mafanikio kwa mjasiriamali, ambapo tutachambua kwa kina kanuni  zitakazokuongoza unapoamua kujitosa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-5

NILIANZA mada hii wiki ya kwanza ya mwaka huu mpya na leo nahitimisha katika juma la mwisho la mwezi huu. Naam! Lengo lilikuwa ni kuwafumbua macho na kutambua penzi la dhati ili tuwe na fikra mpya. Marafiki zangu, mapenzi si mateso ya moyo. Hatupaswi kuwa kwenye uhusiano wa kimazoea tu. Lazima tuangalie, tupo kwenye mstari sahihi? Baada ya utambuzi huo, sasa tunaweza kuamua kuendelea au lah! Wiki jana nilimalizia pale nilipoanza...

 

11 years ago

GPL

ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-3

KAMA hutajitambua na kujithamini, hatatokea mtu wa kukujulisha kuwa wewe ni mwenye thamani. Maisha yako ni muhimu, afya yako pia ni muhimu sana. Kila kitu chako kina umuhimu wake, lakini usitegemee mtu akueleze, anza wewe! Marafiki zangu tunaangalia namna ya kugundua penzi la kweli na kusimamia katika uhusiano ulio sahihi. Nilieleza katika matoleo yaliyopita kuwa, ni vizuri kuwa kwenye uhusiano wenye malengo. Kwamba kudumu...

 

11 years ago

GPL

ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-2

KUDUMU katika uhusiano kwa muda mrefu bila ndoa si kigezo kwamba mwenzi wako anakupenda. Tulia kwa muda, anza mwaka ukiwa na fikra mpya. Hebu jiulize, uko kwenye uhusiano na mwenzi wako kwa muda gani sasa? Kuna dalili za kuingia kwenye ndoa? Marafiki, wanaotakiwa kujivunia kudumu kwenye uhusiano ni wanandoa. Ni halali kabisa kwa mtu aliye kwenye ndoa kutamba kwamba anafurahi kwamba yupo na mwenzake muda mrefu kwa sababu tayari...

 

11 years ago

GPL

ANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!

KUNA wakati unafikiria kufanya kitu fulani muhimu kwa ajili ya yule uliyemteua kuwa mwenzi wa maisha yako? Je, huwa unafikiria kama upo katika uhusiano sahihi au unakwenda tu mradi siku zinakwenda?
Wapo watu ambao wako tu kwenye uhusiano kabla ya uchumba lakini matukio kibao yametokea. Wameshafumaniana, wameshapigana, wameshatoleana maneno machafu, wameshadhalilishana nk. Je, ni sahihi kuendelea katika uhusiano huo? Jibu ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Anza mwaka kwa mwonekano mpya

Mwaka unapomalizika, wengi huwa na matarajio makubwa hasa kubadilisha mfumo wa maisha kuendana na mabadiliko ya mwaka, lakini, pamoja na hayo, wapo wanaoona kuwa hakuna haja ya kufanya hivyo wakiamini, wanachotaka kufanya hakihitaji mabadiliko.

 

9 years ago

Michuzi

KANUNI MPYA ZA HUDUMA ZA ZIADA ZA MWAKA 2015 ZA SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA YA MWAKA 2010

 Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Sayansi na TekinolojiaPriska Olomi (kushoto) , akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Dar es Salaam leo, kuhusu kutungwa kwa kanuni za huduma za ziada kwa makampuni ya simu nchini zitakazo walinda watumiaji wa huduma hizo,kulia ni Mkuu wa kitengo cha Sheria wa Wizara hiyo,Veronika Sudayi. (Picha na Hassan Silayo).
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KANUNI MPYA ZA HUDUMA ZA...

 

9 years ago

MillardAyo

Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania Jan 2 na 3…

Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kwa muda kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza January 3 2016 Zanzibar, lakini hiyo haimaanishi mtu wangu hakuna mechi kali za soka weekend ya January 2 na January. Najua bado unasherehekea mwaka mpya lakini, hizi ndio mechi 21 sio za kukosa siku ya Jumamosi ya January 2 na […]

The post Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania Jan 2 na 3… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa kutazama mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania

Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kwa muda kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza January 3 2016 Zanzibar, lakini hiyo haimaanishi mtu wangu hakuna mechi kali za soka weekend ya January 2 na January 3. Najua bado unasherehekea mwaka mpya lakini, hizi ndio mechi 21 sio za kukosa siku ya Jumamosi ya January 2 […]

The post Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa kutazama mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali kuyabana zaidi makampuni ya simu nchini, kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015!!

DSC_0072

Ofisa Habari Mwandamizi wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prisca Ulomi, akizungumza na waandishi wa habari. (Picha na Maktaba)

Na Rabi Hume, Modewjiblog

[TANZANIA] Kasi ya serikali ya awamu ya tano inaonekana kuwa kubwa kwa kuanza kuyabana makampuni ya simu kwa huduma wanazotoa kwa watumiaji wa mitandao hiyo kwa kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015 za sheria ya mawasiliano ya kieletroniki na Posta ya mwaka 2010.

Akizungumzia kanuni hiyo, Msemaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani