Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Apambana na mamba zaidi ya nusu saa

MWENYEKITI wa Kamati ya Shule ya Msingi Udasi mwambao mwa Ziwa Tanganyika, kata ya Kabwe wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Ismail Ndomboya (42) amenusurika kuuawa na mamba kwa kupambana kijasiri na mnyama huyo kwa zaidi ya nusu saa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Apambana na Mamba aliyemla mkewe,Uganda

Mwanaume aliyepambana na Mamba,kulipiza kisasi aitwa Shujaa

 

10 years ago

Vijimambo

APAMBANA NA MAMBA ALIYEMLA MKEWE HI NI HUKO UGANDA

Mamba anaelezwa kuwa na uzito wa kilo 600
Miezi minne iliyopita, Demeteriya Nabire aliliwa na mamba alipokwenda mtoni karibu na makazi yake kuchota maji. Mnyama huyu alirudi tena baaae katika eneo lilelile na kumkuta mume wa Nabire anasubiri, tayari kwa kulipa kisasi.Demeteriya Nabire alikuwa kwenye kingo za mto akiwa na wanawake wengine kutoka kwenye Kijiji anachoishi, walikuwa wakichota maji kutoka katika Mto Kyoga nchini Uganda, Mamba alifika na kumnyaka.alimburuza kisha mwanamama huyu...

 

10 years ago

Habarileo

Binti apambana na mamba kwa dk. 30, amwokoa mamaye

MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka tisa ameonesha ujasiri wa kipekee kwa kumwokoa mama yake mzazi, Magreth Ibrahim (50) kuuawa na mamba baada ya kupambana na mnyama huyo kwa zaidi ya nusu saa.

 

10 years ago

Habarileo

Treni Dar kwa kadi, kila baada ya nusu saa

SERIKALI imetia saini mkataba wa uwekezaji wa pamoja kati yake na kampuni ya Marekani kwa ajili ya kuanza mradi wa usafiri wa treni ya kisasa itakayoanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere (JNIA) hadi katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

 

11 years ago

Michuzi

Ibada ya Kiswahili - Mei 4, 2014 Kuanzia saa tisa na nusu alasiri

Anza Siku njema na NENO la MUNGU kila siku kwa kutembelea Ibada ya Kiswahili website na Ukurasa wa Ibada ya Kiswahili kwenye Facebook. **   **   **            ** www.iykcolumbus.org **         **   **   **
NENO LA LEO: Yeremia 29:11, Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema Bwana, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.   TAFAKARI: Inawezekana kuna mtu aliwahi kukwambia kuwa anakuwazia mema na mwisho wa siku ukaja kugundua kuwa alikudanganya....

 

10 years ago

Michuzi

Karibu Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio Novemba 02, 2014 Kuanzia saa tisa na nusu mchana

Karibu ubarikiwe na WaimbajiSIFA Choir – Columbus, OhioIYK Poster Nov 2,2014Tembelea tovuti yetu: ww.iykcolumbus.org

 

10 years ago

Vijimambo

Karibu Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio Novemba 02, 2014 Kuanzia saa tisa na nusu mchana (3:30pm EST)

Karibu ubarikiwe na Waimbaji SIFA Choir – Columbus, Ohio IYK Poster Nov 2,2014Tembelea tovuti yetu: www.iykcolumbus.org

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani