Apambana na mamba zaidi ya nusu saa
MWENYEKITI wa Kamati ya Shule ya Msingi Udasi mwambao mwa Ziwa Tanganyika, kata ya Kabwe wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Ismail Ndomboya (42) amenusurika kuuawa na mamba kwa kupambana kijasiri na mnyama huyo kwa zaidi ya nusu saa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
10 years ago
Vijimambo05 Feb
APAMBANA NA MAMBA ALIYEMLA MKEWE HI NI HUKO UGANDA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2015/02/04/150204041924_crocodile_uganda_304x171_mosesbikala_nocredit.jpg)
Miezi minne iliyopita, Demeteriya Nabire aliliwa na mamba alipokwenda mtoni karibu na makazi yake kuchota maji. Mnyama huyu alirudi tena baaae katika eneo lilelile na kumkuta mume wa Nabire anasubiri, tayari kwa kulipa kisasi.Demeteriya Nabire alikuwa kwenye kingo za mto akiwa na wanawake wengine kutoka kwenye Kijiji anachoishi, walikuwa wakichota maji kutoka katika Mto Kyoga nchini Uganda, Mamba alifika na kumnyaka.alimburuza kisha mwanamama huyu...
10 years ago
Habarileo18 May
Binti apambana na mamba kwa dk. 30, amwokoa mamaye
MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka tisa ameonesha ujasiri wa kipekee kwa kumwokoa mama yake mzazi, Magreth Ibrahim (50) kuuawa na mamba baada ya kupambana na mnyama huyo kwa zaidi ya nusu saa.
10 years ago
Habarileo04 Oct
Treni Dar kwa kadi, kila baada ya nusu saa
SERIKALI imetia saini mkataba wa uwekezaji wa pamoja kati yake na kampuni ya Marekani kwa ajili ya kuanza mradi wa usafiri wa treni ya kisasa itakayoanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere (JNIA) hadi katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0q9eYD2eoMs/U2JXcRH7xtI/AAAAAAAFea4/ACTBRIGVa84/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Ibada ya Kiswahili - Mei 4, 2014 Kuanzia saa tisa na nusu alasiri
![](http://1.bp.blogspot.com/-0q9eYD2eoMs/U2JXcRH7xtI/AAAAAAAFea4/ACTBRIGVa84/s1600/unnamed+(6).jpg)
NENO LA LEO: Yeremia 29:11, Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema Bwana, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho. TAFAKARI: Inawezekana kuna mtu aliwahi kukwambia kuwa anakuwazia mema na mwisho wa siku ukaja kugundua kuwa alikudanganya....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPvIfB3Dsc1vuxGB8ZPLQCnMK8k2tLw2Ca7frd4Q*5GJMwt3EFC-L8NueUB6Zqp3zEYQ8wnqYs*8dSEKjqAxY1gZ/brazilvsgermany.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yBpX5ZYzYo0/VCzf-3B0WXI/AAAAAAAGnOw/0odyuZUt_qg/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
Michuzi28 Oct
Karibu Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio Novemba 02, 2014 Kuanzia saa tisa na nusu mchana
![IYK Poster Nov 2,2014](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/kyWYiCraN04cLEgI88JEmXWvNwm0L8XFM2dPmJhwwjLMOnU5q0C5v0bHWihj8zRYwIHVYZ1mRC2ZHAbZeMyZ7C9HnbwWTj2L6R7nzX97aQN0SKUdMcnQs6ViT_gOyT7CM_UMlw=s0-d-e1-ft#http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2014/10/IYK-Poster-Nov-22014.jpg)
10 years ago
Vijimambo28 Oct
Karibu Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio Novemba 02, 2014 Kuanzia saa tisa na nusu mchana (3:30pm EST)
![IYK Poster Nov 2,2014](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2014/10/IYK-Poster-Nov-22014.jpg)